Anguko la Makonda

DAB kama hajapima HIV aende akapime kwa sababu alikua ni pika na kupakua na waathirika wa bongo movie kajala na Batuli

wazazi wa Makonda kuna kipindi walikua wana filial kwa kajala pindi waendapo Dar
Kwa iyo na konde boy kashapata ngoma....ivi konde alikuwa hajui kama kajala Kaungua hadi akaanzisha uhusiano nayo

Maana huku kitaa hearsay ni nyingi kuwa bi Dada kaungua ndio maana hataki kuolewa na anazidi kunenepeana
 
Kwa iyo na konde boy kashapata ngoma....ivi konde alikuwa hajui kama kajala Kaungua hadi akaanzisha uhusiano nayo

Maana huku kitaa hearsay ni nyingi kuwa bi Dada kaungua ndio maana hataki kuolewa na anazidi kunenepeana
Mkuu kwani kuna uhusiano upi kati ya kukanyaga miwaya na kunenepa?
 
Kwa iyo na konde boy kashapata ngoma....ivi konde alikuwa hajui kama kajala Kaungua hadi akaanzisha uhusiano nayo

Maana huku kitaa hearsay ni nyingi kuwa bi Dada kaungua ndio maana hataki kuolewa na anazidi kunenepeana

kajala kuolewa aliolewa lakini anaogopa kuzaa kwa sababu hiyo ya kuungua, hata Yule mume wake aliefungwa nae jela kwa uhujumu uchumi hakumzalia

konde lazima amegundua mwishoni na alivyogundua ndio maaana akataka kumla mtoto wa kajala ili wagawane virusi na machungu
 
Mji mzito huu daaah
 
Alisahau Mungu ni wa wote wenye mwili na kampa MTU Uhuru wa kuchagua mema na baya. Kitu chochote ambacho siyo mapenzi ya Mungu na ukafanya bila kibali chake lazima ukwame.
 
Anatakiwa akufwe tu maana hana nmaana kabisaaaa enzi za jiwe alitamba sana umbwa yule , alijaa kibri na maringo kuliko hata yule mwana punda aliyembeba Yesu enzi zileee
 
Mbona mods maondoa threads za makonda? Why?

Kwa nini mnawahujumu wana JF?

Kuna thread zilikuwa zinaenda vizuri zikiwa na wachangiaji wa kutosha na viewers hazionekani! This is not fair.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…