Anna Tibaijuka: Kuchukua umeme kutoka vyanzo mbalimbali nafuu, ni kwa usalama wa Taifa letu

Pakitokea dharura Rufiji basi nchi nzima inaingia gizani. Inaitwa diversification. Kwa hiyo tuombe serikali ije na tangazo rasmi kuelezea kwa utaalamu zaidi jambo hili la kimkakati na mustakabari wa umeme wa ziada utakaozalishwa kama upo.
Sio kweli, kuna Kidatu, kihansi, Pangani, Nyumba ya MUNGU, kuna Mradi wa umeme jua, kuna Yale Majenereta ya Kigoma, Profesa nae kaandika as if Tanzania hatukua na umeme kabla ya Rufiji......kapuyanga
 
Tuliambiwa tule manyasi ili tuchimbe bwawa kuuuubwa kumaliza haja ya umeme nchini na kuuza mwingine nje ya nchi. Mzee Magufuli alidanyanywa na wataalamu wetu?
 
Kwa kiwango fulani nayaelewa mawazo ya Mh. Anna lakini nimeilewa zaidi sentensi ya mwisho
 
Sio kweli, kuna Kidatu, kihansi, Pangani, Nyumba ya MUNGU, kuna Mradi wa umeme jua, kuna Yale Majenereta ya Kigoma, Profesa nae kaandika as if Tanzania hatukua na umeme kabla ya Rufiji......kapuyanga
Mkuu, huoni mbali, kabisa, huko kihansi na kidatu kwa jua hili kuna maji?, Tusolve matatizo ya Taifa kwa ukubwa na upana fulani,sasa nyumba ya mungu Pana umeme gani pale, kumbuka hii ni Tanzania ya VIWANDA NDIO MWENDO WA TAIFA LETU
 
Hausafirishwi moja kwa moja kutoka Ethiopia hadi Tanzania, ila Ethiopia watunga kwenye gridi ya Kenya huku Tanzania ikipokelea Namanga kwa gridi pia. Wataalamu wa mambo watafafanua zaidi.
 
Mkuu, huoni mbali, kabisa, huko kihansi na kidatu kwa jua hili kuna maji?, Tusolve matatizo ya Taifa kwa ukubwa na upana fulani,sasa nyumba ya mungu Pana umeme gani pale, kumbuka hii ni Tanzania ya VIWANDA NDIO MWENDO WA TAIFA LETU
Sawa kabisa, tupe mahitaji yake na sababu za Sisi kushindwa Kufanya kama Ethiopia! Wanatumia hydro powers na wenyewe. Je Vipi kuhusu Ile Mradi wa umeme jua? Hapana, hii hoja bado
 
Kama jambo gani lililokaa kiujanja?tuelimishe nasisi
 
Vipi kuhusu power loss kutoka Ethiopia hadi Tanzania? Maana tunaambiwa kutoka Station kubwa ya Chelinze hadi Kilimanjaro kuna changamoto ya umeme kupotea njiani....

Na kwa nini kipindi hiki? Kuna harufu ya upigaji wala hakuna kingine.
 
Hausafirishwi moja kwa moja kutoka Ethiopia hadi Tanzania, ila Ethiopia watunga kwenye gridi ya Kenya huku Tanzania ikipokelea Namanga kwa gridi pia. Wataalamu wa mambo watafafanua zaidi.
Hausafirishwi Moja Kwa Moja Toka Ethiopia Bali wanatumia bloototh?

Halafu anataka agombee Ili iweje?

HATOGOMBEA!
 
Kwani diversification haiwezi kufanyika kwa vyanzo vya ndani? Such backup plan Kwa nini isiwe kwa mitambo ya gesi au uranium ambazo zinapatikana nchini? Nyie endeleeni tu
 
Hausafirishwi Moja Kwa Moja Toka Ethiopia Bali wanatumia bloototh?

Halafu anataka agombee Ili iweje?

HATOGOMBEA!
Jiwe Alisema Kosea Kuoa/Kuolewa Maana Mtaachana Tu
Ukikosea Kuchagua Rais/Mbunge/Diwani Ujue Mpaka Miaka 5 Iishe
 
Da, siasa nyingi sana hapa. Hivi kabla ya bwawa la nyerere kuanza kuzalisha umeme tulikuwa tunaupata kutoka vyanzo gani?
 
Kuhoji jambo ni kutaka kuelewa zaidi kama prof. Anna alivyosema. Ina maana Chadema wana akili kuliko hao wengine wanaokaa kimya kama mabubu.
 
Hivi Ethiopia hawazalishi umeme kwa kutumia maji yanayoanzia ziwa victoria kweli?
Mkuu, huoni mbali, kabisa, huko kihansi na kidatu kwa jua hili kuna maji?, Tusolve matatizo ya Taifa kwa ukubwa na upana fulani,sasa nyumba ya mungu Pana umeme gani pale, kumbuka hii ni Tanzania ya VIWANDA NDIO MWENDO WA TAIFA LETU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…