Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Sio kweli, kuna Kidatu, kihansi, Pangani, Nyumba ya MUNGU, kuna Mradi wa umeme jua, kuna Yale Majenereta ya Kigoma, Profesa nae kaandika as if Tanzania hatukua na umeme kabla ya Rufiji......kapuyangaPakitokea dharura Rufiji basi nchi nzima inaingia gizani. Inaitwa diversification. Kwa hiyo tuombe serikali ije na tangazo rasmi kuelezea kwa utaalamu zaidi jambo hili la kimkakati na mustakabari wa umeme wa ziada utakaozalishwa kama upo.
Huyu nae alee WajukuuUwekezaji wa transmission line ni wa muuzaji ingawaje ataikomboa kupitia bei itakayokubaliwa. Pili. Siyo sahihi kutegemea chanzo kimoja kwa grid ya taifa.
Kauli kama hiiFuatilia kauli za nyuma uone ,kukosa msimamo ni tatizo.
Kwa nn msiseme mnafuatilia vyanzo vingine mbadala ...
Mkuu, huoni mbali, kabisa, huko kihansi na kidatu kwa jua hili kuna maji?, Tusolve matatizo ya Taifa kwa ukubwa na upana fulani,sasa nyumba ya mungu Pana umeme gani pale, kumbuka hii ni Tanzania ya VIWANDA NDIO MWENDO WA TAIFA LETUSio kweli, kuna Kidatu, kihansi, Pangani, Nyumba ya MUNGU, kuna Mradi wa umeme jua, kuna Yale Majenereta ya Kigoma, Profesa nae kaandika as if Tanzania hatukua na umeme kabla ya Rufiji......kapuyanga
Sawa kabisa, tupe mahitaji yake na sababu za Sisi kushindwa Kufanya kama Ethiopia! Wanatumia hydro powers na wenyewe. Je Vipi kuhusu Ile Mradi wa umeme jua? Hapana, hii hoja badoMkuu, huoni mbali, kabisa, huko kihansi na kidatu kwa jua hili kuna maji?, Tusolve matatizo ya Taifa kwa ukubwa na upana fulani,sasa nyumba ya mungu Pana umeme gani pale, kumbuka hii ni Tanzania ya VIWANDA NDIO MWENDO WA TAIFA LETU
Kama jambo gani lililokaa kiujanja?tuelimishe nasisiHapa ndo unaona aina ya wasomi tulionao uwezo wa kufikiri ni duni
Huo mradi umeletwa kimkakati ili watu fulani wapate chochozo .
Miradi Kama hii ambayo ilikuwa ilikuwa ikiliingiza Taifa Karina hasara ilikuwa ikifanyika kipindi cha mzee Msata.
Kuna mambo yamekaa kiujanja Sana hapo
π πKauli kama hii View attachment 3265448
Hausafirishwi Moja Kwa Moja Toka Ethiopia Bali wanatumia bloototh?Hausafirishwi moja kwa moja kutoka Ethiopia hadi Tanzania, ila Ethiopia watunga kwenye gridi ya Kenya huku Tanzania ikipokelea Namanga kwa gridi pia. Wataalamu wa mambo watafafanua zaidi.
Jiwe Alisema Kosea Kuoa/Kuolewa Maana Mtaachana TuHausafirishwi Moja Kwa Moja Toka Ethiopia Bali wanatumia bloototh?
Halafu anataka agombee Ili iweje?
HATOGOMBEA!
Kuhoji jambo ni kutaka kuelewa zaidi kama prof. Anna alivyosema. Ina maana Chadema wana akili kuliko hao wengine wanaokaa kimya kama mabubu.Ameandika prof. Ann tibaijuka katika ukurasa wake wa X:
UMEME KUTOKA ETHIOPIA (km 1500) HADI ARUSHA UNAKUWAJE RAHISI KULIKO WA KUTOKA RUFIJI (Km 650)?
Taarifa hii ilitushangaza na hata kutushtua wengi. Nikaona nijielimishe kwa wahusika Wizarani. Nikaelezwa umeme utanunuliwa kutoka Station ya kusambaza umeme hapo Namanga kupitia Grid ya Kenya.
Uwekezaji wa transmission line ni wa muuzaji ingawaje ataikomboa kupitia bei itakayokubaliwa. Pili. Siyo sahihi kutegemea chanzo kimoja kwa grid ya taifa.
Pakitokea dharura Rufiji basi nchi nzima inaingia gizani. Inaitwa diversification. Kwa hiyo tuombe serikali ije na tangazo rasmi kuelezea kwa utaalamu zaidi jambo hili la kimkakati na mustakabari wa umeme wa ziada utakaozalishwa kama upo.
Uwe wa vyanzo vya maji au gesi au jua kwa ujumla wake. Usalama wa nishati ni usalama wa taifa.
Soma pia: Rais Samia: Tanzania inayo nafasi ya kuuza umeme nje
My Take:
CHADEMA hawawezi kutambua hili, hawaelewi juu ya udharura unaweza kutupata wakati wowote, Akili zetu zote tukizilaza rufiji, na unfortunately ika burst, ndiyo nchi yote iingie gizani?
Yaani hawa chadema akili zao sijui zipoje, hopeless, hawaoni mambo kwa kina na kwa marefu.
-------
Mkuu, huoni mbali, kabisa, huko kihansi na kidatu kwa jua hili kuna maji?, Tusolve matatizo ya Taifa kwa ukubwa na upana fulani,sasa nyumba ya mungu Pana umeme gani pale, kumbuka hii ni Tanzania ya VIWANDA NDIO MWENDO WA TAIFA LETU