Labda atarudi kwenye familia yenu lakini si utumishi wa umma hafai mbinafsi na mtumia madaraka vibaya sanaNi majungu tu hayo, Makonda hakuwahi kufukuzwa kazi au kutumbuliwa
Aliachia kiti akagombee ubunge ambako kura hazikutosha
Makonda atarudi tu
Kijana Ambaye alitamba Miaka kadhaa nyuma ameonekana kuendelea kukata tamaa.
Tukumbuke Makonda ni nani
Makonda akiwa na cheo cha Mkuu wa wilaya Kinondoni aliwahi kuja na mapendekezo na Maagizo kadhaa
1. Aliwahi kuwatangazia wanafunzi wote waliohitimu kwenda ofisini kwake kuwasaidia kupata kazi, jambo ambalo lilipelekea Umaarufu wake.
2. Makonda aliwahi kuwaweka ndani maafisa Ardhi waliochelewa kufika kwenye eneo la kazi kwenye Kupima viwanja.
3. Makonda aliwahi kumuokotesha Balozi wa Burundi uchafu (baada ya kutupa chupa ya maji mtaani akamfuata akaamuru aiokote).
4. Makonda amewahi kuwataja Wauza madawa ya Kulevya akamtaja mpaka aliyempa connection ya kazi.
5. Makonda kwa mujibu wake ndo amekula raha kuzidi watu wote.
6. Makonda alianzisha Operation ya kuwasaka Mashoga akaambulia Ban ya Kutokanyaga Duniani kutoka kwa Pompeo.
7. Makonda aliwahi kumtamkia Sirro kwamba elfu 5 za rushwa inapita kwake.
8. Makonda aliwai Kuagiza Kontena la vifaa vya Kufundishia na Tractor ndani yake.
9. Ameomba msaada kujengewa hospitali.
ANGUKO
Hakuwa na uhusiano mzuri na viongozi wenzake kama.
PM, VP, Mpango, Sirro mpaka Bashiru.
Akatokea kukaidi mpaka Maagizo yao, kwa mujibu wa Bashiru.
Hayupo kwenye locus ya wanaotakiwa kushika nafasi tena.
ElimuAnaweza kurudi kivingine kama makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Othman Sharif!
Mkoromije Akila Maisha!
Madam president atajikaanga kama atamteua makonda nafasi yoyote, yule ni mpuuzi hafai kupewa nafasi yoyote kwenye hii nchi, makonda ni mgonjwa wa akiliKijana Ambaye alitamba Miaka kadhaa nyuma ameonekana kuendelea kukata tamaa.
Tukumbuke Makonda ni nani
Makonda akiwa na cheo cha Mkuu wa wilaya Kinondoni aliwahi kuja na mapendekezo na Maagizo kadhaa
1. Aliwahi kuwatangazia wanafunzi wote waliohitimu kwenda ofisini kwake kuwasaidia kupata kazi, jambo ambalo lilipelekea Umaarufu wake.
2. Makonda aliwahi kuwaweka ndani maafisa Ardhi waliochelewa kufika kwenye eneo la kazi kwenye Kupima viwanja.
3. Makonda aliwahi kumuokotesha Balozi wa Burundi uchafu (baada ya kutupa chupa ya maji mtaani akamfuata akaamuru aiokote).
4. Makonda amewahi kuwataja Wauza madawa ya Kulevya akamtaja mpaka aliyempa connection ya kazi.
5. Makonda kwa mujibu wake ndo amekula raha kuzidi watu wote.
6. Makonda alianzisha Operation ya kuwasaka Mashoga akaambulia Ban ya Kutokanyaga Duniani kutoka kwa Pompeo.
7. Makonda aliwahi kumtamkia Sirro kwamba elfu 5 za rushwa inapita kwake.
8. Makonda aliwai Kuagiza Kontena la vifaa vya Kufundishia na Tractor ndani yake.
9. Ameomba msaada kujengewa hospitali.
ANGUKO
Hakuwa na uhusiano mzuri na viongozi wenzake kama.
PM, VP, Mpango, Sirro mpaka Bashiru.
Akatokea kukaidi mpaka Maagizo yao, kwa mujibu wa Bashiru.
Hayupo kwenye locus ya wanaotakiwa kushika nafasi tena.
Unauhakika kajala kaathirika? Hayo mambo ni magumuDAB kama hajapima HIV aende akapime kwa sababu alikua ni pika na kupakua na waathirika wa bongo movie kajala na Batuli
wazazi wa Makonda kuna kipindi walikua wana filial kwa kajala pindi waendapo Dar
Sasa hivi imebaki stori maana enzi zake zimeshafikia ukomo.Kijana Ambaye alitamba Miaka kadhaa nyuma ameonekana kuendelea kukata tamaa.
Tukumbuke Makonda ni nani
Makonda akiwa na cheo cha Mkuu wa wilaya Kinondoni aliwahi kuja na mapendekezo na Maagizo kadhaa
1. Aliwahi kuwatangazia wanafunzi wote waliohitimu kwenda ofisini kwake kuwasaidia kupata kazi, jambo ambalo lilipelekea Umaarufu wake.
2. Makonda aliwahi kuwaweka ndani maafisa Ardhi waliochelewa kufika kwenye eneo la kazi kwenye Kupima viwanja.
3. Makonda aliwahi kumuokotesha Balozi wa Burundi uchafu (baada ya kutupa chupa ya maji mtaani akamfuata akaamuru aiokote).
4. Makonda amewahi kuwataja Wauza madawa ya Kulevya akamtaja mpaka aliyempa connection ya kazi.
5. Makonda kwa mujibu wake ndo amekula raha kuzidi watu wote.
6. Makonda alianzisha Operation ya kuwasaka Mashoga akaambulia Ban ya Kutokanyaga Duniani kutoka kwa Pompeo.
7. Makonda aliwahi kumtamkia Sirro kwamba elfu 5 za rushwa inapita kwake.
8. Makonda aliwai Kuagiza Kontena la vifaa vya Kufundishia na Tractor ndani yake.
9. Ameomba msaada kujengewa hospitali.
ANGUKO
Hakuwa na uhusiano mzuri na viongozi wenzake kama.
PM, VP, Mpango, Sirro mpaka Bashiru.
Akatokea kukaidi mpaka Maagizo yao, kwa mujibu wa Bashiru.
Hayupo kwenye locus ya wanaotakiwa kushika nafasi tena.
Tatizo shule hanaAnaweza kurudi kivingine kama makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Othman Sharif!
Labda arudi nyumbani kwako maana kwa awamu hii ya 6 asahau kabisa.Ni majungu tu hayo, Makonda hakuwahi kufukuzwa kazi au kutumbuliwa
Aliachia kiti akagombee ubunge ambako kura hazikutosha
Makonda atarudi tu
Uwezo wakusoma wenyewe hanaSi usome kabla hujajibu?
Bashite anaulaje tena hali alishaibomoa cv yake.Bashite ukimsaidia na akishapata atakacho ni lzm akunyee.Mkuu naona huzijui siasa za Tanzania,uliza akina Simbachimwene, Mwigulu,Nchimbi ya kesho huyajui na hujui aliyeaanguka juzi kesho kutwa anaweza akaamuka, angalia hata kule Zenj, makamu wa kwanza wa raisi ndie yule aliyetupiwa vilago miaka ya nyuma ,na hata Makonda unaweza shangaa kesho kaula tena zaidi ya huko nyuma,nani alitegemea Bashiru kuwa KMK?
Ni ngumu sana kuula kwanza kuna bifu kubwa sana yeye na familia ya jk aliizalilisha sana na mkumbuke kwa sasa ushauri na mwongozo kwa mama unatoka kwa jk hivyo naona anavyozidi kupoteaBashite anaulaje tena hali alishaibomoa cv yake.Bashite ukimsaidia na akishapata atakacho ni lzm akunyee.