===
Mmm! unachosema ni moja ya njia lakini si hiyo pekee.
Wewe ulipoteuliwa, haikutangazwa kwanza. Jina lako likapelekwa katika nchi ulikokuwa unapangwa kupelekwa. Nchi hiyo baada ya kufanya vetting ikatoa green light. Ukatangazwa na kuapishwa. Ukaenda na sasa uko huko.
Kuna wanaotangazwa kuwa wameteuliwa lakini wanakaa muda mrefu mpaka nchi husika ziridhie ndipo mabalozi waende. Hata waambata wanakataliwa kama rekodi zao zina matege.
Weeee usilete ushoshezi(sijakosea) anayetakiwa kukosea kwa jaribio la kuidanganya serikali kwa lengo la kukwepa kodi ni Makondakta tu alaaaKweli dada tusamehe saba mara sabini!?
Joka la makengeza asamehewe.
Ruge asamehewe.
Singh Seith asamehewe.
Mramba asamehewe.
Mgonja G. asamehewe.
Yona D. asamehewe.
Masamaki asamehewe .
Acacia/Barrick wasamehewe noah zetu.
Tusamehe 7x70 kwa wote waliofanya makosa kwani kama Mungu angetuhukumu kwa kila kosa,nani angepona!!?
Ikiwa unaishi Timbuktu mambo kama hayo huwezi kuyajuaIlikuwa lini alimyang'anya huo ulinzi na ulinzi upi huo? Ulinzi wa U-RC au?
Dah! Mkuu na wewe ushagawiwaTena wamkatalie kabisa asiende kutututia aibu na makalio yake kwa wazungu mtu anagawa kama njugu
Ansbert nlishamuona miyeyusho baada ya kutulisha matango yake kuhusu tanzanite na ukuta wa mireranUBALOZI umegeuzwa jalala Tanzania? JPM anataka kuachana na Makonda, lakini anaogopa kumtumbua ili siri zao zisivuje. Sasa anatafuta pa kumficha nje. Kikwazo ni lugha na rekodi yake mbaya. Nchi 5 zimemkataa. Bado wanabahatisha katika nchi 2 za Afrika zitumiazo Kireno na Kifaransa
Wee piga porojo hapa kisha utupiwe kipande cha Fulana yakijani ukaringishie kwenu Huku dab na wahuni wenzie wakigawana rasilimali za NchAnsbert nlishamuona miyeyusho baada ya kutulisha matango yake kuhusu tanzanite na ukuta wa mireran
N mbea mbea fulan hivi kama sio mshakunaku yan
Wamkubali jamani hata kwa kutumia wakalimaniUBALOZI umegeuzwa jalala Tanzania? JPM anataka kuachana na Makonda, lakini anaogopa kumtumbua ili siri zao zisivuje. Sasa anatafuta pa kumficha nje. Kikwazo ni lugha na rekodi yake mbaya. Nchi 5 zimemkataa. Bado wanabahatisha katika nchi 2 za Afrika zitumiazo Kireno na Kifaransa
Tatizo umeshindwa kuelewa madaMmmh apo Ngurumo kafeli,bashite na ubalozi wapi na wapi.
Huyu tutabananae apa apa mpaka jiwe aondoke
Nchi mnaijenga nyinyi kina ndiyo mzeeRudi nyumbani ujenge nchi.....acha umbea na uzushi.....
ItampendezaC ampeleke Iraq, Syria au Afghanistan???.. Akikosa huko ampeleke hapo kwa ndugu zetu Somalia... Very simple
Wameanza kukimbia kivuli chao wenyeweHata wakati wa mjadala wa gesi ya Mtwara mlikuwa mnasema hivo kwamba wapinzani siyo wazalendo na wazushi. Leo jiwe analialia tu kwamba gesi imechukuliwa na wakubwa.
Kama anatabia za wizi na hasa uvamizi wa kutumia mabavuHivi balozi atakataliwaje?
Wanatazama sana tabia za mhusikaHivi Nchi inaweza mkataa balozi wa Nchi nyingine ambae ni mpya?
Ni jalalaKireno na au kifaransa anajua?
Umnea umejaaa lumumbaNgurumo acha umbea
Kwani ni zambi akipendwa zaidi?Unataka awahishwe kwa mungu!
πππ Umesahau Yemen , na Libya,MkuuC ampeleke Iraq, Syria au Afghanistan???.. Akikosa huko ampeleke hapo kwa ndugu zetu Somalia... Very simple
Kabila lake linakuhusu nini wewe?Ngurumo bwana!
Ni kabila gani huyu mkimbizi!? imhotep