Ni wahuni tu, wamejipunguza hakuna walichojiongezaHuu mkataba ulikuwa WA bandari ya Dar yote Ila baada ya kelele naona mbalawa na Dada yake wakajiongeza wakaenda kufanya marekebisho uonekane Ni wa magati Saba tu, sasa jiulize wakiweka mitambo ya kisasa kwenye hayo magati Saba maana yake Ni kuwa kwenye magati yetu Sisi yatakosa meli na ushindani baina ya serikali na DP utaanza.
Kwenye IGA pameandikwa sea and lake ports,hiyo yako umetoa wapi?DPW hatakabidhiwa Bandari zote, wala Bandari yoyote, watakabidhiwa tuu zile Beth za makontena zilizokuwa chini ya Ticks kwenye Bandari moja tuu ya Dar es Salaam, hivyo tutakuwa free kuendeleza Bandari yetu ya Bagamoyo na Mchina.
P
Advocatte Pascal Mayalla Article 23 ya mkataba ndivyo inavyosema?No hawatukopeshi, bali watainvest, na kuendesha, watakata chap na kutupa chetu, wakiisha jilipa say 30 years, watatuachia.
P
Ni kweli unalo andika lakini hilo ni kwa faida ya TZ kuliko BP World, yeye antawekeza pesa kubwa improvement na oparation zake ili pesa yake irudi na serikali iendelee kupata revenues, hizo pesa hatuna sisi, huyu dp world atabadili muelekeo wa biashara Tz nzima, atajipanua zaidi na zaidiNisubiri kitu gani wakati mkataba umeshakuwa unatekelezwa tangu October 2022?
Hiyo miaka yako 30 unaiweka kwa mapenzi yako tu, niambie umeiona wapi kwenye yale makubaliano yaliyowafanya DP World waanze utekelezaji wao tangu mwaka jana?
Kwenye yale makubaliano ya mwaka jana, Article 23 inazungumzia duration and termination, ambapo hapo hawajaweka muda maalum wa kwisha mkataba, kama ni miaka miwili, tatu, tano, kumi au 100..
Wao wamezungumzia tu kwamba, mkataba unaweza kwisha pakiwepo na permanent cessation of all project activities, sasa hebu niambie, hizo project activities zinaweza seize vipi? au mpaka pale maji ya bahari na maziwa yatapokauka?!
Ok, bado kipengele kidogo cha kwanza kwenye hiyo article 23 niliyokupa kinasema, mwarabu anaweza kuamua kuendelea kuwepo akiona bado anacho cha kuvuna, hata kama maji ya bahari na maziwa yatakauka!.
Hapa kuna wahuni wavaa tai walishakunja mzigo wao na kuutia mfukoni.Nisubiri kitu gani wakati mkataba umeshakuwa unatekelezwa tangu October 2022?
Hiyo miaka yako 30 unaiweka kwa mapenzi yako tu, niambie umeiona wapi kwenye yale makubaliano yaliyowafanya DP World waanze utekelezaji wao tangu mwaka jana?
Kwenye yale makubaliano ya mwaka jana, Article 23 inazungumzia duration and termination, ambapo hapo hawajaweka muda maalum wa kwisha mkataba, kama ni miaka miwili, tatu, tano, kumi au 100..
Wao wamezungumzia tu kwamba, mkataba unaweza kwisha pakiwepo na permanent cessation of all project activities, sasa hebu niambie, hizo project activities zinaweza seize vipi? au mpaka pale maji ya bahari na maziwa yatapokauka?!
Ok, bado kipengele kidogo cha kwanza kwenye hiyo article 23 niliyokupa kinasema, mwarabu anaweza kuamua kuendelea kuwepo akiona bado anacho cha kuvuna, hata kama maji ya bahari na maziwa yatakauka!.
Yes, DP World amekuja kutukamua milele mpaka pesa zake zirudi, sasa sijui mnashangilia kitu gani hapo?!Ni kweli unalo andika lakini hilo ni kwa faida ya TZ kuliko BP World, yeye antawekeza pesa kubwa improvement na oparation zake ili pesa yake irudi na serikali iendelee kupata revenues, hizo pesa hatuna sisi, huyu dp world atabadili muelekeo wa biashara Tz nzima, atajipanua zaidi na zaidi
ndiyo mana alipokea ile hela ya mboga, usmart ulimzidi sana.Anna ni smart sana kuliko Samia
Mkataba ni open end kwamba mpaka maendeleo ya patikane na serikali ipandishe revenue yake, maanake wame kabidhiwa milele, na sie tutapata maendeleo milele kwahiyo hamna hasara kwote kwote 'DP world is here to stay' tubadiliki na kupata namna ya kuishi nao kama sehemu ya nchi yetu.Yes, DP World amekuja kutukamua milele mpaka pesa zake zirudi, sasa sijui mnashangilia kitu gani hapo?!
Siyo vizuri Hata kidogo kutilia shaka Platinum Member wa JF. Lakini, ili kutosababisha kutokea shaka hiyo, Member huyo anatakiwa ajenge hoja zake kwa kuweka ushahidi wa wazi kwa suala nyeti kama hili.DPW hatakabidhiwa Bandari zote, wala Bandari yoyote, watakabidhiwa tuu zile Beth za makontena zilizokuwa chini ya Ticks kwenye Bandari moja tuu ya Dar es Salaam, hivyo tutakuwa free kuendeleza Bandari yetu ya Bagamoyo na Mchina.
P
Waende mbali zaidi. Wafanye itakavyonwapendeza hao wazalendoMkataba wa Dp umevujishwa ndio maneno tuyasikiayo. Kama ni hivyo niini dhumuni la kuuvujisha? Kama ni kati ya haya mawili
1. Jamii ielewe na isituke na kujua kilichokuwa kinaendelea na pengine ichukue hatua kama hizi tunazoziona za kupiga kelele.
2. Kwa kusudi la kustukia kuendelea kufanya uwe siri ni kujiadangaya maana utekelezaji wake utaonekana hadharani.
Kwa sababu no. 1 yeyote aliefanya hivi ni Nzalendo "Watergate" Huyu au hawa Wazalendo walikuwa na suluhisho moja tu la kuvujisha basi?
She is wrong on this oneProf Anna Tibaijuka anasema Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential so tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga
Tibaijuka anasema kupitia Ukurasa wake wa twitter kwamba bado ana Imani Mkataba Huo wa DP World utarekebishwa kwa kutumia Wataalamu Wetu wa Uchumi
Mlale unono!
Sawa Pasco lakini ionekane kwenye mkataba hao sio wajomba zetu tulishaumwa na nyoka brother huko nyumaDPW hatakabidhiwa Bandari zote, wala Bandari yoyote, watakabidhiwa tuu zile Beth za makontena zilizokuwa chini ya Ticks kwenye Bandari moja tuu ya Dar es Salaam, hivyo tutakuwa free kuendeleza Bandari yetu ya Bagamoyo na Mchina.
P
Kichwa kikishaingia tu....DPW hatakabidhiwa Bandari zote, wala Bandari yoyote, watakabidhiwa tuu zile Beth za makontena zilizokuwa chini ya Ticks kwenye Bandari moja tuu ya Dar es Salaam, hivyo tutakuwa free kuendeleza Bandari yetu ya Bagamoyo na Mchina.
P
Ataletaje maendeleo Bukoba kwa mfumo wa nchi ulivyo?Dada yake karamagi anaupiga mwingi, ni bora angetumia usmart wake kuwaleta maendeleo wana BK kuliko kuwahadaa
Kutetea huu mkataba kazi sana, bora mnyamaze kimya tu.Mkataba ni open end kwamba mpaka maendeleo ya patikane na serikali ipandishe revenue yake, maanake wame kabidhiwa milele, na sie tutapata maendeleo milele kwahiyo hamna hasara kwote kwote 'DP world is here to stay' tubadiliki na kupata namna ya kuishi nao kama sehemu ya nchi yetu.
Documents za mkataba ziko wap tuzione...DPW hatakabidhiwa Bandari zote, wala Bandari yoyote, watakabidhiwa tuu zile Beth za makontena zilizokuwa chini ya Ticks kwenye Bandari moja tuu ya Dar es Salaam, hivyo tutakuwa free kuendeleza Bandari yetu ya Bagamoyo na Mchina.
P
Style yao kuwafunga wengine midomo, usitishwe.OMG,sikufikiria hata udini,wallah.
This could be true, kelele zinasaidia!. HGA itakuwa nzuri.Huu mkataba ulikuwa WA bandari ya Dar yote Ila baada ya kelele naona mbalawa na Dada yake wakajiongeza wakaenda kufanya marekebisho uonekane Ni wa magati Saba tu,
Hapana!, hakutakuwa na ushindani kwasababu DPW hatakabidhiwa Bandari yote but only container terminal, hivyo meli nyingine zote tunaendelea kama kawaida.sasa jiulize wakiweka mitambo ya kisasa kwenye hayo magati Saba maana yake Ni kuwa kwenye magati yetu Sisi yatakosa meli na ushindani baina ya serikali na DP utaanza.
No, hakuna ushindani kama unauza bidhaa tofauti na yeye.Yaani Ni mfano unanyumba yako alafu ina flemu za maduka alafu umemkodishia mchaga anakulipa Kodi Ila na wewe una duka lako hapo alafu wateja wengi wanaenda Kwa Mangi Kwa Sababu analugha ya biashara,vitu og, na anapunguzo unadhani utafurahia.
It depends on the value of investing unachukuaHapa tunalishwa matango poli kama wanaweza wawekeze pote alafu 70%serikali na 30%Dp na masuala ya ulinzi na Kodi libaki serikalini au watukopeshe hizo pesa hata kama 10t alafu tufunge hiyo mitambo tuwalipe.
Naamini documents za IGA umeziona, HGA ndio bado iko kwenye draft stage.Documents za mkataba ziko wap tuzione...