Mama alianza kulima miti ya mbao ekari kibao kwao njombe miaka hiyo, kalima maelfu ya ekari za milingoti miaka kibao, leo akose 900 milioni kweli? Mama mwenye baadhi ya mabasi superfeo leo ashindwe kukopesheka haiingii akilini na sio watumishi wote wa umma hawafanyi biashara wako wenye biashara halali na wanapiga pesa na tunakutana nao either kwenye mishemishe huko, sawa na uone vituo vya mafuta Esther filling station, au Esther Bus uanze kumlaumu Mwigulu wakati alianza na basi moja akajikongoja taratibu, kanunua na kulima mazao kwao makunda hadi kafika hapo, muda mwingine tujiongeze tuache roho mbaya.