Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Labda Rais wa wenye misambwanda yao, maana naye Makonda nyuma amejaaliwaRais ajaye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda Rais wa wenye misambwanda yao, maana naye Makonda nyuma amejaaliwaRais ajaye.
Nahifadhi maneno yakoLabda arudi nyumbani kwako maana kwa awamu hii ya 6 asahau kabisa.
Alikuomba hela??Nimekutana na mchungaji Msigwa hali ni tete kiuchumi!
Alimuomba Asas misasa!
Kwa iyo na konde boy kashapata ngoma....ivi konde alikuwa hajui kama kajala Kaungua hadi akaanzisha uhusiano nayoDAB kama hajapima HIV aende akapime kwa sababu alikua ni pika na kupakua na waathirika wa bongo movie kajala na Batuli
wazazi wa Makonda kuna kipindi walikua wana filial kwa kajala pindi waendapo Dar
Wachana na huyo muuza kashata wa lumumba
Mkuu kwani kuna uhusiano upi kati ya kukanyaga miwaya na kunenepa?Kwa iyo na konde boy kashapata ngoma....ivi konde alikuwa hajui kama kajala Kaungua hadi akaanzisha uhusiano nayo
Maana huku kitaa hearsay ni nyingi kuwa bi Dada kaungua ndio maana hataki kuolewa na anazidi kunenepeana
Ficha basi huo uramba miguuAlimuomba Asas misasa!
We mmakonde hujambo!!Ficha basi huo uramba miguuView attachment 1755622
Kwa iyo na konde boy kashapata ngoma....ivi konde alikuwa hajui kama kajala Kaungua hadi akaanzisha uhusiano nayo
Maana huku kitaa hearsay ni nyingi kuwa bi Dada kaungua ndio maana hataki kuolewa na anazidi kunenepeana
Mji mzito huu daaahkajala kuolewa aliolewa lakini anaogopa kuzaa kwa sababu hiyo ya kuungua, hata Yule mume wake aliefungwa nae jela kwa uhujumu uchumi hakumzalia
konde lazima amegundua mwishoni na alivyogundua ndio maaana akataka kumla mtoto wa kajala ili wagawane virusi na machungu
Sawa mkuu, Maana hawa Mataga hawajielewi.Wachana na huyo muuza kashata wa lumumba
Alisahau Mungu ni wa wote wenye mwili na kampa MTU Uhuru wa kuchagua mema na baya. Kitu chochote ambacho siyo mapenzi ya Mungu na ukafanya bila kibali chake lazima ukwame.Kijana Ambaye alitamba Miaka kadhaa nyuma ameonekana kuendelea kukata tamaa.
Tukumbuke Makonda ni nani
Makonda akiwa na cheo cha Mkuu wa wilaya Kinondoni aliwahi kuja na mapendekezo na Maagizo kadhaa
1. Aliwahi kuwatangazia wanafunzi wote waliohitimu kwenda ofisini kwake kuwasaidia kupata kazi, jambo ambalo lilipelekea Umaarufu wake.
2. Makonda aliwahi kuwaweka ndani maafisa Ardhi waliochelewa kufika kwenye eneo la kazi kwenye Kupima viwanja.
3. Makonda aliwahi kumuokotesha Balozi wa Burundi uchafu (baada ya kutupa chupa ya maji mtaani akamfuata akaamuru aiokote).
4. Makonda amewahi kuwataja Wauza madawa ya Kulevya akamtaja mpaka aliyempa connection ya kazi.
5. Makonda kwa mujibu wake ndo amekula raha kuzidi watu wote.
6. Makonda alianzisha Operation ya kuwasaka Mashoga akaambulia Ban ya Kutokanyaga Duniani kutoka kwa Pompeo.
7. Makonda aliwahi kumtamkia Sirro kwamba elfu 5 za rushwa inapita kwake.
8. Makonda aliwai Kuagiza Kontena la vifaa vya Kufundishia na Tractor ndani yake.
9. Ameomba msaada kujengewa hospitali.
ANGUKO
Hakuwa na uhusiano mzuri na viongozi wenzake kama.
PM, VP, Mpango, Sirro mpaka Bashiru.
Akatokea kukaidi mpaka Maagizo yao, kwa mujibu wa Bashiru.
Hayupo kwenye locus ya wanaotakiwa kushika nafasi tena.
Hahaa yohana bana.😀😀😀😀😀😀Anaweza kurudi kivingine kama makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Othman Sharif!