PingPong
JF-Expert Member
- Dec 21, 2008
- 926
- 160
hilo bao lilikuwa tamu sana coz ni pasi moja tu kutoka kati ya uwanja then mtu anakimbiza na kupiga goli, duh nimemkubali Gyan![]()
Ghana's Goal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hilo bao lilikuwa tamu sana coz ni pasi moja tu kutoka kati ya uwanja then mtu anakimbiza na kupiga goli, duh nimemkubali Gyan![]()
Ghana's Goal
Angola wanapendelewa kwa sababu ndio waandaaji wa haya mashindano hata qualification yao ilikuwa na kasoro pale walipowafanyia ubaya Malawi.
Imagine the possibility of Algeria playing Egypt in the semi-final!
Ebana Waarab wana moyo haoooooooooooooooo
Extra time where was a marking for Ivory Cost?