Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Ameandika prof. Anna tibaijuka katika ukurasa wake wa X:
UMEME KUTOKA ETHIOPIA (km 1500) HADI ARUSHA UNAKUWAJE RAHISI KULIKO WA KUTOKA RUFIJI (Km 650)?
Taarifa hii ilitushangaza na hata kutushtua wengi. Nikaona nijielimishe kwa wahusika Wizarani. Nikaelezwa umeme utanunuliwa kutoka Station ya kusambaza umeme hapo Namanga kupitia Grid ya Kenya.
Uwekezaji wa transmission line ni wa muuzaji ingawaje ataikomboa kupitia bei itakayokubaliwa. Pili. Siyo sahihi kutegemea chanzo kimoja kwa grid ya taifa.
Pakitokea dharura Rufiji basi nchi nzima inaingia gizani. Inaitwa diversification. Kwa hiyo tuombe serikali ije na tangazo rasmi kuelezea kwa utaalamu zaidi jambo hili la kimkakati na mustakabari wa umeme wa ziada utakaozalishwa kama upo.
Uwe wa vyanzo vya maji au gesi au jua kwa ujumla wake. Usalama wa nishati ni usalama wa taifa.
Soma pia: Rais Samia: Tanzania inayo nafasi ya kuuza umeme nje
My Take:
CHADEMA hawawezi kutambua hili, hawaelewi juu ya udharura unaweza kutupata wakati wowote, Akili zetu zote tukizilaza rufiji, na unfortunately ika burst, ndiyo nchi yote iingie gizani?
Yaani hawa chadema akili zao sijui zipoje, hopeless, hawaoni mambo kwa kina na kwa marefu.
-------
UMEME KUTOKA ETHIOPIA (km 1500) HADI ARUSHA UNAKUWAJE RAHISI KULIKO WA KUTOKA RUFIJI (Km 650)?
Taarifa hii ilitushangaza na hata kutushtua wengi. Nikaona nijielimishe kwa wahusika Wizarani. Nikaelezwa umeme utanunuliwa kutoka Station ya kusambaza umeme hapo Namanga kupitia Grid ya Kenya.
Uwekezaji wa transmission line ni wa muuzaji ingawaje ataikomboa kupitia bei itakayokubaliwa. Pili. Siyo sahihi kutegemea chanzo kimoja kwa grid ya taifa.
Pakitokea dharura Rufiji basi nchi nzima inaingia gizani. Inaitwa diversification. Kwa hiyo tuombe serikali ije na tangazo rasmi kuelezea kwa utaalamu zaidi jambo hili la kimkakati na mustakabari wa umeme wa ziada utakaozalishwa kama upo.
Uwe wa vyanzo vya maji au gesi au jua kwa ujumla wake. Usalama wa nishati ni usalama wa taifa.
Soma pia: Rais Samia: Tanzania inayo nafasi ya kuuza umeme nje
My Take:
CHADEMA hawawezi kutambua hili, hawaelewi juu ya udharura unaweza kutupata wakati wowote, Akili zetu zote tukizilaza rufiji, na unfortunately ika burst, ndiyo nchi yote iingie gizani?
Yaani hawa chadema akili zao sijui zipoje, hopeless, hawaoni mambo kwa kina na kwa marefu.
-------