Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Ha ha ha ha ha haya maneno asiyasikie Don hapo chini kumbe ukijitahid sana ni mwezi mmoja...
Ngoja nitautafuta huo uzi then ntakupa tag moja ya kibingwa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini haujatajwa wewe kaka, mleta ahsante amesema Baba mshana Jr [emoji23][emoji23][emoji23]hapana nimepokea compliment kaka
Jr[emoji769]
Ha ha ha ha Maneno yako ya faraja ni mazur sana kama kuambiwa vaa mask kujizuia na corona...
Ha ha ha ndugu yangu haya maumivu unayoyaomba yatakua makubwa huko mbeleni kama vip mwambie kila mtu ashinde mech zakeHesabu ya kifurushi inakuja halafu inapotea, naona chenga kama DSTV inavyoonesha mvua ikiwa inanyesha. Sasa sijui 30 imefika!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na nikizeekea nyumbani sitamuelewa hakyanani vile
Lakini haujatajwa wewe kaka, mleta ahsante amesema Baba mshana Jr [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha Maneno yako ya faraja ni mazur sana kama kuambiwa vaa mask kujizuia na corona...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ndugu yangu haya maumivu unayoyaomba yatakua makubwa huko mbeleni kama vip mwambie kila mtu ashinde mech zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha haya bwana ligi yako ngumu siiweziLakini ni maneno yenye faraja na ukweli ndani yake [emoji38]
Multiple ID. Sio yule S...ri kweli?Siku nyingine ukinitukana nitag manake sikumbuki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] This is the real Joanah I knowSiku nyingine ukinitukana nitag manake sikumbuki
Babu shkamoo. Inamaana mjukuu wako Joanah hataki kukufundisha Kigalatia?Kumbe unajuaga kiswahili. Leo umenipunguzia tatizo la kusoma post yako bila kutumia dikshenare. chaliifrancisco akipita hapa atapata baraka sana
Nilikuwaga na Tatizo la kunuka miguu ...kunuka viatu .. nilishawahi kulala lodge nikaacha viatu nje,vikaibiwa [emoji32]... NILIKUJA KUONA USHAURI WA MSHANA JR KUHUSU KUNUKA MIGUU ...AISEE NIKAFUATA JINSI ALIVYO ELEKEZA .... Ndo ikawa pona yangu ...sina Hilo Tatizo tena .......MSHANA JR MUNGU AZIDI KUKUPA HEKIMA NA MAARIFA ZAIDI ILI UPATE KUSAIDIA WENYE UHITAJI .... SHUKRANI SANA
Sent using Jamii Forums mobile app
Multiple ID. Sio yule S...ri kweli?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] This is the real Joanah I know
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi mpeleke babu kwa ras nayeye bana 😅Unajua kabisaaaaaa mie ni mmoja wa wakeshaji wa kwa Ras,hiki kikombe cha kumfundisha mtu kiniepuke asee