Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Kalambe sasa soli za kiatu cha jiwe alichoacha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga ndio hao wanaoitwa wanyonge!Kwanza hiyo report ya hasara za ATCL isingetolewa, utawala wa JPM ulipendwa na wajinga.
Magu huyu huyu aliekuwa anagombana na Assad kila siku acha utan bacNawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo,Angevunja bodi nzima ya TPA,DG angefukuzwa na sio kusimamishwa.Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA.waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama.
Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii..ngoja tuone
Jamaa alikuwa anawabeba sana washkaji zake wezi haoNawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo,Angevunja bodi nzima ya TPA,DG angefukuzwa na sio kusimamishwa.Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA.waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama.
Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii..ngoja tuone
Wananikera sana hao wanyongeWajinga ndio hao wanaoitwa wanyonge!
Hio ripoti ilishakua tayari toka magufuli akiwepo kilichokua kimebaki ni kui submit tu kwa Rais ndio mzee akaanza kuumwa.sio kwamba ni vitu vya juzi baada ya magufuli kuondoka.Kwani hiyo ATCL si ndo alituambia inaleta mafaida? Huyo jafo ni wa leo? Hayo madudu ya TPA yameanza jana?
Kuhusu ndege angejitumbua,?Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo,Angevunja bodi nzima ya TPA,DG angefukuzwa na sio kusimamishwa.Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA.waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama.
Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii..ngoja tuone
Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo,Angevunja bodi nzima ya TPA,DG angefukuzwa na sio kusimamishwa.Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA.waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama.
Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii..ngoja tuone
Na ndo maana hayuko haiangekuwa hai
Muache mzee apumzike, ripoti isingekuja vileNawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo,Angevunja bodi nzima ya TPA,DG angefukuzwa na sio kusimamishwa.Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA.waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama.
Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii..ngoja tuone
Kwani mkuchika yupo? Mbona simuoni katika majukumuyake“Waziri angekuwa Mkuchika au Mhagama”...[emoji3]
Akili kama za Jiwe
Magu amekufa.Acha Samia atumie akili yake,asiige ya aliyekufaNawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo,Angevunja bodi nzima ya TPA,DG angefukuzwa na sio kusimamishwa.Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA.waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama.
Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii..ngoja tuone
Kwenye ripoti ya mwaka Jana Kakoko alilamba 22.5b mbona hakutumbuliwa. Mnadhani hatujui Kituo cha mafuta kilichokuwa kinajengwa Ngara mmiliki ni Nani?Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo,Angevunja bodi nzima ya TPA,DG angefukuzwa na sio kusimamishwa.Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA.waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama.
Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii..ngoja tuone
JPM alikuwa mwizi sana aliwatisha wenzake kwa ukali wake wa kijinga. R.I.P JPM sehemu unayopaswa kulala.JPM asingepokea ripoti hii, lazima ingebadilishwa kuonesha kuwa kuna faida na sio hasara!! Kama ripoti ingetoka na hasara, basi CAG angetimuliwa bila kujali Kinga ya kikatiba! Mungu ni fundi bwanaa
Kushangiliwa hovyo hovyo mabararani.Kwanza hiyo report ya hasara za ATCL isingetolewa, utawala wa JPM ulipendwa na wajinga.
Kwani yeye JPM alikuwa hakosei?Nawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo,Angevunja bodi nzima ya TPA,DG angefukuzwa na sio kusimamishwa.Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA.waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama.
Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii..ngoja tuone
We ni kiaziNawashangaa mnaomsifia Madam Samia kwa kumsimamisha DG wa TPA na kumpa onyo Jaffo.Binafsi naamini Magufuli angekuwa hai leo,Angevunja bodi nzima ya TPA,DG angefukuzwa na sio kusimamishwa.Jaffo angetumbuliwa sababu alishaonywa mapema,angeteua mwanajeshi kuwa DG mpya wa TPA.waziri mpya wa Tamisemi angeweza kuwa mkuchika au Mhagama.
Sasa huyu mama ameanza kucheka na nyani mapema yote hii..ngoja tuone
Mleta mada mwenyewe ni mjingaKwanza hiyo report ya hasara za ATCL isingetolewa, utawala wa JPM ulipendwa na wajinga.