Volodimiri Zelensiki
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 1,154
- 3,417
🤣 🤣 🤣Kwa hiyo wakifuta jiji wanavunja majengo yote na kujenga nyumba za nyasi mji mzima.....??
Hapo umedanganya kwa chuki zako kwa Wasafwa. Wasafwa ni wakarimu sana na hawana shida na wageni kabisa. Acha UWONGO ndugu Vishu MtataItakua ulikutana na wasafwa, wale wana ubaguzi hata kwa mtu asie wa kabila lao.
Sasa kama ni muislam, umetoka mkoa mwingine na ni kabila jingine aloo hamna rangi utaacha kuona.
Usijisemee kwa stress zako kwa vile malaya mmoja zuchu karushiwa chupa, unajua vigezo vya mji kuitwa jiji sidhani tabia kama ni kigezo kimojawapo, unazijua tabia za watu wa Dar kila uhuni na uchafu wote upo DAR.Kumbe humu Kuna watu weupe kiasi hk kwani uliambiwa hayo majengo ndo yamefanya lile jiji
Wanyakyusa na wasangu hawana shida wako safi. Wasafwa wapumbavu sana na ndio kabila kubwa.Itakua ulikutana na wasafwa, wale wana ubaguzi hata kwa mtu asie wa kabila lao.
Sasa kama ni muislam, umetoka mkoa mwingine na ni kabila jingine aloo hamna rangi utaacha kuona.
Wewe ni msafwa nini?Hapo umedanganya kwa chuki zako kwa Wasafwa. Wasafwa ni wakarimu sana na hawana shida na wageni kabisa. Acha UWONGO ndugu Vishu Mtata
Zuchu siyo msanii ni kolo tu.. Unapelekaje vitu visivyoeleweka Mbeya.Husika na kichwa Cha habari hapo juu.
Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;
1. Wizi wa solar za taa za barabarani, haya Mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye halmashauri tu.
2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwaajir ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira Jiji la Mbeya, badae wasanii watakuwa hawaji
Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadiri haya.
NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni Doria kuzilinda.
Watanganyika tuepuke kuunganisha wasanii na siasa.Mbeya ya sasa ina unafuu mkubwa, mbeya mji uliokuwa na ujinga mwingi, miaka hiyo watu wakiuliwa hovyo.
Mbeya japo imejengeka ila bado watu wengine mioyo yao ni mibaya.
Ni miaka hii wameanza kwenda hata hao wasanii maarufu, pia wamejifunza
Kwahyo kurushia watu makopo kumewasaidieni Nini hebu acheni ujingaInawezekana kweli wamekosea? Lakini nani anafurahishwa na tabia za wasanii kuhusishwa husishwa na Ushoga? Au wewe unafurahishwa?
Kukataliwa kupo kwenye maisha, sio kila mara utapendwa, lazima ujifunze kupitia makosa na ubadilike....
Kuhusu kufutwa jiji, nafikiri umekurupuka, mji unachukua muda sana kujengeka mpaka kuwa jiji, kulishusha jiji ghafla kua mji maana yake uvuruge hii mifumo yoye isiwepo 👇👇
View attachment 3110714
Mbeya mjitafakari Sana ipo siku mtaitwa halmashauri ya Mji na hamtafanya kiti, hebu acheni uhuniWatanganyika tuepuke kuunganisha wasanii na siasa.
Wengi walio wasanii upstairs hawako sawa,na wanasiasa wanawatumia sana kukusanya kundi la wajinga,ili wajinga waje kumchagua mjinga
Mji wa Mbeya na Tanga Yale sio maJiji hata kidogo.Mbeya mjitafakari Sana ipo siku mtaitwa halmashauri ya Mji na hamtafanya kiti, hebu acheni uhuni
Tanga wananidham sana wabaki hvohvo, Ila mbeya kabisa kuanzia matendo ya Wananchi mpaka mpangilio wa jiji hawana sifa ya kuitwa jj.Mji wa mbeya na Tanga Yale sio maJiji hata kidogo.