Tetesi: Ansbert Ngurumo: Makonda anatafutiwa ubalozi

Hahahh wampeleke Central Africa bongo tumemchoka
Siri akishiriki mwingine si siri tena. Amtumbue asimtumbue ukweli utafahamika siku moja.
 
Hivi balozi atakataliwaje?
Kila nchi ni lazima jina lipelekwe Kama kupropose kwa balozi tarajiwa mkuu Kama nchi husika anakopropoziwa kwenda ikimkataa basi hakuna jinsi ndo diplomasia ya nchi huwa inabidi wapropose mwingine mpaka waridhike .sina kumbukumbu nzuri ila nadhani kuna mmoja alikuwa Kenya nchi Fulani ikataka kutuletea tukagoma
 
Apelekwe goma huko Congo au siria kwenye mabomu huko... Mungu anaweza tenda miujiza akapigwa bomuu huko
 
Wewe kama ng'ombe anaweza kuishi nawe pia unaweza, maana huna cha kuhoji. Inaitwa bora liende tuu
 
Hivi unajua taarifa za siri za jamaa kuhusu ile biashara alikuwa anawasakizia wengine zinasemaje? Basi hapo ndio kachafuka.
Fuatilia kwa undani utajua ukweli
 
Nchi Tano zisizo na majina ....acha majuha kalulu yadanganyane
Ndio zenu hizo, kubisha kila kitu hadi ushahidi uwekwe mbele yenu.
Kuna mtu mliambiwa ana kasoro upstairs mkabisha sana na kusema anavunjiwa heshima, baada ya yeye mwenyewe kukiri hadharani kuwa nati zangu zimedondoka mkabaki mmeinamisha vichwa. Mbona ma Tomaso nyie?
 
Ongeza hapo na ile trillion 1.5 nayo isamehewe, hii ndiyo bongo ya kusameheana
 
Ngurumo ni mfanya biashara Wa maneno ni kuwa extra careful nae.
 
Waambie hao , pamoja na nati mbovu mwezie anaitwa NIJAGE vile sio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…