Anne Makinda anunua nyumba kwa Tsh. Milioni 900, Dar

Mama alianza kulima miti ya mbao ekari kibao kwao njombe miaka hiyo, kalima maelfu ya ekari za milingoti miaka kibao, leo akose 900 milioni kweli? Mama mwenye baadhi ya mabasi superfeo leo ashindwe kukopesheka haiingii akilini na sio watumishi wote wa umma hawafanyi biashara wako wenye biashara halali na wanapiga pesa na tunakutana nao either kwenye mishemishe huko, sawa na uone vituo vya mafuta Esther filling station, au Esther Bus uanze kumlaumu Mwigulu wakati alianza na basi moja akajikongoja taratibu, kanunua na kulima mazao kwao makunda hadi kafika hapo, muda mwingine tujiongeze tuache roho mbaya.
 
Inategemea kama Ana vyanzo vingine kama vile mashamba ya miti , kilimo nk
Mtoa taarifa hajamtuhumu kama kaiba. Kwa vyombo vya dola makini hapa ndio vinatakiwa vianze uchunguzi. TRA na Takukuru Mko wapi?
 
Mkuu Aisee ndo wewe Frenki kila siku mida ya msosi unavizia kuja homu kula na kuangalia kideo?
 
Umbea. Ujumbe wake wa bodi mbalimbali unaweza kumpatia hizo hela. Na ukimbuke huyo ni
Mfanyakazi wa siku nyingi unaweza alikuwa ana save au kakopa.
Tatizo vijana wa miaka hii wanataka kushindana kimafanikio na mtu aliyeanza Kazi miaka ya 70 huko...na ndio tunaishia kwenye madeni ya ajabu ajabu
Mtu laanza Kazi hata wazazi wako hawajakutana then unataka mfanane, unazijua hustle zake?
 
Tatizo vijana wa miaka hii wanataka kushindana kimafanikio na mtu aliyeanza Kazi miaka ya 70 huko...na ndio tunaishia kwenye madeni ya ajabu ajabu
Mtu laanza Kazi hata wazazi wako hawajakutana then unataka mfanane, unazijua hustle zake?
Hapo sasa....

Uzwazwa umewajaa hao vijana wenzetu....
 
Uenyekiti unalipa na viongozi wa CCM ndio matajiri wakubwa Tanzania na mwisho uliambiwa hawatakiwi kushitakiwa.
 
Picha ya nyumba ipo wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Cyb
Wakati anatoa mil 900 ulikuwepo?,kumbuka huyo ni mtumishi wa serikali toka akiwa mhasibu hadi anamalizia akiwa spika

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo vijana wa miaka hii wanataka kushindana kimafanikio na mtu aliyeanza Kazi miaka ya 70 huko...na ndio tunaishia kwenye madeni ya ajabu ajabu
Mtu laanza Kazi hata wazazi wako hawajakutana then unataka mfanane, unazijua hustle zake?

Shortcut vijana wanawaza harrier tako la nyani muda wote ardhi ya mashamba vijijini kwao wameiacha wajanja wako mjini mkoani miti ekari kadhaa nazo zinakua miaka kumi mbele anaanza kuchana mbao anakula pesa, ukipata laki unaenda club kuitafuna mwenzako laki liwale huko anapata ekari 4 anaanza kulima korosho kesho kesho kutwa unataka uwe sawa na mtu alie invest,
 
huyo mama ana channel nyingi sana za kipato, pia mafao yake katika ngazi mbali mbali za uongozi, hakuwa mtumiaji wa kuonekanaa sasa muda umewadia wa kujifunua matumizi

ata hii huenda amecheza step vibaya taarifa zikavujaa
habari msemaji wa familia ya Makinda
 
Kweli kabisa. Na mtu aliyeinvest akipata mafanikio bado tutataka kushindana nae, mwisho tunajaa madeni yasiyolipika.
 
You speak as if you don't feel the Pain ndugu Arovera.

Hujui kama wasipokemewa Viongozi wakubwa na Maprof na Wanataaluma wanaokwamisha Elimu yetu kwa kuwa busy na ACTIVITIES ambazo ni fursa za wale wasio na shughuli za uzalishaji tutafika?

Lazima tuishi kwa kuachiana.

Hata nyumbani Baba na Mama walipowakuta watoto na Chakula kidogo au kichache hawakukaa mezani nao kula.

Yaani unaona ni sawa Mama Makinda kuwa na Mashamba au Mwigulu kuwa na Mabasi?

Do you know the Corruption Red Flags?
 
Kweli kabisa. Na mtu aliyeinvest akipata mafanikio bado tutataka kushindana nae, mwisho tunajaa madeni yasiyolipika.

Ni kuinvest pekee kutakufanya uwe na pesa ya kudumu na sio ujanja ujanja, angalia fursa iko wapi pambana wekeza unaona mtu mnashinda nae mjini anaenda uchororoni kidogo unadhani karnda kukojoa kumbe anaenda kutoa maelekezo ya mbolea ametuma kwenye basi gani wakapokee huyo kamwe hamtokua sawa
 
Akili za kimasikini hizi, panda miti ya mitiki ekari 2 tu hizo pesa utazishika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…