Angalizo: Watu wa Mbeya mnaoishi Mbeya Mjitathimini mienendo yenu kinidhamu inalichafua Jiji, ipo siku jiji litafutwa

Angalizo: Watu wa Mbeya mnaoishi Mbeya Mjitathimini mienendo yenu kinidhamu inalichafua Jiji, ipo siku jiji litafutwa

Husika na kichwa Cha habari hapo juu.

Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;

1. Wizi wa Solar za taa za barabarani, haya mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye Halmashauri tu.

2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwa ajili ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira ya Jiji la Mbeya, baadae wasanii watakuwa hawaji

Pia, Soma: Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadili haya.

NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni doria kuzilinda.
Kwemdaaaaaaaaa
 
Hivyo ndiyo watanzania tunapenda.chawa wote wa ccm washughulikie maana wameumiza sana watu.wamewapoteza soka,kibao,sativa na wengine wengi tu zaidi ya miamoja
 
Daah nchi ngumu sana hii.
Kisa Zuchu ametukanwa ndo Mbeya ishushwe hadhi ya kuwa Jiji!? Kwanza niulize, nyimbo ngapi za Zuchu ambazo ukipita mitaa ya jiji la Mbeya utasikia inapigwa?! Umezungumzia heshima na utu, je Zuchu anaimba heshima na utu?!!
Je akienda Mara na kukoswa na mapanga na wao Mara utasema warudi kuwa Wilaya ya Simiyu au
 
Kwani ni mpaka tuweke makabila ndio tujadili jombaa, tunajadili facts hapa sio lazima ujue kabila la mtu ndo ujue ukweli.
Liweke kabila lako hapa nyambaff!! Mbona unawajadili wasafwa kwa dharau sana. Liweke na la kwako tuweke madhaifu yenu.
 
Pole mleta uzi,unaweza ukawa na sifa hizi
1. Wewe ni team zuchu ama wasafi
2. Ni ccm
Lakini kilichokuumiza na kukufanya uandike hapa ni zuchu kufanyiwa alichofanyiwa kwa sababu ya yeye kuwa na akili ya mpanzi
Punguza jazba,mbeya ni ya wenyewe,kuitwa jiji ama kutoitwa jiji haimbadili mwana mbeya
 
Mbeya hatutaki mambo Jiji sisi ni nchi. Punguza shobo wewe mama uliyekosa manyonyo!!!
 
Wameona bora wawe primitives kuliko kujifanya wajanja halafu wanaishia kula madawa na kulawitiwa.
Umeenda kutoa burudani halafu unaanza habari za eti mitano tena kwa mama? Wameleambia wamekuja kwenye mkutano wa siasa?
Kama ndio hivyo kongole kwao wana mbeya😁
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu.

Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;

1. Wizi wa Solar za taa za barabarani, haya mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye Halmashauri tu.

2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwa ajili ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira ya Jiji la Mbeya, baadae wasanii watakuwa hawaji

Pia, Soma: Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadili haya.

NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni doria kuzilinda.
Lengo lako lilikuwa kumsemea zuchuchuchuchu
 
Wameona bora wawe primitives kuliko kujifanya wajanja halafu wanaishia kula madawa na kulawitiwa.
Umeenda kutoa burudani halafu unaanza habari za eti mitano tena kwa mama? Wameleambia wamekuja kwenye mkutano wa siasa?
Mkuu, samahani.

Mimi na huo upuuzi wa matamasha yaliyojazwa kila rangi za ngono sihudhurii, ila natamani kujua kama kweli hii ndio ilikuwa sababu ya dada dhuchu kupigwa na chupa za maji. Na kama ni kweli naunga hoja
 
Stress za maisha zitawaua watu. Yani wewe umeenda kushiriki tamasha na kuna msanii humpendi unaanza kurusha mawe na chupa, akili gani hizi?? Hizo nguvu si bora utumie kupaza sauti serikali yako ilete maendeleo huko kwenu??


Tabia ya kijinga na kishamba, na umasikini wa kifikira na kukosa ustaarabu. Ifikie wakati maeneo yote ya matamasha yafungwe CCTV ili wehu kama hawa wadakwe wakaeleze vizuri hizo stress zao wanataka kuzimalizia kwa watu wengine kwa sababu gani.​
 
Mkuu, samahani.

Mimi na huo upuuzi wa matamasha yaliyojazwa kila rangi za ngono sihudhurii, ila natamani kujua kama kweli hii ndio ilikuwa sababu ya dada dhuchu kupigwa na chupa za maji. Na kama ni kweli naunga hoja
Matamasha hayo ya kishgshg tu

Ova
 
Stress za maisha zitawaua watu. Yani wewe umeenda kushiriki tamasha na kuna msanii humpendi unaanza kurusha mawe na chupa, akili gani hizi?? Hizo nguvu si bora utumie kupaza sauti serikali yako ilete maendeleo huko kwenu??


Tabia ya kijinga na kishamba, na umasikini wa kifikira na kukosa ustaarabu. Ifikie wakati maeneo yote ya matamasha yafungwe CCTV ili wehu kama hawa wadakwe wakaeleze vizuri hizo stress zao wanataka kuzimalizia kwa watu wengine kwa sababu gani.​
Kwani lazima mfanye matamasha yenu hayo huko ..

Ova
 
Kwani lazima mfanye matamasha yenu hayo huko ..

Ova

Ndio, ambae hataki abaki nyumbani au aende matamsha anayopenda, kwenda kwenye tamasha na humpendi mtu uanze kurusha mavyupa mbona ni barbarism hiyo.​
 
Back
Top Bottom