BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
- Thread starter
-
- #61
Apewe maua yake..Huyu Binti kwenye social media ni maarufu kuliko makondakta wote Tanzania na probably ni maarufu kuliko kampuni yake, umaarufu wake umeenda sambamba na Kaz yake na kampuni
Kama huwez kuona juhudi zake basi Kuna tatizo kubwa
Kuna kitu nyuma ya ukondakta Ila sitaki kutia neno ngoja nipite wima msije mkasema anko fujo we ushazoea fujo tuondolee fujo zako hapaHuyu Binti kwenye social media ni maarufu kuliko makondakta wote Tanzania na probably ni maarufu kuliko kampuni yake, umaarufu wake umeenda sambamba na Kaz yake na kampuni
Kama huwez kuona juhudi zake basi Kuna tatizo kubwa
Kuna yule kondakta mwenye makeke mengi mjini alikua anajiita muhasibu wa daladala akajikuta amekula shavu EFM ukifanya kitu kikaonekana kwenye huu ulimwengu wakibepari, mabepari wakiona fursa in you mbona unatoka tu au kwa vile yeye ni mdadaKuna kitu nyuma ya ukondakta Ila sitaki kutia neno ngoja nipite wima msije mkasema anko fujo we ushazoea fujo tuondolee fujo zako hapa
Ananikeraga huyo jamaa wa cutting master anavyomtekenya tekenya Mara kumshikashikaπ£π£. Lenyewe hua linaona sifa wakati mwenzie hapendi
Au yeye pia si anacho. Mbona amebaki kuwa JF Keyboard warrior.Haters mshaanza.. kwani alichonacha na makondakta wengine wa kike si wanacho.
Umejuaje kama hapendi?Ananikeraga huyo jamaa was cutting master anavyomtekenya tekenya Mara kumshikashikaπ£π£. Lenyewe hua linaona sifa wakati mwenzie hapendi
Hua analalamika amuache jamani,Umejuaje kama hapendi?
Tumegundua fanya tufanyvo biashara na mtaji ukue, ila tukagundua kumbe misukule tukiifuga hawawezi kuwa wateja katika maduka yetu na tuka earn more..Sawa mkuu Mimi ntakua zangu Songea kwakina Leejay49 mpaka hio 31 December, kwa hio zamani hizo mlikua mkienda lazima makaburi yafukuliwe Ila sikuhizi makaburi mmeyapumzisha sio kwamba hamyafukui?
Hekima na busara ni muhimu sana.Watakuja kusema boss wa TILISHO anaogolea Hapo! Subir vijana jobless waje na hasira zao
Mm ndo kiongozi wao hapa natoka kitandan nikalale kwenye kochi! Punguza hasira jumatatu asubuhi unaamka na hasira hvπ€π€ slow downHekima na busara ni muhimu sana.
Kuna mtu anapenda kuwa jobless? Acha dharau ndugu
Weka kidari hicho mkuu nitakuja hapo hio December,Tumegundua fanya tufanyvo biashara na mtaji ukue, ila tukagundua kumbe misukule tukiifuga hawawezi kuwa wateja katika maduka yetu na tuka earn more..
Naomba nikuwekee kidari cha mbuzi kama utakuja Boss...
Wewe ndio Jobless Presda au sio?Mm ndo kiongozi wao hapa natoka kitandan nikalale kwenye kochi! Punguza hasira jumatatu asubuhi unaamka na hasira hvπ€π€ slow down
Watakuja kusema boss wa TILISHO anaogolea Hapo! Subir vijana jobless waje.
πππππno free lunches, huyo kashakuwa chakula ya boss.
Npo hapa Sina kazi Sina Hela Sina demu Sina Kodi Sina nauli afu kibingwa najibu navotaka, au nianze na wwππWewe ndio Jobless Presda au sio?