Kibongo bongo mtu ukiwa huna lolote hakuna mtu atahangaika na wewe. Ila ukianza tu kupiga hatua lazima watu waanze maneno kama hivi. Wengi wetu tuna roho ya kwa nini.Haters mshaanza.. kwani alichonacha na makondakta wengine wa kike si wanacho.
Huyu binti anachapa kazi sana.Watakuja kusema boss wa TILISHO anaogolea Hapo! Subir vijana jobless waje na hasira zao
Shikamoo KlsKibongo bongo mtu ukiwa huna lolote hakuna mtu atahangaika na wewe. Ila ukianza tu kupiga hatua lazima watu waanze maneno kama hivi. Wengi wetu tuna roho ya kwa nini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu binti anachapa kazi sana.
Hana aibu kabisa na kazi yake.
Siku zote anajivunia anachofanya.
Nimemshuhudia akichakarika kazini, ni mwepesi sana na makini
Hayo ya sirini tuyaache tushughulike na machache mazuri yakeKiundani zaidi simjui na wala Sijawahi kua karibu nae hua nikiingia Instagram labda nikutane na clips zake tu bas!
Lkn mara nyingi kwa uzoefu wangu mdogo tunayooneshwa kwenye interface ni sehemu ndogo Sana ya yanayofanyika backend
Hayo ya sirini tuyaache tushughulike na machache mazuri yake
Mtoto ana mtindii 🔥
Ni kweli but huyu ninamtetea, juhudi binafsi zimemfanya kuwa na wateja wengi sana.Ubaya unakuja pale ambapo mafanikio aliyonayo yatatumika kukejeli agement wenzake na kuanza kutuambia sisi majobless tutafute hela kumbe yy behind the scene ana folder nyingi
SAFI SANA NAYCE MOSHI,Ukiwa strategic person basi mafanikio yataflow kwako kama maji ya mto yanavyoingia baharini yaani ni mwendo wa blessings mpaka unamuuliza Mungu why me!
Sasa Kuna dada zetu waliingia kazini miaka ya tisini ila mpaka siku ya leo bado wapo kwenye position zile zile yaani umri unazidi kwenda ila kazini kama alikuwa secretary enzi anaanza kazi mpaka leo ni secretary sasa nyie mna mengi ya kujifunza kutoka kwa Nayce kabla hamjageuzwa wafanya usafi baada ya kustaafu.
Nayce Moshi Juzijuzi alikuwa kondakta ila leo ni PR(public relation) wa Tilisho twende taratibu tutaelewena. Kama unafikiri ni jambo jepesi basi think twice.
Kila la kheri Nayce Moshi kwenye majukumu yako mapya
View attachment 2826006
Kwa mimi niliyemuona live ninampongeza, ni binti mdogo mno hata kwa umbo, kiasi kwamba mwanaume unayejiheshimu huwezi kutaka umfunue😂
Kwani haiwezekani kapata promotion kwasababu ya mvuto wake uliompa followers wengi mtandaoni?Ubaya unakuja pale ambapo mafanikio aliyonayo yatatumika kukejeli agement wenzake na kuanza kutuambia sisi majobless tutafute hela kumbe yy behind the scene ana folder nyingi
Huyo dogo anajitahidi ameibrand kimasikhara sana hilo bus ningeshangaa kama boss asingemmotivate huyo binti jaman..Mafanikio ya binadamu hasa mwanamke yana Usiri mkubwa sana.
Leo yuko hapa around ofisini, kweli ni binti mdogo sana kwa umboNi kweli but huyu ninamtetea, juhudi binafsi zimemfanya kuwa na wateja wengi sana.
Fuatilia kila akipost utagundua ana watu wengi wanaielewa huduma yake na wanavutiwa na utendaji.
Kwa mimi niliyemuona live ninampongeza, ni binti mdogo mno hata kwa umbo, kiasi kwamba mwanaume unayejiheshimu huwezi kutaka umfunue[emoji23]
Huo ni ubaguzi wa kijinsia ndugu yangu acha.
Personality yake na muonekano ndio imemkuza sana.Huyo dogo anajitahidi ameibrand kimasikhara sana hilo bus ningeshangaa kama boss asingemmotivate huyo binti jaman..
Asante kwa kuyathibitisha maneno yangu.Leo yuko hapa around ofisini, kweli ni binti mdogo sana kwa umbo
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
All in all,Ukiwa strategic person basi mafanikio yataflow kwako kama maji ya mto yanavyoingia baharini yaani ni mwendo wa blessings mpaka unamuuliza Mungu why me!
Sasa Kuna dada zetu waliingia kazini miaka ya tisini ila mpaka siku ya leo bado wapo kwenye position zile zile yaani umri unazidi kwenda ila kazini kama alikuwa secretary enzi anaanza kazi mpaka leo ni secretary sasa nyie mna mengi ya kujifunza kutoka kwa Nayce kabla hamjageuzwa wafanya usafi baada ya kustaafu.
Nayce Moshi Juzijuzi alikuwa kondakta ila leo ni PR(public relation) wa Tilisho twende taratibu tutaelewena. Kama unafikiri ni jambo jepesi basi think twice.
Kila la kheri Nayce Moshi kwenye majukumu yako mapya
View attachment 2826006