Anna Makinda: Kuna Mawaziri walikuwa wanapinga Serikali kuhamia Dodoma, bila Hayati Magufuli isingewezekana

Huyu bibi ni mjinga sn, kwa umri wake kuhangaika na mawigi kama vile yupo F2 ni aibu kwa taifa, je hao mawaziri sahivi wapo Dodoma au Dar? kuhamia Dodoma ndiyo kumaliza shida za wananchi?
Kama kweli una jina la kiume basi una hulka ya KE'
 
Watu hawawezi kufanana,hata Sasa mpo mnaopinga maridhiano ya kuleta Katiba Mpya mbona.
 
Huyu bibi ni mjinga sn, kwa umri wake kuhangaika na mawigi kama vile yupo F2 ni aibu kwa taifa, je hao mawaziri sahivi wapo Dodoma au Dar? kuhamia Dodoma ndiyo kumaliza shida za wananchi?
wewe uwe na adabu acha matusi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…