Anna Tibaijuka: Kuchukua umeme kutoka vyanzo mbalimbali nafuu, ni kwa usalama wa Taifa letu

Anna Tibaijuka: Kuchukua umeme kutoka vyanzo mbalimbali nafuu, ni kwa usalama wa Taifa letu

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Ameandika prof. Anna tibaijuka katika ukurasa wake wa X:

UMEME KUTOKA ETHIOPIA (km 1500) HADI ARUSHA UNAKUWAJE RAHISI KULIKO WA KUTOKA RUFIJI (Km 650)?

Taarifa hii ilitushangaza na hata kutushtua wengi. Nikaona nijielimishe kwa wahusika Wizarani. Nikaelezwa umeme utanunuliwa kutoka Station ya kusambaza umeme hapo Namanga kupitia Grid ya Kenya.

Uwekezaji wa transmission line ni wa muuzaji ingawaje ataikomboa kupitia bei itakayokubaliwa. Pili. Siyo sahihi kutegemea chanzo kimoja kwa grid ya taifa.

Pakitokea dharura Rufiji basi nchi nzima inaingia gizani. Inaitwa diversification. Kwa hiyo tuombe serikali ije na tangazo rasmi kuelezea kwa utaalamu zaidi jambo hili la kimkakati na mustakabari wa umeme wa ziada utakaozalishwa kama upo.

Uwe wa vyanzo vya maji au gesi au jua kwa ujumla wake. Usalama wa nishati ni usalama wa taifa.

Soma pia: Rais Samia: Tanzania inayo nafasi ya kuuza umeme nje

anna .png


My Take:
CHADEMA hawawezi kutambua hili, hawaelewi juu ya udharura unaweza kutupata wakati wowote, Akili zetu zote tukizilaza rufiji, na unfortunately ika burst, ndiyo nchi yote iingie gizani?

Yaani hawa chadema akili zao sijui zipoje, hopeless, hawaoni mambo kwa kina na kwa marefu.
-------
 
Sasa chadema wanahusika nini embecile wewe? Ulisikia mbowe, boniyai au sugu wameshika nyundo? Endeleeni na mkakati wa kuzuga wakati mnaandaa kagoda na iptl ingine siku mama yenu akiondoka mje mtuambie kuna escrow mpya mkishadhulumiana! Si mmezoea kupiga makubwa kupitia tanesco na energy sector!
 
Sasa chadema wanahusika nini embecile wewe? Ulisikia mbowe, boniyai au sugu wameshika nyundo? Endeleeni na mkakati wa kuzuga wakati mnaandaa kagoda na iptl ingine siku mama yenu akiondoka mje mtuambie kuna escrow mpya! Si mmezoea kupiga makubwa kupitia tanesco na energy sector!
Kwani huoni walivyocharuka!? (YAKHEE) 😁
 
Ameandika prof. Ann tibaijuka katika ukurasa wake wa X:

UMEME KUTOKA ETHIOPIA (km 1500) HADI ARUSHA UNAKUWAJE RAHISI KULIKO WA KUTOKA RUFIJI (Km 650)?

Taarifa hii ilitushangaza na hata kutushtua wengi. Nikaona nijielimishe kwa wahusika Wizarani. Nikaelezwa umeme utanunuliwa kutoka Station ya kusambaza umeme hapo Namanga kupitia Grid ya Kenya.

Uwekezaji wa transmission line ni wa muuzaji ingawaje ataikomboa kupitia bei itakayokubaliwa. Pili. Siyo sahihi kutegemea chanzo kimoja kwa grid ya taifa.

Pakitokea dharura Rufiji basi nchi nzima inaingia gizani. Inaitwa diversification. Kwa hiyo tuombe serikali ije na tangazo rasmi kuelezea kwa utaalamu zaidi jambo hili la kimkakati na mustakabari wa umeme wa ziada utakaozalishwa kama upo.

Uwe wa vyanzo vya maji au gesi au jua kwa ujumla wake. Usalama wa nishati ni usalama wa taifa.



My Take:
CHADEMA hawawezi kutambua hili, hawaelewi juu ya udharura unaweza kutupata wakati wowote, Akili zetu zote tukizilaza rufiji, na unfortunately ika burst, ndiyo nchi yote iingie gizani?

Yaani hawa chadema akili zao sijui zipoje, hopeless, hawaoni mambo kwa kina na kwa marefu.
-------

View: https://www.instagram.com/p/DHAd2cbCqn6/?igsh=MTFwZjgxYmFuYWswdQ==
 
Tatizo lenu vigeugeu kutwa mnakuja na hoja mpya ,nchi bado inahitaji kujitegemea sio kutoka nje ...Bado wabovu sio kutetea hoja kila siku.
US (northern part) mpaka new York, imenunua umeme kutoka Canada, na ndiyo unaotumika, zingatia US, Ina umeme wa kutosha! Je USA ni wajinga kwa kununua umeme?
 
Hapa ndo unaona aina ya wasomi tulionao uwezo wa kufikiri ni duni

Huo mradi umeletwa kimkakati ili watu fulani wapate chochozo .

Miradi Kama hii ambayo ilikuwa ilikuwa ikiliingiza Taifa Karina hasara ilikuwa ikifanyika kipindi cha mzee Msata.

Kuna mambo yamekaa kiujanja Sana hapo
 
Ile huo mfano wa Mpesa naona km hauendani na umeme kabisa ! Au mime ndiyo mzito kuelewa!

Nahisi lugha rahisi ni Umeme kutoka Ethiopia tayari umeshafika hadi Namanga kwa upande wa Kenya, kwa hiyo ni rahisi/nafuu kuupeleka mikoa ya kaskazini, kuliko kutoka Rufiji!
 
Hapa ndo unaona aina ya wasomi tulionao uwezo wa kufikiri ni duni

Huo mradi umeletwa kimkakati ili watu fulani wapate chochozo .

Miradi Kama hii ambayo ilikuwa ilikuwa ikiliingiza Taifa Karina hasara ilikuwa ikifanyika kipindi cha mzee Msata.

Kuna mambo yamekaa kiujanja Sana hapo

Hela ya uchaguzi inasakwa hapa wanatuzuga tu, waandae mkakati wa wizi wenyewe wataje chadema, inahusika nini wkt ipo biz na no reforms
 
Ameandika prof. Ann tibaijuka katika ukurasa wake wa X:

UMEME KUTOKA ETHIOPIA (km 1500) HADI ARUSHA UNAKUWAJE RAHISI KULIKO WA KUTOKA RUFIJI (Km 650)?

Taarifa hii ilitushangaza na hata kutushtua wengi. Nikaona nijielimishe kwa wahusika Wizarani. Nikaelezwa umeme utanunuliwa kutoka Station ya kusambaza umeme hapo Namanga kupitia Grid ya Kenya.

Uwekezaji wa transmission line ni wa muuzaji ingawaje ataikomboa kupitia bei itakayokubaliwa. Pili. Siyo sahihi kutegemea chanzo kimoja kwa grid ya taifa.

Pakitokea dharura Rufiji basi nchi nzima inaingia gizani. Inaitwa diversification. Kwa hiyo tuombe serikali ije na tangazo rasmi kuelezea kwa utaalamu zaidi jambo hili la kimkakati na mustakabari wa umeme wa ziada utakaozalishwa kama upo.

Uwe wa vyanzo vya maji au gesi au jua kwa ujumla wake. Usalama wa nishati ni usalama wa taifa.

Soma pia: Rais Samia: Tanzania inayo nafasi ya kuuza umeme nje



My Take:
CHADEMA hawawezi kutambua hili, hawaelewi juu ya udharura unaweza kutupata wakati wowote, Akili zetu zote tukizilaza rufiji, na unfortunately ika burst, ndiyo nchi yote iingie gizani?

Yaani hawa chadema akili zao sijui zipoje, hopeless, hawaoni mambo kwa kina na kwa marefu.
-------
Hawa wote waliochangia humu Serikali yatoa ufafanuzi kuhusu Tanzania kupanga kununua umeme nchini Ethiopia ni CHADEMA!!??

Basi CHADEMA ina wanachama wengi tofauti na mnavyosema.
 
Back
Top Bottom