Kwenye chapaa atajitokeza, ngozi nyeusi hatujawai kufail kwenye maokoto π€£π€£π€£Hahahahah huyo hayupo si alibaka akatembea
Eeh hana jeuri hio mkuuKwenye chapaa atajitokeza, ngozi nyeusi hatujawai kufail kwenye maokoto π€£π€£π€£
Subiri na uone huyo mama apate kivuli, mwamba atakavyoibuka πππEeh hana jeuri hio mkuu
Hizo nazo ni mbinu za kulea. Kuliko angemuua. Mbona hii mbinu ni watu wengi wanafanya hivyo. Mfano India etc. Kuliko kubanana na mtoto ambaye hutakuwa na uhakika wa kumtunza, bora apelewe akalelewe huko. Hapo unaangalia uhai wa mtoto. Uhai wa mtoto unapewa kipaumbele.Yeye alimtelekeza mtoto, mtoto alichukuliwa kituo cha watoto yatima
Hahahah baba lazma apate nayeyeSubiri na uone huyo mama apate kivuli, mwamba atakavyoibuka πππ
Waafrika njaa na upwiru vinatufanya tuonekane umeme mdogo vichwani πππHahahah baba lazma apate nayeye
Waafrika njaa na upwiru vinatufanya tuonekane umeme mdogo vichwani πππ
Yote ulivyo taja ni hisia.Inaonesha bado wewe una akili za kitoto. Ubinadamu ni tofauti na makaratasi. Mtoto kimakaratasi ataitwa wa Angelina ila yeye atajua nilipita katika K ya muethiopia. Kitendo cha kukaa naye tumboni kwa miezi 9 ni cha muhimu maana kama asingetaka angeaboti. Ujue. Damu nzito kuliko maji bwashee
Shida inaanza pale ambapo pisi inataka ui adopt huku mwamba nae anataka awe adopted!Waafrika njaa na upwiru vinatufanya tuonekane umeme mdogo vichwani πππ
πππ mwamba nae anataka slopeShida inaanza pale ambapo pisi inataka ui adopt huku mwamba nae anataka awe adopted!
Tulia basi mtoto mzuri... Hii imeenda!!!Cazee umetukana πππ
πππππmkuuuuu huwa hatu adop wahengaπππ Uko wapi uniadopt mkuu, hakuna wa kukusumbua ilo nakuhakikishia
Lakini na me yatima mkuu πππMkuu
πππππmkuuuuu huwa hatu adop wahenga
πππππuna umri gani mkuu nikutafutie wa kuku adoptLakini na me yatima mkuu πππ
Nilizaliwa enzi ya Ben πββοΈπββοΈπββοΈπππππuna umri gani mkuu nikutafutie wa kuku adopt
Halafu ni mume wa mtu huyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo Cuzoo...
Sasa hivi Anamuita Mond Daddy na Zuch ni Mumy[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii Dunia ni ngumu sana Wallah...
SanaAyseeee
Umasikini mbaya sana
Huyo mama tatizo sio umaskini ni uvivu.Ingekua ni umaskini angekua ameshakufa njaa au kachakaa kabisa.Huyo itakua alitelekeza mtoto akale maisha au kuna muhuni alimdanganya sasa maisha yamemgonga akakumbuka ana mtaji wa mtoto ulaya.Ata uku bongo ipo hiyo.wako wanawake wanakimbiaga na watoto kwa kiburi maisha yakimgonga ndo anajirudisha nakutafuta ubaya wa mwanaume uku akitegemea kuishi kwa mgongo wa mtoto.