Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Acha team madili wauane!!Prof Anna Tibaijuka anasema Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential so tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga
Tibaijuka anasema kupitia Ukurasa wake wa twitter kwamba bado ana Imani Mkataba Huo wa DP World utarekebishwa kwa kutumia Wataalamu Wetu wa Uchumi
Mlale unono!
Yuko serious kabisa!Moja ya wazee wa "hela za kwenye sandarusi" kaongea...
Anavyoongea utadhani yupo serious vile
Makada wameshapewa maelekezo ya Party Caucus!Unapotosha.
Kwenye ule mkataba, Part 2 General Obligations, na Article 2 ya ule mkataba, pale kwenye Objectives of the Agreement, panatamka wazi kabisa, Waarabu wamekabidhiwa ports zote za maziwa na bahari waziendeshe Tanzania Bara yote, tangu October 2022.
Wanaziendesha kwenye maeneo yafuatayo kulingana na makubaliano;
Development, improvement, management, and operation of lake ports, special economic zones, logistic parks, trade corridors...
Inshort, Samia msaliti amewakabidhi wajomba zake kila kitu kwenye bandari zetu zote Tanzania bara.
Really?Ile ilikuwa zawadi.Wewe ungekataa?Halafu unapewa na rafiki yako,unayejua ni tajiri na ana biashara zake zinajulikana.
Duh!Unapotosha.
Kwenye ule mkataba, Part 2 General Obligations, na Article 2 ya ule mkataba, pale kwenye Objectives of the Agreement, panatamka wazi kabisa, Waarabu wamekabidhiwa ports zote za maziwa na bahari waziendeshe Tanzania Bara yote, tangu October 2022.
Wanaziendesha kwenye maeneo yafuatayo kulingana na makubaliano;
Development, improvement, management, and operation of lake ports, special economic zones, logistic parks, trade corridors...
Inshort, Samia msaliti amewakabidhi wajomba zake kila kitu kwenye bandari zetu zote Tanzania bara.
Article 6 sub 1 waarabu wamepewa "Exclusive Rights" kufanya mambo yao, na chini ya makubaliano haya, ndio wameshaanza kufanya shughuli zao tangu October 2022.Ndio maana nimewashauri Watanzania wanahitaji elimu ya mikataba, ile IGA ni makubaliano tuu na sio mkataba, mkataba ni HGA, bado!.
Kuna vitu ukiwa hujui ndio utashangaa miaka 30 na kuiona mingi!. Unaujua mkataba wa bomba la gesi ni wa miaka mingapi? Bomba la Gesi Mtwara:A "20 -Year Grace Period" ya Mkopo wa Exim Bank-China ni "Changa la Macho?!".
Duration haiwekwi kwenye IGA, duration inawekwa kwenye HGA
No sio hivyo, HGA itaweka projects na duration, project zote zikikamilika ndipo mkataba unakwisha.
Yes kwasababu anaweza kutengeneza bahati!, Bandari ya Dubai ni artificial port, imetengenezwa, ndio the biggest artificial port in the world!.
P
Anakera sana, ameamua kumtumikia shetani kwa nguvu zake zote, tena kwa kuita wengine wajinga, wakati yeye ndie hafai kabisa.Duh!
Nashangaa kidogo kiasi cha uvumilivu ulionao kupoteza muda kujibu lolote mtu kama huyo uliyemjibu.
Ni vigumu kuamini kuwa hujui huyo mtu ni mtu wa aina gani kutokana na anayojaza humu JF tokea ajiunge.
Mtu asiyekuwa na mwelekeo wowote juu ya jambo lolote, na mara nyingi ni kama anasahau na kupingana na aliyokwisha andika kwingine
Mtu asiyekuwa na taaluma yoyote ambayo akieleza jambo lolote linalohusiana na taaluma hiyo utatoka na uelewa wa alichokiandika!
Huyu hata kwenye u'opportunist' hayumo na hata 'uchawa' anaojaribu kuwasogelea wanaona hawafai!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]duh Mkuu ni wewe kweli umemaliza kwa ku reason namna iyo hapo mwisho?This could be true, kelele zinasaidia!. HGA itakuwa nzuri.
Hapana!, hakutakuwa na ushindani kwasababu DPW hatakabidhiwa Bandari yote but only container terminal, hivyo meli nyingine zote tunaendelea kama kawaida.
No, hakuna ushindani kama unauza bidhaa tofauti na yeye.
It depends on the value of investing unachukua
1. The value of investment
2. Kawanya kwa expected annual net profit
3. Unapata the period of return of investment ndipo mnaamua mkataba uwe wa miaka mingapi, let's say 30 years.
Watanzania tunahitaji kuelimishwa elimu ya mikataba, mbona tumesaini PSA 21 za gesi asili kwenye mikataba ya ajabu sana na hakuna kelele? Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe!
Kwenye bomba la gesi la Mtwara, mbona tumesaini mkataba wa ajabu na hakuna kelele? Bomba la Gesi Mtwara:A "20 -Year Grace Period" ya Mkopo wa Exim Bank-China ni "Changa la Macho?!".
Kwanini watu wanapiga kelele kuhusu DPW?
P
Kama Tanzania ni Mshindani wa Bandari ya Dubai basi Yanga na Simba ni Washindani wa Madrid na Barcelona.
Somo rahisi msilotaka kulielewa. Ukomo wa mkataba umeelezwa vizuri tu Article 23, ila hamtaki kuelewa.Tuzungumzie ukomo wa huu mkataba,
Ni wa miaka mingapi??
Point yake nikusema huu mkataba hautufai sema ametumia tafsidaProf Anna Tibaijuka anasema Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential so tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga
Tibaijuka anasema kupitia Ukurasa wake wa twitter kwamba bado ana Imani Mkataba Huo wa DP World utarekebishwa kwa kutumia Wataalamu Wetu wa Uchumi
Mlale unono!
Uzi haujaandikwa hivyo lakini, hili ni sawa maana ana Djibout, Somaliland, Congo, Msumbiji na Angola ama Namibia kama sijakosea. So watakapopata Comission kubwa watazisukumizia huko zaidi.Hujamwelewa Professor.
Ni kwamba DP ana bandari zingine katika pwani ya Afrika mashariki hvyo automatically anakua ni mshindani wa bandari ya Dar
Huwa sisomi takataka za huyo jamaa. Ni kama kusoma zile za Lucas Mwalushamba utegemee kupata wazo la kufikirisha, hupati.Anakera sana, ameamua kumtumikia shetani kwa nguvu zake zote, tena kwa kuita wengine wajinga, wakati yeye ndie hafai kabisa.
Kwa jinsi ilivyo, hii inaitwa " No turning back" serikali ya Mama "imeshazamilia"Prof Anna Tibaijuka anasema Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential so tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga
Tibaijuka anasema kupitia Ukurasa wake wa twitter kwamba bado ana Imani Mkataba Huo wa DP World utarekebishwa kwa kutumia Wataalamu Wetu wa Uchumi
Mlale unono!
Nchi hii kuna wakati tunapewa wadhaifu waongoze ili mafisadi watimize matakwa yao.Anna anasema ukweli,na hana sababu ya kujipendekeza kwa Samia.Anna ni smart sana kuliko Samia.
Mwanasheria P, hii imeandikwa ktk mkataba upi? Maana huu feki hakuna hayo usemayo... Tujue tufute machozi bana🙏DPW hatakabidhiwa Bandari zote, wala Bandari yoyote, watakabidhiwa tuu zile Beth za makontena zilizokuwa chini ya Ticks kwenye Bandari moja tuu ya Dar es Salaam, hivyo tutakuwa free kuendeleza Bandari yetu ya Bagamoyo na Mchina.
P
Huyu Alaaniwe kabisa.Nchi hii kuna wakati tunapewa wadhaifu waongoze ili mafisadi watimize matakwa yao.
Mzee wa Mso..ga.. Mungu akulaani
Msoga hana uchungu kabisa na nchiHuyu Alaaniwe kabisa.