SASA ANAKUAJE MWAMBA NA HUKU MWONGOSema mwamba majaliwa sio mtu wa kumuamini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SASA ANAKUAJE MWAMBA NA HUKU MWONGOSema mwamba majaliwa sio mtu wa kumuamini
Uzi upo wa Pascal?Pascal Mayalla ulikuwa sahihi kaka
Vipiii🤔
Chapeni kazi. Mungu ndiye mlinzi wa vyote. Hata ukijua au usipojua haibadilishi kituKama siyo lazima basi raia wana haki ya kuhoji na kukisia wanachotaka kwani kiongozi wa nchi ni lazima wajue alipo.
Analaumiwa bule mzee Maja. Taarifa kama hizo anaehusika ni msemaji mkuu wa serikali.Majaliwa ameamua atunukiwe cheo cha MUONGO MKUU TANZANIA
Yes, majukumu ya kwenda kutibiwa. Ametumwa kwenda kutibiwa.Atakuwa na majukumu mengine,
Sasa yeye kimbele mbele cha nini?Analaumiwa bule mzee Maja. Taarifa kama hizo anaehusika ni msemaji mkuu wa serikali.
Ilikuwa post ya kawaida kuwa alipinga VP kuhudhuria mkutano huu kwani bado yupo nje na harejeaUzi upo wa Pascal?
Ni FupiNjia ya mwongo.......
Aaaahaaaa
😃😁😅😄😄😀Amesema VP yupo wapi sasa
Jionee MwenyeweSema mwamba majaliwa sio mtu wa kumuamini
HalifichikiPembe la ng'ombe
Wewe hujui ni nini maana ya uongozi. Na watanzania kama wewe wako wengi kweli kweli. Ukiwa kiongozi wa umma, unawajibika kwa umma na ni haki yao kujua afaya yako. Kama hutaki basi fanya shughuli zako na achana na uongozi. BTW Mungu kuwa mlinziwa vyote halina uhusiano wowote na hii hoja.Chapeni kazi. Mungu ndiye mlinzi wa vyote. Hata ukijua au usipojua haibadilishi kitu
Yamekuwa hayo tenaCadaver haiwezi hudhuria mkutano
Hapo ndo anapokosea. Lakini pia,yawezekana anapokuwa na mahudhulio,huko nyuma imepangwa ajibu nini kwa sababu huenda wanajua lazima hilo swali.Sasa yeye kimbele mbele cha nini?
Haoni wengine wamefunga midomo?
Kasemaje? Italiaaaa au?Kuna sehemu Paskal alilizungumzia hili
asee yule bro ana macho kama eagle.
Kasema nani? Pm kasema yuko ziarani ughaibuni.Inasemekana yupo nje kimatibabu