hilo bao lilikuwa tamu sana coz ni pasi moja tu kutoka kati ya uwanja then mtu anakimbiza na kupiga goli, duh nimemkubali Gyan
Ghana's Goal
Angola wanapendelewa kwa sababu ndio waandaaji wa haya mashindano hata qualification yao ilikuwa na kasoro pale walipowafanyia ubaya Malawi.
Imagine the possibility of Algeria playing Egypt in the semi-final!
Ebana Waarab wana moyo haoooooooooooooooo
Extra time where was a marking for Ivory Cost?