Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Annunaki created Man: Binadamu tunaoishi sasa tulitengenezwa (tuliumbwa) na Annunaki

Mkuu mbona hii mijadala mi nishaizoea niko nayo kwa muda mrefu tu humu JF, hivyo nawaelewa vizuri sana hawa watu wasioamini dini au Mungu ni kwamba wana ile hali ya kujiona kwamba wana akili sana na wana mawazo huru kisa tu hawaamini Mungu au dini hilo tu linawafanya wajihisi hivyo na kwa kuona ni jambo kubwa sana wametumia akili.

Ila usiwaze mkuu mimi sijakwazika.
Ila wewe unayeamini mungu ndio unajiona una akili, probably unayemwamini yule mungu mliyefundishwa na wakoloni ambaye babu yako mzaa babu yako hakuwahi kumsikia🤣
 
Chapisho la kwenye huu uzi kwa mtizamo wangu ni story tu za kutunga halina ukweli. Mchapisha mada, je naweza kuuliza maswali na nikajibiwa na wewe uliechapisha au member mwingine kuhusu hii mada? Artificial intelligence
 
Dini zote zimetokea kwenye UPAGANI na Asili yake ni SATAN! Ukibisha we jeuri. Dini zote zilizopo sasa...mwisho wa mada tutaelewana tu, na kuna baadhi ya Mitume haikuwahi kuwepo na iliyokuwepo walikuwa ni human hybrid! Hao tunaoambiwa walikuwepo kuanzia huyo Abraham mpaka kizazi cha mwisho wote ni hybrid! na vizazi vya mitume ya mwisho vipo jadi leo, lakini je, kwanini viitwe royal Bloodline? Na ni matendo gani wanayafanya mema?
 
Nmekwambia wachambuz weng humu ni christians ambao hawana iman ya uoga kama upande wa pili...ndomana wako open..na kama weng ni christians bas wanaijua vzur bible kuliko kuran..na pia weng wana ignore quran sabab false zake ni za waazi zaid..yaan uongo wake uko dhahir zaid kuliko bible...sasa unaskia et ukiifia din unaendaa pewa tuzo plus some bikra kadhaa etc etc...huon its kinda joke for a religion..ndomana wachambuz hawana mda nayo..nishakujib juu huko nakujib tena hapa...kama hutoelewa na hapa bas usiniulize tena maana naona hauko tayar...perhaps unacho unachokiamin n i respect that.
Na wanawake nao wanapewa Nini?
 
Chapisho la kwenye huu uzi kwa mtizamo wangu ni story tu za kutunga halina ukweli. Mchapisha mada, je naweza kuuliza maswali na nikajibiwa na wewe uliechapisha au member mwingine kuhusu hii mada? Artificial intelligence
ushajiwekea limit bila utafiti ya kwamba hii mada sio ya ukweli ni stori za kutunga na Sisi hatuna haja ya maswali Yako sababu majibu utakua nayo kichwani
Chiaaz!
 
Dini zote zimetokea kwenye UPAGANI na Asili yake ni SATAN! Ukibisha we jeuri. Dini zote zilizopo sasa...mwisho wa mada tutaelewana tu, na kuna baadhi ya Mitume haikuwahi kuwepo na iliyokuwepo walikuwa ni human hybrid! Hao tunaoambiwa walikuwepo kuanzia huyo Abraham mpaka kizazi cha mwisho wote ni hybrid! na vizazi vya mitume ya mwisho vipo jadi leo, lakini je, kwanini viitwe royal Bloodline? Na ni matendo gani wanayafanya mema?
Haya unayoeleza nayo pia ni mambo ya siri?
 
Ila wewe unayeamini mungu ndio unajiona una akili, probably unayemwamini yule mungu mliyefundishwa na wakoloni ambaye babu yako mzaa babu yako hakuwahi kumsikia🤣
Mimi hata sijajiona kuwa ndio nina akili kuliko wengine, huyo babu yangu mzaa babu yangu aliandika kuhusu huyo mungu aliyekuwa anamsikia wakati wake huo? Ndio maana mie nimekuwa nauliza hili neno Mungu lina maana gani hasa na huku kuabudu kulianzaje anzaje?
 
Hizo wenyewe wanaita ni siri kwamba kuna watu walificha hayo mambo ya Annunaki kuba binaadamu, sasa sijajua hawakutaka watu waendelee kuwaabudu hao Annunaki vp.
Mkuu hizi sio siri

Labda tuseme ni uamsho wa maarifa ambao labda kwa jamii yetu ulichelewa kidogo kujidhihirisha kulingana na mifumo yetu ya kielimu

Hizo tablets ni vitu ambavyo vipo katika museum na hata tarifa za kichambuzi unaweza kupata kwenye encyclopedia kibao tu na historical site nyingi tu

Ni suala tu la uvivu wa kujifunza wa jamii zetu kuwa nyuma, lakini si mambo mapya hasa kwa wenzetu

Sasa inapotekea baadhi ya watu wetu wanapobahatika kutambua historia kwa mapana yake lazima error kama hizi zitokee

Ila la kuzingatia ni kwamba si siri
 
Mkuu hizi sio siri

Labda tuseme ni uamsho wa maarifa ambao labda kwa jamii yetu ulichelewa kidogo kujidhihirisha kulingana na mifumo yetu ya kielimu

Hizo tablets ni vitu ambavyo vipo katika museum na hata tarifa za kichambuzi unaweza kupata kwenye encyclopedia kibao tu na historical site nyingi tu

Ni suala tu la uvivu wa kujifunza wa jamii zetu kuwa nyuma, lakini si mambo mapya hasa kwa wenzetu

Sasa inapotekea baadhi ya watu wetu wanapobahatika kutambua historia kwa mapana yake lazima error kama hizi zitokee

Ila la kuzingatia ni kwamba si siri
Sio mie ninayesema kuwa hizo ni siri bali hawa wanaozileta humu ndio wanasema hizo ni siri ambazo hasa waafrika tumekuwa tunafichwa, kwamba waafrika ndio tumeletewa hizi dini zilizojazwa uongo kwa faida ya wazungu na ila ukweli wa mambo umefichwa na ndio hayo kama mambo ya Anunnaki.
 
Sio mie ninayesema kuwa hizo ni siri bali hawa wanaozileta humu ndio wanasema hizo ni siri ambazo hasa waafrika tumekuwa tunafichwa, kwamba waafrika ndio tumeletewa hizi dini zilizojazwa uongo kwa faida ya wazungu na ila ukweli wa mambo umefichwa na ndio hayo kama mambo ya Anunnaki.
Kama watakuwa wananadi hivyo basi wanakosea, kuita kitu siri kwa kuwa tu watu hawakukifahamu hapo awali

Kwakuangalia mtazamo wao wa kuita siri

Labda kuna baadhi ya atheist waliwahi kuhudumu katika mambo ya kiimani na wakadhani viongozi wao walikuwa na wajibu wa kuwafahamisha habari kama hizi na labda viongozi walishindwa kutosheleza kiu yao ndio wakawa hivyo_ni maoni yangu lakini
 
Kama watakuwa wananadi hivyo basi wanakosea, kuita kitu siri kwa kuwa tu watu hawakukifahamu hapo awali

Kwakuangalia mtazamo wao wa kuita siri

Labda kuna baadhi ya atheist waliwahi kuhudumu katika mambo ya kiimani na wakadhani viongozi wao walikuwa na wajibu wa kuwafahamisha habari kama hizi na labda viongozi walishindwa kutosheleza kiu yao ndio wakawa hivyo_ni maoni yangu lakini
Inawezekana unachosema ni sahihi maana kuna baadhi ya imani zipo mikononi mwa viongozi wa hizo imani husika wao ndio kila kitu na ndio maana hata humu naona lawama nyingi zinaenda kwa viongozi wa imani zao.
 
keyword 'ndoto' sawa nimekubali
Ila suala la kutoka nje ya mwili (OBE) kuna watu wanashuhudia kuwa ni kweli

Kuna mdada aliambiwa kama ni Kweli yupo kwenye hiyo state ajaribu kusoma namba za satellite iliyokuwa angani akasoma zote_watu wakaduwaa

Sasa sijui alipangwa kama mitume na manabii wa bongo kwenye ubora wao
 
Mkuu ukiwa kwenye ndoto unakuwa unajua kila kitu mfano mimi niliona space ship kubwa sana yenye rangi ambazo sijawahi kuziona hapa duniani. Nikajikuta najitambua utofauti na upekee wa ndoto hiyo na nika nyoosha kidole na kusema annunaki wale.
Akili yako ilikuwa inawaza kuhusu Annunak hivyo ni kawaida kwa mtu kuota kile kilichomkaa akilini mwake. Hapo kwa mujibu wa maelezo ya ndoto yako ni kwamba ni wewe ndiye uliyefanya assumption kuwa ni Annunak wale. Na sio kwamba hao Annunak wamejitambulisha kuwa ni wao
 
Ila suala la kutoka nje ya mwili (OBE) kuna watu wanashuhudia kuwa ni kweli

Kuna mdada aliambiwa kama ni Kweli yupo kwenye hiyo state ajaribu kusoma namba za satellite iliyokuwa angani akasoma zote_watu wakaduwaa

Sasa sijui alipangwa kama mitume na manabii wa bongo kwenye ubora wao
binadamu ana uwezo mkubwa sana
 
Akili yako ilikuwa inawaza kuhusu Annunak hivyo ni kawaida kwa mtu kuota kile kilichomkaa akilini mwake. Hapo kwa mujibu wa maelezo ya ndoto yako ni kwamba ni wewe ndiye uliyefanya assumption kuwa ni Annunak wale. Na sio kwamba hao Annunak wamejitambulisha kuwa ni wao
hahahaha,ndo maana nikamwambia keyword hapo ni NDOTO km unavyosema hapa
 
Back
Top Bottom