Anna Makinda: Kuna Mawaziri walikuwa wanapinga Serikali kuhamia Dodoma, bila Hayati Magufuli isingewezekana

Anaponda waliopingana na Magufuli halafu mnataka yeye asipondwe?. Mama mnafiki Sana.

..halafu kuna tatizo kubwa sana ktk jinsi Watz tunavyojadili mambo mbalimbali.

..kwa mtizamo wangu Mama Makinda hakupaswa kusema kuna waliopinga na kuunga mkono ujenzi wa mji mkuu Dodoma.

..kwasababu anadai alikuwa sehemu ya mjadala basi angeeleza waliopinga walikuwa na hoja 1 2 3. Vilevile aeleze na hoja za waliounga mkono.

..Pia angeeleza baada ya ujenzi wa mji mkuu Dodoma tumetumia kiasi gani, na hasara na faida zake ni nini.
 
Huyu bibi ni mjinga sn, kwa umri wake kuhangaika na mawigi kama vile yupo F2 ni aibu kwa taifa, je hao mawaziri sahivi wapo Dodoma au Dar? kuhamia Dodoma ndiyo kumaliza shida za wananchi?
Inakuhusu nini wewe mswahili wa manzese?
 
Lini mtahama Ubelgiji?
Unatiwa choko wewe, unadhani kila mtu ni shabiki wa vyama vya siasa.
Kuishi nje ya nchi ni maamuzi ya mtu binafsi, nina miaka 25 nje ya nchi na bado na-hustle hivyo aliyeenda juzi kati tu hapa aendelee tu kama ndiyo mazingira mazuri kwake na familia yake.
 
Unaishi nje ya nchi Kwa kuuza malinda
 
Ofisi zipo DODOMA kwaio unatakiwa kuwalaumu hao kama hawakai ofisini kutatua kero za watanzania wapo huko Dar wanafanya nini.Sio kumlaumu mtu aliyeamua kutekeleza issue ya kuhamia sehemu ambapo serikali inabidi iwepo.
Huu ujinga kama wako ukiamua unaweza kubadilika it is not too late to accept the situation.
 
Hoja yako imenisikitisha sana kwaio serikali ilitakiwa ibakie Dar kwa sababu mawaziri wanapenda Dar.Idiot
 
Una akili sana mkuu
 
BIBI AMEWAGEUKA WENZAKE,SIE WATU WA KIJITONYAMA HUTUDANGANYI KWA HILO,ACHEONI KUTUSUMBUA AKILI ZETU ZINAWAZA SEMBE TEMBELE.
 
Baba ako, huoni kama ni gharama kubwa mawaziri wanakuwa na ofisi Dar na Dom?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…