JackisonDubai
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 537
- 1,282
- Thread starter
-
- #41
Hiyo ofisi ya Chadema ina hadhi sawa na choo Cha Ali kibaUko sahihi kabisa, huoni CHADEMA wana kiofisi kidogo kama makao makuu yake lakini wanasaidia wananchi mno. Kuliko wenye ofisi kubwa - CUF!
Fanya utafiti wako vizuri
Zile za wizara zimeenda wapi?Ikiwa Dar watakaa kwenye ofisi zipi
Yupo na nao Dar wanakula bibi townKwahiyo mawaziri hawapo maofisini kwao? Wapo wapi? Je boss wao anajua kuwa mawaziri wake hawapo ofisini ?
Rais yuko Dsm hadi Tarehe 1 atakuwa DsmFanya utafiti wako vizuri
Kama kweli una jina la kiume basi una hulka ya KE'Huyu bibi ni mjinga sn, kwa umri wake kuhangaika na mawigi kama vile yupo F2 ni aibu kwa taifa, je hao mawaziri sahivi wapo Dodoma au Dar? kuhamia Dodoma ndiyo kumaliza shida za wananchi?
Watu hawawezi kufanana,hata Sasa mpo mnaopinga maridhiano ya kuleta Katiba Mpya mbona.Spika wa bunge msitaafu Mh Anna Makinda ambaye pia amehudumu serikalini Kwa zaidi ya miaka 40, akiwa kwenye Misa ya kumbukizi ya hayati Magufuli ametoa sifa nyingi kuhusu Rais huyo wa awamu ya tano, na akatoa Siri kwamba Kuna viongozi wengi walikuwa hawataki serikali kuhamia Dodoma na walikuwa wanaona ni upuuzi tu
Lakini alipoingia Rais Magufuli serikali ilihamia na ikajengwa Ikulu bora kabisa na kubwa kwenye ukanda wote wa Afrika mashariki na ya kati.
Anne Makinda ameonya kuwa mwanasiasa yoyote anayepotosha kwamba Magufuli hakuwa chochote Tanzania atashindwa tu.
Mtajuana na mumeo hayanihusuKama kweli una jina la kiume basi una hulka ya KE'
Wacha kumuonea wivu mwanamke mwenzako.Mtajuana na mumeo hayanihusu
Sawa dada anguWacha kumuonea wivu mwanamke mwenzako.
Nimeamini adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake.
Ni mke wa AmsterdamKama kweli una jina la kiume basi una hulka ya KE'
wewe uwe na adabu acha matusi .Huyu bibi ni mjinga sn, kwa umri wake kuhangaika na mawigi kama vile yupo F2 ni aibu kwa taifa, je hao mawaziri sahivi wapo Dodoma au Dar? kuhamia Dodoma ndiyo kumaliza shida za wananchi?
Boss mwenyewe hakai dodomaKwahiyo mawaziri hawapo maofisini kwao? Wapo wapi? Je boss wao anajua kuwa mawaziri wake hawapo ofisini ?
Heshimu mawazo ya wanaumewewe uwe na adabu acha matusi .
huyo ni mwanamke alishaguswa kimasihara.Kama kweli una jina la kiume basi una hulka ya KE'
mbona unaguswaguswa kimasihara kisamvuni?Heshimu mawazo ya wanaume
Kama dingi akombona unaguswaguswa kimasihara kisamvuni?
Hahitaji kusafishwa ukipanda ndege zake tayar umesafisha
Vipi tena hizo chuki? sasa comment yake ina uhusiano gani na hayo maneno yako? Yeye kama mwananchi kafanya comment, sasa ujinga unatoka wapi hapo?