Anguko la Ndugai: Somo la Katiba, viongozi na nchi

Anguko la Ndugai: Somo la Katiba, viongozi na nchi

Hakuna tuhuma kuna facts. Je, Magufuli hakuhimiza kujifukiza ? Lini Magufuli alivaa Barakoa?
Je, hakusema Barakoa zinavitu anajua siri za nchi? Je, hakuhimiza maombi, je hakukutaza chanjo, je hakuagiza banda la kujifukiza Muhimbili, je, hakutuma ndege na Profesa Kabudi kwenda Madagascar, Je hakuzogoa wavaa barakoa kanisani?

Yes kwasababu tunawasiliana kwa sayansi pasi kujuana. Kila unachotumia wewe ni zao la kazi za sayansi. Ninaikubali sayansi na matokeo yake pasi na shaka!

Hujajibu hoja, hayo yanayonihusu yasikusghulishe

Hoja ni hii, taja jambo moja ambalo Magufuli amelifanya na ambalo halijawaji kufanywa na kiongozi mwingine yoyote kwa mujibu wako

Hakuna chuki, hebu tujadili kuna vita ya uchumi kuhusu Corona kwa lipi.
Nani anapigana vita ya uchumi na Tanzania, na vita hiyo imeshaije maana hatusikii tena

Yes zipo hotuba za Magufuli akihimiza kujifukiza. Waziri wake Jafo akatekeleza maagizo ya boss na wengine wakiwemo wabunge na mawaziri wakaunga tela.
Tuna ushahidi pale Muhimbili wa banda la kujifukiza

Jibu hoja usijadili mtu, sisi ni wanadamu tuna udhaifu tu kama viumbe wengine.
Majadala usiwe juu ya madhaifu yetu bali juu ya matokeo ya madhaifu yetu hasa kwa truliowapa dhamana. Tafadhali Jibu hoja, na hapa ni moja tu, je ilikuwa sahihi Rais JPM kusema '' watu wa kaskazini wasubiri''?

Muhimu hapa ni kuwa kila mtu ana uhuru wa kuchagua. Nipo katika rekodi hapa JF nikisema chanjo iruhusiwe asiyetaka asisumbuliwe. Mauti ni tukio la mtu binafsi.
Kisichotakiwa ni kuingiza imani za watu kwa wengine na kuwanyima haki ya wanachotaka

Waliokufa wakitamani chanjo hawakutendewa haki.
Kuzuia chanjo kwa imani ya mtu binafsi ima kidini au kutoamini sayansi au kutoamini mabeberu haukuwa uungwana. Kuzuia takwimu watu wasijue nini kinatoke haikuwa sahihi. Kuzuia watu wasitamke ugonjwa ilikuwa collective imbecilisation ya hali ya juu. Haikuwa sahihi ! period

Ni maoni yako yaheshimiwe, lakini pia wanaopinga yako hawawezi kuwa wapumbavu kwasababu huna hati miliki ya maoni!

Wengi kwa takwimu zipi? Kumbuka kuna Quantity and Quality
1. Ndio ni facts, lakini Tuhuma ni huu ya maoni yako juu ya hizo facts kwamba ni Mbaya.

2. Tunachokuambia ni kuwa IPO sayansi beyond hii yako ya maabara hizi. Kibaya ni kuwa, hutaki kuruhusu macho yako kufika huko.

3. Juu ya vita ya Uchumi sitakujibu tena, maana najisikia aibu Mimi.

4. Uongo si Magufuli kuhimiza kujifukiza, Bali kusema Magufuli amewataka watu wajifukize nyasi (Luna mahali uliziita nyasi za hovyohovyo) Huo ni uongo.

5. Udhaifu wako wakati Fulani ni muhimu kusemwa ili kukusaidia kuwa huru katika hoja zako.

6. Haikuwa Sahihi kusema watu Fulani watasubiri. Nami nakuuliza, Je, walisubirishwa katika nini? Kwanini hawakusubirishwa reli, hospital, shule, Barbara na hata soko?

7. Hoja kwamba Kila Mtu ana Uhuru wa Kuchagua ni danganyia Toto, nashangaa mnapozibeba kama zilivyo na kuzishupalia shingo.
Uhuru ni KiiniMacho. AMKA UNAACHWA.

8. Wengi huanzia wawili. Na sijasema kuwa ni wengi kuwazidi ninyi, ila niwazi idadi imeongezeka kwa ninaowafahamu Mimi.

*Kuna wanaokufa kwa kutamani Ushoga pia. Wapo wafao wakitamani mauaji pia.
Matamanio ya mtu si factor kubwa katika maamuzi.
 
Hizo ni Tuhuma za Kwamba kilichofanyika ni Ubatili.

Lakini pia unadai NYASI, ubadai imani, mbali zaidi unadai Magufuli alitaja Vita ya uchumi kati ya Tz na Nchi gani sijui.

Juu ya hilo nikuache, hope umeshachanjwa tayari. Subiri na ya watoto itakapofika uipeleke familia nzima.
Kuhusu kufukiza nyasi, na narudia nyasi kwasababu hakukuwa na mti maalumu, kila kata mtaa na kijiji vilikuwa na nyungu yao. Waziri husika Tamisemi chini ya ofisi ya Rais alisema watu wafukize! hakusema wafukize nini tena kwa jina tamu la NYUNGU. What is nyungu?

Sina tatizo na asiyetaka chanjo, nina tatizo na watu kutumia mamlaka kunyima wengine chanjo
Hiyo ni power abuse , to some extent crime against humanity

Nina tatizo na wapotoshaji wanaofanya 'exploitation' kama askofu mmoja maarufu
 
N

Ndio maana nilikuambia UTU ni Wajibu. Sio kusamehe tu, kuhurumia tu, kujali tu, au kunyenyekea Ubatili.

Hivyo nani amekufa, ameteswa, amepotea, nk si kigezo cha kumtuhumu mtu kukosa UTU, ila tu kama haikuwa sehemu ya Wajibu wake.

Vita ya Nyerere iliua mpaka watoto wadogo, lakini haikufanya umkoseshe Utu. Muhimu ni justification tu.
Nyerere aliotangaza vita kila mtu alifahamu kutakuwa na collateral damage
Nyerere alitimiza wajibu wake kisheria hakukuwa na kificho. Alipigana na adui wa nje
Yule wa ndani alishuhulikiwa kisheria! arguably watu waliwekwa vizuzini, yes, tulitoa pre rogative power kupitia national assembly!

Tunachosema hapa utamaduni wa kuumizana au kupotezana ni kinyume na misingi ya Utu.
 
1. Ndio ni facts, lakini Tuhuma ni huu ya maoni yako juu ya hizo facts kwamba ni Mbaya.
Nimeoredhesha facts , kwa maoni yangu kuzuia takwimu za COVID, kuita COVID changamoto, Kujifukiza nyasi bila ithbati ! Kuzuia chanjo ni mbaya! Kuaminisha watu Dawa ya COVID ni maombi! Kufanya imani ya mtu kuwa imani ya Taifa, haya yoote ni kwa mtazamo wa baadhi ni mbaya!

Kuna wanaona ni sahihi kama yule askofu aliyebabaisha watu. Kwanza alisema COVID ni G5 bila ithabati, pili kuingiza microsoft na mpango wa chips! mwisho kuhoji chanjo inatengenezwa na nini, halafu akavurunda alipoelezea virus, FDA . Hakuna tatizo ni maoni yake pia

Tofauti ya makundi hayo mawili ni facts! na exploitation!
2. Tunachokuambia ni kuwa IPO sayansi beyond hii yako ya maabara hizi. Kibaya ni kuwa, hutaki kuruhusu macho yako kufika huko.
Ninaamini katika sayansi iliyopo, naitumia naona matokeo yake.
3. Juu ya vita ya Uchumi sitakujibu tena, maana najisikia aibu Mimi.
Hakuna vita ya uchumi ni maneno tu . Mabeberu wanapigana vita gani ya uchumi na Tanzania?

Uchumi wa London, New York, California , Paris n.k. ni mikubwa kuliko wa Tanzania, vita ya nini!
State ya California peke yake imo katika ''chumi' 20 kubwa duniani. Ni state tu siyo USA

Tanzania ina ubavu gani wa kupigana na uchumi na nchi za magharibi! Vita hiyo haidumu siku 2

Tanzania haimo katika ''intertwined world economy'' vita ya uchumi itoke wapi
Kwa watu wanaoelewa dunia, uchumi, usalama na siasa kitu hicho hakikuwepo!
4. Uongo si Magufuli kuhimiza kujifukiza, Bali kusema Magufuli amewataka watu wajifukize nyasi (Luna mahali uliziita nyasi za hovyohovyo) Huo ni uongo.
Yes ni nyasi tena za hovyohovyo! kama si hivyo hebu lieleze jamvi fukiza ilitokana na nyasi gani , za mti au mavumba gani kutoka eneo gani?
5. Udhaifu wako wakati Fulani ni muhimu kusemwa ili kukusaidia kuwa huru katika hoja zako.
Hujajibu hoja husika! shambulia hoja usishambulie mtoa hoja
6. Haikuwa Sahihi kusema watu Fulani watasubiri. Nami nakuuliza, Je, walisubirishwa katika nini? Kwanini hawakusubirishwa reli, hospital, shule, Barbara na hata soko?
Kuwa mkweli , sententesi yako isomeke hivi '' Haikuwa sahihi kusema watu wa Kaskazini watusbiri'' Huwezi kuondoa neno kaskazini kwasababu ni key word na target ya JPM

Nakupongeza kwa kuuona ukweli kwamba haikuwa sahihi, kwa maneno mengine ni Makosa.

Sababu kuu za makosa ni hizi; moja, kazi ya Rais ni kuliunganisha Taifa si kulitenga.

Pili, kutaka walipa kodi wasubiri maeneo mengine ni kuwalaani kwa kujiletea maendeleo na kulipa kodi inayotumiwa kote nchini.

Tatu, kusema 'watu wa kaskazini'' kumelenga kujenga mfarakano wa kanda hiyo na nyingine

Leo kuna watu wanaamini kwa dhati tunaona malumbano ya upendeleo wa kanda ya kaskazini. Kitendo hicho kimejenga ufa na kuacha kovu ndani ya Taifa

Tunachosema hapa ni kile kilicho wazi, kaligawa taifa kajenga Chuki miongoni mwa Raia
7. Hoja kwamba Kila Mtu ana Uhuru wa Kuchagua ni danganyia Toto, nashangaa mnapozibeba kama zilivyo na kuzishupalia shingo. Uhuru ni KiiniMacho. AMKA UNAACHWA.
Hijajibu hoja unamshambulia messenger badala ya message
8. Wengi huanzia wawili. Na sijasema kuwa ni wengi kuwazidi ninyi, ila niwazi idadi imeongezeka kwa ninaowafahamu Mimi.
Ni makosa ku quantify bila takwimu. Nchi ina watu takribani milioni 55. Ikitokea watu milioni 10 wakapiga kelele, hizo ni kelele nyingi lakini vipi watu milioni 45 waliokaa kimya!
*Kuna wanaokufa kwa kutamani Ushoga pia. Wapo wafao wakitamani mauaji pia.
Matamanio ya mtu si factor kubwa katika maamuzi.
Kwani majambazi wanavunja vipi majengo na nyumba za watu?
Matamanio huepelekea maamuzi! ni pacha huwezi kutenga
 
Kuhusu kufukiza nyasi, na narudia nyasi kwasababu hakukuwa na mti maalumu, kila kata mtaa na kijiji vilikuwa na nyungu yao. Waziri husika Tamisemi chini ya ofisi ya Rais alisema watu wafukize! hakusema wafukize nini tena kwa jina tamu la NYUNGU. What is nyungu?

Sina tatizo na asiyetaka chanjo, nina tatizo na watu kutumia mamlaka kunyima wengine chanjo
Hiyo ni power abuse , to some extent crime against humanity

Nina tatizo na wapotoshaji wanaofanya 'exploitation' kama askofu mmoja maarufu
Mental enslaved! Kachanje, ila zaidi ya 80% wamegomea huo upuuzi.

Na hatutachanja.
 
Nyerere aliotangaza vita kila mtu alifahamu kutakuwa na collateral damage
Nyerere alitimiza wajibu wake kisheria hakukuwa na kificho. Alipigana na adui wa nje
Yule wa ndani alishuhulikiwa kisheria! arguably watu waliwekwa vizuzini, yes, tulitoa pre rogative power kupitia national assembly!

Tunachosema hapa utamaduni wa kuumizana au kupotezana ni kinyume na misingi ya Utu.
Ninachokuambia si Kila kuumizana au kupotezana Kunakiuka misingi ya Utu.

Rejea zoezi la Villagelization.

Ninakusii kuwa mkomavu, Usiwe na moyo mwepesi.
 
Nimeoredhesha facts , kwa maoni yangu kuzuia takwimu za COVID, kuita COVID changamoto, Kujifukiza nyasi bila ithbati ! Kuzuia chanjo ni mbaya! Kuaminisha watu Dawa ya COVID ni maombi! Kufanya imani ya mtu kuwa imani ya Taifa, haya yoote ni kwa mtazamo wa baadhi ni mbaya!

Kuna wanaona ni sahihi kama yule askofu aliyebabaisha watu. Kwanza alisema COVID ni G5 bila ithabati, pili kuingiza microsoft na mpango wa chips! mwisho kuhoji chanjo inatengenezwa na nini, halafu akavurunda alipoelezea virus, FDA . Hakuna tatizo ni maoni yake pia

Tofauti ya makundi hayo mawili ni facts! na exploitation!

Ninaamini katika sayansi iliyopo, naitumia naona matokeo yake.

Hakuna vita ya uchumi ni maneno tu . Mabeberu wanapigana vita gani ya uchumi na Tanzania?

Uchumi wa London, New York, California , Paris n.k. ni mikubwa kuliko wa Tanzania, vita ya nini!
State ya California peke yake imo katika ''chumi' 20 kubwa duniani. Ni state tu siyo USA

Tanzania ina ubavu gani wa kupigana na uchumi na nchi za magharibi! Vita hiyo haidumu siku 2

Tanzania haimo katika ''intertwined world economy'' vita ya uchumi itoke wapi
Kwa watu wanaoelewa dunia, uchumi, usalama na siasa kitu hicho hakikuwepo!

Yes ni nyasi tena za hovyohovyo! kama si hivyo hebu lieleze jamvi fukiza ilitokana na nyasi gani , za mti au mavumba gani kutoka eneo gani?

Hujajibu hoja husika! shambulia hoja usishambulie mtoa hoja

Kuwa mkweli , sententesi yako isomeke hivi '' Haikuwa sahihi kusema watu wa Kaskazini watusbiri'' Huwezi kuondoa neno kaskazini kwasababu ni key word na target ya JPM

Nakupongeza kwa kuuona ukweli kwamba haikuwa sahihi, kwa maneno mengine ni Makosa.

Sababu kuu za makosa ni hizi; moja, kazi ya Rais ni kuliunganisha Taifa si kulitenga.

Pili, kutaka walipa kodi wasubiri maeneo mengine ni kuwalaani kwa kujiletea maendeleo na kulipa kodi inayotumiwa kote nchini.

Tatu, kusema 'watu wa kaskazini'' kumelenga kujenga mfarakano wa kanda hiyo na nyingine

Leo kuna watu wanaamini kwa dhati tunaona malumbano ya upendeleo wa kanda ya kaskazini. Kitendo hicho kimejenga ufa na kuacha kovu ndani ya Taifa

Tunachosema hapa ni kile kilicho wazi, kaligawa taifa kajenga Chuki miongoni mwa Raia

Hijajibu hoja unamshambulia messenger badala ya message

Ni makosa ku quantify bila takwimu. Nchi ina watu takribani milioni 55. Ikitokea watu milioni 10 wakapiga kelele, hizo ni kelele nyingi lakini vipi watu milioni 45 waliokaa kimya!

Kwani majambazi wanavunja vipi majengo na nyumba za watu?
Matamanio huepelekea maamuzi! ni pacha huwezi kutenga
Juu ya Sayansi wewe UNAAMINI, haya baki na Imani yako. Sisi TUNATAMBUA uwepo wa SAYANSI beyond hiyo unayoiamini wewe.

Narudia tena... Juu ya Vita ya Uchumi Unajivua Nguo kweupe. Aibu najisikia mimi. Bora unyamaze tu, maana najua unajua fika nini hasa ni dhana husika, ni kusema unajitoa ufahamu.

Nilishakuambia, Kauli yake haikuwa sahihi. Na matendo yake yalisahihisha kauli hiyo. USICHOOELEWA NINI?
Kanda ya Kaskazini katika miaka yake Magufuli ameitembelea zaidi ya mara 4, na zote akifungua miradi, halafu wewe unang'ang'ania aliwabagua. Umekuwa kama mfa maji anayehangaika na ujani katika hoja hiyo.

Tembelea huko ukawaambie kuwa walibaguliwa, maana hata wenyewe hawajui. Yaani ubaguzi aujue Samia halafu Mbowe au Lema asiujue eti.

Kundi pekee linaloweza kusema limebaguliwa na Magufuli ni LA waislamu. Nalo tumelizoea, halijawahi kuacha Tuhuma za MfumoKristo, tangu Mkapa, Kikwete na Magufuli, hata Leo bado wapo wenye malalamiko hayo.

Sitakuficha, UNAKERA NA UNATIA AIBU.
 
Juu ya Sayansi wewe UNAAMINI, haya baki na Imani yako. Sisi TUNATAMBUA uwepo wa SAYANSI beyond hiyo unayoiamini wewe.
Yes naamini juu ya Sayansi, matokeo yake tunayaona wabishi wanaikubali sayansi

Kuna Askofu mmoja anaombea watu wapone na hata kufufua wafu.
Siku moja nilimuona amelezwa Hospitali, sikuwa na jibu bali maswali lukuki.

Unless sayansi beyond itakapowekwa wazi na kumsaidia mwanadamu, sayansi iliyopo ndilo jibu
Narudia tena... Juu ya Vita ya Uchumi Unajivua Nguo kweupe. Aibu najisikia mimi. Bora unyamaze tu, maana najua unajua fika nini hasa ni dhana husika, ni kusema unajitoa ufahamu.
Wasomaji wangependa kujua vita ya uchumi ya Magufuli ililenga nini? Tusaidie

Kwa mtazamo JPM alisema mambo mengi yanafanywa na nchi za Magharibu kutufilisi kiuchumi.

Alimaanisha COVID ilikuwa sehemu yake ndiyo maana akaenda kupima Mafenesi kupata jibu alililokuwa nalo tayari. JPM alitegemea vipimo viseme positive athibitishe 'ulaghai' wa mabeberu

Kipimo chochote kina specifications tena katika zama za electronics ndiyo kabisa.

Unatumia sample isiyo specific au calibrated majibu yatakuwa ya uongo, iwe false positive or false negative kwasababu hupo katika specification.

Katika kuthibitisha vita ya uchumi, JPM alisema masks (barakoa) zilizoletwa zilikuwa na mambo mengi akisisitiza '' mimi ni kiongozi wenu najua siri nyingi za nchi hii''.

Kwamba barakoa ziliwekewa vitu vya kuhujumu Watanzania

Angaliweza kuagiza zitengenezwe nchini bila kuweka taarifa zisizo sahihi.
Wazungu wakitaka kutuhujumu wanashindwa nini hadi wasubiri COVID na Barakoa?
Nilishakuambia, Kauli yake haikuwa sahihi. Na matendo yake yalisahihisha kauli hiyo. USICHOOELEWA NINI?
Kanda ya Kaskazini katika miaka yake Magufuli ameitembelea zaidi ya mara 4, na zote akifungua miradi, halafu wewe unang'ang'ania aliwabagua. Umekuwa kama mfa maji anayehangaika na ujani katika hoja hiyo.
Kauli yake imejenga chuki kati ya kanda zingine na ya kaskazini hasa kwa watu wenye upeo mdogo au uninformed au illiterate wanaodakia hoja bila kuifanyia analysis.
Kipindi cha JPM ndicho malumbano ya kanda yalipamba moto na ni kutokana na kauli yake.

Kauli yake haikusaidia kwasababu maendeleo ya kanda moja ni ya nchi nzima.
Nchi yetu ina mfumo wa 'centralized' mapato ya kaskazini yanaingia mfuko wa Taifa.

Kuwashauri wasubiri kanda nyingine ni jambo la ajabu sana kwa kiongozi wa nchi!
kwamba wasubiri kulipa kodi? Real! kwamba wasubiri wasiokuwa tayari? Real

Aliposema ''kaskazini wasubiri'' alilenga kujenga popularity kwingine bila kujua impact yake katika national cohesion! at the same time killing the fabrics that bind us together.
JPM statement was irresponsible, pathetic and loathe some.
Kazi ya kwanza ya kiongozi yoyote wa nchi duniani ni kuliweka Taifa pamoja si kuligawa

Kwamba ametembelea mara 4 na kuzindua miradi, hebu taja mradi mmoja tu nitakueleza kitu.
Mmoja tu aliozindua!
Kundi pekee linaloweza kusema limebaguliwa na Magufuli ni LA waislamu. Nalo tumelizoea, halijawahi kuacha Tuhuma za MfumoKristo, tangu Mkapa, Kikwete na Magufuli, hata Leo bado wapo wenye malalamiko hayo.Sitakuficha, UNAKERA NA UNATIA AIBU.
Hapa kuna tatizo! nisingependa kwenda ndani lakini ni vema umekiri JPM alibagua

**** Bado nasubiri unionyeshe kitu kimoja tu alichofanya JPM ambacho Marais waliotanguliwa hawakuweza kwa mmoja mmoja au ujumla wao utakavyotaka. Kitu kimoja tu
 
Ninachokuambia si Kila kuumizana au kupotezana Kunakiuka misingi ya Utu.

Rejea zoezi la Villagelization.

Ninakusii kuwa mkomavu, Usiwe na moyo mwepesi.
Kwanzo nina moyo wa ukomavu ndiyo maana sitoki kwenye mada wala sighadhabiki au kutukana

Pili, unapenda kufanya reference ya Nyerere, kitu sahihi sana

Nyerere ni standard ya performance, moral character and moral compass
Ukimweka awaye katika mizani na Nyerere zingatia std zilizotajwa hapo juu

Villagization ni zoezi lililofanywa kwa uwazi, hakukuwepo kutekana na kupotezana.

Ni zoezi lililokuwa na nia njema likafanywa vibaya na kuwa na matokeo mabaya
Wahusika wakawajibishwa . Mwalimu alikubali , akakiri makosa .

Huo ni ubinadamu na utu wa kujali wengine
Mwalimu alijali Raia hata kama ni mmoja, alielewa kazi yake ni kulinda watu na mali.

Wala Mwl asingakaa kimya wananchi wakihofia usalama wao na wala asingekaa kimya nchi kuvamiwa na watu wasiojulikana pengine kutoka nje ya nchi !

Mwl alirudisha mateka wa Libya! alisema hauzi binadamu, kiwango cha juu cha utu na ubinadamu.

Ukitaka kumweka Nyerere kwenye mizani na mwingine basi hakikisha rekodi zote zipo mezani
 
Kwanzo nina moyo wa ukomavu ndiyo maana sitoki kwenye mada wala sighadhabiki au kutukana

Pili, unapenda kufanya reference ya Nyerere, kitu sahihi sana

Nyerere ni standard ya performance, moral character and moral compass
Ukimweka awaye katika mizani na Nyerere zingatia std zilizotajwa hapo juu

Villagization ni zoezi lililofanywa kwa uwazi, hakukuwepo kutekana na kupotezana.

Ni zoezi lililokuwa na nia njema likafanywa vibaya na kuwa na matokeo mabaya
Wahusika wakawajibishwa . Mwalimu alikubali , akakiri makosa .

Huo ni ubinadamu na utu wa kujali wengine
Mwalimu alijali Raia hata kama ni mmoja, alielewa kazi yake ni kulinda watu na mali.

Wala Mwl asingakaa kimya wananchi wakihofia usalama wao na wala asingekaa kimya nchi kuvamiwa na watu wasiojulikana pengine kutoka nje ya nchi !

Mwl alirudisha mateka wa Libya! alisema hauzi binadamu, kiwango cha juu cha utu na ubinadamu.

Ukitaka kumweka Nyerere kwenye mizani na mwingine basi hakikisha rekodi zote zipo mezani
Uwe unaelewa basi.

Hoja hapa ni kukuambia, UTU HAUPIMWI KWA HISIA ZA WATU.

Sijalinganisha vile unavyopenda. Kuomba radhi hakujawaondoa wenye manung'uniko naye bado. Nenda Morogoro katafute wazee wakupe mikasa ya MJERU, na uone hisia za chuki juu ya Zoezi la Vijiji vya Ujamaa.

Ninachokuambia Chuki na Hisia hasi za hao wazee, haubatilishi Ukuu wa Nyerere katika Kutimiza Wajibu wake.



Ukomavu naosemea ni wa Kuwa na moyo mgumu katika Kulinda Masilahi ya Umma, hata ikibidi ni kwa damu kama alivyofanya Nyerere katika zoezi LA villagilization.

Hata asingeomba radhi Nyerere, bado alichokifanya kilikuwa sahihi. Huo ndio UTU.
 
Kauli yake imejenga chuki kati ya kanda zingine na ya kaskazini hasa kwa watu wenye upeo mdogo au uninformed au illiterate wanaodakia hoja bila kuifanyia analysis.
Hongera sana. Nafikiri unajielewa vizuri sasa. Tuishie hapa katika hilo.

Ila usisahau kuwa wenye uelewa huo ulishawataja, kwa kumbukumbu tu ni Wasomi, Wapinzani, Wastaafu na Viongozi wa Dini na wale uliosema Tuwaunge mkono.
 
Uwe unaelewa basi.

Hoja hapa ni kukuambia, UTU HAUPIMWI KWA HISIA ZA WATU.

Sijalinganisha vile unavyopenda. Kuomba radhi hakujawaondoa wenye manung'uniko naye bado. Nenda Morogoro katafute wazee wakupe mikasa ya MJERU, na uone hisia za chuki juu ya Zoezi la Vijiji vya Ujamaa.

Ninachokuambia Chuki na Hisia hasi za hao wazee, haubatilishi Ukuu wa Nyerere katika Kutimiza Wajibu wake.

Ukomavu naosemea ni wa Kuwa na moyo mgumu katika Kulinda Masilahi ya Umma, hata ikibidi ni kwa damu kama alivyofanya Nyerere katika zoezi LA villagilization.

Hata asingeomba radhi Nyerere, bado alichokifanya kilikuwa sahihi. Huo ndio UTU.
Sawa sawa! kwa maana hiyo ya Nyerere ambaye tunakubaliana ni standard katika performance, moral character and moral compass, ningekusihi utetee hoja ya UTU dhidi ya tuhuma anazotupiwa Magufuli. Je, alikuwa na UTU , je alijali ubinadamu? Je, aliheshimu haki za Wanadamu?
 
Hongera sana. Nafikiri unajielewa vizuri sasa. Tuishie hapa katika hilo.

Ila usisahau kuwa wenye uelewa huo ulishawataja, kwa kumbukumbu tu ni Wasomi, Wapinzani, Wastaafu na Viongozi wa Dini na wale uliosema Tuwaunge mkono.
Hapana! ninasema hivi wasomi, Wapinzani, Wastaafu, Viongozi wa diini n.k. ni sehemu ya jamii
Sina shaka nao kuhusu kauli ya Magufuli ya kuwataka Watu wa kaskazini wasubiri.

Hakuna nayekubali kuwa jamii fulani isubiri, isubiri nini? Rais anakusanya kodi kaskazini halafu anataka jamii hiyo isubiri, ni kitu kinacho defy logics zote katika vitabu.

Tatizo la Kauli ya Magufuli ni kwa watu wenye upeo mdogo kieleimu na wale wanao amini kile anachosema tu ! hawa ndio tunao waona wakijenga chuki dhidi ya kanda nyingine.

Tunakubaliana ile kauli haikufaa kutolewa na kiongozi wa nchi na hata alipoambiwa hakurudi kuomba radhi! Ilikuwa ni kauli irresponsible, pathetic , immoral , loathe some and divise
 
Sawa sawa! kwa maana hiyo ya Nyerere ambaye tunakubaliana ni standard katika performance, moral character and moral compass, ningekusihi utetee hoja ya UTU dhidi ya tuhuma anazotupiwa Magufuli. Je, alikuwa na UTU , je alijali ubinadamu? Je, aliheshimu haki za Wanadamu?
Kulijua hilo ni mpaka pale tutakapoletewa Ushahidi wa Tuhuma zake.
Kama upo ulete.

Kwangu mpaka Leo natambua Aliishi UTU kwani alitimiza Wajibu wake kama kiongozi.

Sasa tupe ushahidi wa kutowajibika kwake.
 
Hapana! ninasema hivi wasomi, Wapinzani, Wastaafu, Viongozi wa diini n.k. ni sehemu ya jamii
Sina shaka nao kuhusu kauli ya Magufuli ya kuwataka Watu wa kaskazini wasubiri.

Hakuna nayekubali kuwa jamii fulani isubiri, isubiri nini? Rais anakusanya kodi kaskazini halafu anataka jamii hiyo isubiri, ni kitu kinacho defy logics zote katika vitabu.

Tatizo la Kauli ya Magufuli ni kwa watu wenye upeo mdogo kieleimu na wale wanao amini kile anachosema tu ! hawa ndio tunao waona wakijenga chuki dhidi ya kanda nyingine.

Tunakubaliana ile kauli haikufaa kutolewa na kiongozi wa nchi na hata alipoambiwa hakurudi kuomba radhi! Ilikuwa ni kauli irresponsible, pathetic , immoral , loathe some and divise
Chutama.
 
Sasa mheshimiwa tutende haki kwa wasomaji

1. Katika miradi aliyozindua kaskazini nitajie mmoja tu , mimi nitakupa maelezo

2. Tueleze kimoja tu alichofanya Magufuli ambacho Watangulizi wake hawakufanya
 
Kulijua hilo ni mpaka pale tutakapoletewa Ushahidi wa Tuhuma zake.
Kama upo ulete.

Kwangu mpaka Leo natambua Aliishi UTU kwani alitimiza Wajibu wake kama kiongozi.

Sasa tupe ushahidi wa kutowajibika kwake.
OK, aliishi UTU sasa tupe ushahidi wa moral character, moral compass na performance yake

Kutimiza wajibu ni kazi aliyoomba, alitimazaje wajibu ni mjadala mwingine

Je, alitimiza wajibu wa kulinda Watu na Mali zao?
 
Sasa mheshimiwa tutende haki kwa wasomaji

1. Katika miradi aliyozindua kaskazini nitajie mmoja tu , mimi nitakupa maelezo

2. Tueleze kimoja tu alichofanya Magufuli ambacho Watangulizi wake hawakufanya
Wewe Chagua wowote kuutolea maelezo. Si utufundishe kwa mifano, shida iko wapi?
Hilo LA Pili nilishalijibia mapema tu.
 
OK, aliishi UTU sasa tupe ushahidi wa moral character, moral compass na performance yake

Kutimiza wajibu ni kazi aliyoomba, alitimazaje wajibu ni mjadala mwingine

Je, alitimiza wajibu wa kulinda Watu na Mali zao?
Bado hujaelewa Utu ni nini! Rudia kusoma tena.

Kukusaidia tena labda.... Wajibu ni Kufanya kile UNACHOPASWA KUFANYA, kulingana na nafasi yako. Na hicho ndio KIPIMO CHA UTU.
Inapokupaswa Kusamehe, Utasamehe.
Inapokupasa Kuhurumia, Utahurumia.
Itakapokupasa Kupenda, Utapenda.
Itakapokupasa Kunyenyekea, Utanyenyekea.
Na vivyo hivyo, Itakapokupasa Kutesa, Utatesa.
Itakapokupaswa kupoteza, UTAPOTEZA.
Itakapokupaswa Kuua, UTAUA.

NA YOTE HAYO HAYATABADILISHA UTU WAKO.


UTU SIO UPOLE WALA UKALI NJE YA VILE IPASWAVYO. UTU ni wajibu/kuenenda ipaswavyo.

Nilipokuambia uwe mkomavu, uwe na moyo mgumu, lengo uelewe hivyo.

Kuna watu hata kesho hawapaswi kuiona, watekelezao wajibu huo wanakuwa wametii Utu, na wale wasiotekeleza watakuwa wamekiuka Utu.

Uongozi unahitaji Fikra ngumu, sio za kitoto na maigizo ya sinema mnayoaminishwa na wazungu.

Kueni, Komaeni.
 
Wewe Chagua wowote kuutolea maelezo. Si utufundishe kwa mifano, shida iko wapi?
Hilo LA Pili nilishalijibia mapema tu.
Hamuwezi kutetea ''legacy' ndio maana hamna majibu mnapoulizwa maswali rahisi sana

Umesema kauli ya JPM kuhusu kasakazini wasubiri haikuathiri chochote kwasababu alikwenda mara 4 kuzindua miradi. Hukutaja miradi kwasababu unajua wazi miradi aliyozindua ilianza na awamu ya Kikwete. Mfano mmoja ni barabara ya EAC na Mradi wa maji Arusha
JPM hakuanzisha mradi wowote safari zilikuwa kudandia miradi ya awamu ya 4

Rais wa nchi hawezi kuwaambia wananchi na walipa kodi wasubiri katika maendeleo yao.

Rais alipaswa kuwahimiza akiwataka wengine waige mfano! siyo kuwasumanga na kuwananga
wanaotafuta maendeleo yao

Kauli ya JPM dhidi ya watu wa kasakazini ilikuwa irresponsible, pathetic, loathe some ikiwa imefungwa kwenye mfuko mkubwa wa Hate. Amechonganisha Taifa kwa ukanda na hiyo ni legacy yake.

Pili,nilikuuliza kitu gani JPM alifanya ambacho Watangaulizi hawakufanya, hukuwa na jibu.
Well , jibu lake ni HAKUNA

Mifano michache; Magufuli hakujenga hata sentimita (cm) moja ya reli. Kama ipo itaje
Mpango wa kuhamia Dodoma ulikuwepo ! unakumbuka CDA?
Sina uhakika kama kuna barabara mpya chini ya utawala wake, kama ipo itaje

Narudia hakuna kitu kipya hata kimoja alichofanya! pengine alifanya kwa kasi lakini si upya

Need I say more?
 
Back
Top Bottom