Mtu mpaka amekuwa kiongozi wa Kitaifa maana yake ni kwamba ana watu special wa kumsaidia majukumu.Wewe hujui ni nini maana ya uongozi. Na watanzania kama wewe wako wengi kweli kweli. Ukiwa kiongozi wa umma, unawajibika kwa umma na ni haki yao kujua afaya yako. Kama hutaki basi fanya shughuli zako na achana na uongozi. BTW Mungu kuwa mlinziwa vyote halina uhusiano wowote na hii hoja.
Na mficha maradhi......Ni Fupi
Mauti HumuumbuaNa mficha maradhi......
ni mwamba kudanganya watu million 60+ wewe ni mwambaSASA ANAKUAJE MWAMBA NA HUKU MWONGO
duuuni mwamba kudanganya watu million 60+ wewe ni mwamba
Kwa mawazo yako unafikiri kigogo ni mtu wa kweraa...Akaunti ya Kigogo,imenusurika.
Wana hali nzuri kabisa, wataendelea kula mafao maisha yao yote. Changamoto ni kwetu sisi pangu pakavu, mzee wa kaya akitangulia, nyuma ni majanga matupu, familia nyingi upoteza kabisa mwelekeo haswa watoto.Shem tuombe. Sijui familia yake ina hali gani!
Sijamaanisha hayo bossWana hali nzuri kabisa, wataendelea kula mafao maisha yao yote. Changamoto ni kwetu sisi pangu pakavu, mzee wa kaya akitangulia, nyuma ni majanga matupu, familia nyingi upoteza kabisa mwelekeo haswa watoto.
Familia yake hawawezi kuwa na hali mbaya, wanajua tusiyoyajua kuhusu mzee wao. Kama nilikuelewa visivyo nisamehe bure.Sijamaanisha hayo boss
Say whaaat? Hiyo kauli hawawezi kuitumia, ingekuwa ya hovyo na tungeilaani.PM angesema tu Makamu ..... ameenda nje ya nchi kucheki afya yake. ingetosha kabisa kauli ya kidiplomasia na kiutu mzima.
Lakini kuna sababu zipi hasa za hili jambo kuwa siri kubwa?Mhhhhh nilikuwa napuuzia, now this is serious!
Shusha uziKuna sehemu Paskal alilizungumzia hili
asee yule bro ana macho kama eagle.
Ngoja amalize kupiga kiwi nyeusi kichwani ataleta majibuAmesema VP yupo wapi sasa
Hadi wathemeWanajamvi,
Makamu wa Rais, Dkt. Phillip Mpango alikuwa awe mgeni rasmi wa mkutano wa TAWIRI unaofanyika Dodoma, hata hivyo amewakilishwa na Angella Kairuki.
View attachment 2834679
Dkt. Philip Mpango anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi wa Mkutano wa TAWIRI, Dec 6-8
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Mkutano wa TAWIRI unatarajia kufanyika kuanzia Disemba 6 hadi 8 jijini Arusha.www.jamiiforums.com