Ben, Azory, Aliyekuwa mwenyekiti Halmashauri Kigoma, ,,,,, wako wapi? Unawajua - mwenyekiti wa CDM aliyekatwa na chainsew na wapenzi wa CCM? Unamjua Diwani kupitia CDM aliyeuawa kwa mapanga Kilombero? Unamjua Diwani kupitia CDM Dar aliyekuwa akishiriki kwenye kampeni maiti yake ilitupwaufwekweni mwa bahari.
Jamani unatiki,. Achane ushetani. CCM Ni wauaji. Siyo chama ambacho mwenye Roho wa Mungu anaweza kujiunga. Kule wamejaa mawakala wa shetani.
Mlitaka abakie hapa TZ ili mmpoteze Kama mlivyopoteza wengine? Hata Kama tutatofautiana vipi, heshimuni uhai wa binadamu wenzenu. Ujue unapounga mkono mauaji, wewe ni sehemu ya wauaji. Mungu awalaani kama alivyomlaani Baba yenu Lucifer.
It’s no secret that I’ve called out the opposition on their hypocrisy on many things, coronavirus included. And it’s no secret that I have umpteen times excoriated the government for its inept handling of the coronavirus pandemic and other things as well. Now that Maalim Seif is no longer with...
Samahani kwa kukosea jina. Lakini hiyo Nyani ndiyo inayonikwaza, hasa kwa kuangalia tabiia ya nyani kwa sisi wakulima wa nyanda za juu kusini.
Nakubaliana nawe kwa 100% juu ya wajibu wetu. Lakini ufahamu kuwa katika jamii luna watu wa aina zote. Ndiyo maana mpaka kwenye majumba yetu tunaweka na mageti kwa sababu kuna irresponsible citizens.
Katika jamii kuna watu ni werevu, hawahitaji hata kufundishwa, kuna wanaohitaji elimu kisha wanabadilika, kuna wenye uelewa mdogo ni lazima wasukumwe, na kuna wabishi ambao ni lazima walazimishwe.
Kama Serikali isipofanya kitu, bita hii itapiganwa na hilo kundi la kwanza pekee. Na hilo kundi pekee haliwezi kufanikiwa kwa sababu jitihada zake zitaharibiwa na haya makundi mengine.
Fikiria unaenda kwenye basi, umejitahidi kutazama basi ambalo halijajaza abiria, mnaanza safari, dereva anasimama kila mahali hata wakati basi limejaa, wapiga debe wanazidi kuita abiria, nao kwa kuw ni wa yale makundi mengine, wanazidi kuingia, wewe uliyeingia mwanzoni, utafanya nini? Mazingira kama hayo, unahitaji mkono wa Serikali.
Disprove the doctor's "claims that the variant in Tanzania is the new strain..."; otherwise yours would be greater "preposterous musings" than the doctor's!
Apana. Ila wanasifiwa sana ambao hawajavaa barakoa, ni hilo tu, mkuu hakuna jingine.
Yaani kama hukuvaa barokoa basi unaonekana una imani kali ya Kuamini ulinzi wa Mungu
**************************
Ajabu sana kwenye condom wanasifiwa na kuonekana wanajali wanaovaa, hatujasikia eti condom zina vidudu na blah blah blah nyingine.
Unafanya makosa kudhani raia wote wana upeo, information, seriousness katika hii pandemic kama yako!. Watu wa aina hii inabidi wasukumwe wachukue measures fulanifulani kwa ajili ya usalama wa wengine, ni sawa na kwenye kipindupindu, nguvu huwa inatumika sometimes kulazimisha usafi wa watu ili kuwanusuru wengi waliobaki.
Kwa hiyo ishu ya barakoa ikiwa enforced kilazima kwenye public basi watakaozivaa watanusuru maisha ya wengi, yao na ya wengine wanaowazunguuka, maana chafya moja ya wenye covid inaweza kuambukiza wengi.
So unapofikiria kuvaa barakoa, usifikirie kujilibda wewe tu usiipate, bali fikiria kuwa unazuia covid kusambaa kutoka kwako kwenda kwa wengine!
Usipoenforce measures fulanifulani kwa nguvu ili Wider public izifuate, basi hao wazee waliofungiwa ndani na kutumia masanitizer kia wakati wataletewa ugonjwa na wajukuu wao wa chekechea waliokwenda shule na kurudi nyumbani. Ukiwa ndani mwako nadhani unaelewa jinsi ilivyo ngumu kujusocial distance na family members maana nyumba zetu unazijua vizuri zilivyo
Corona ilipoanza na wizara kufuata taratibu zilizoelezwa na WHO, kila mahali watu walifuata maelekezo waliyopewa, bila kujali "walio na upeo" au la. Maji tiririka, sabuni, barakoa, misongamano, n.k.
Ni nini kilichobadilika baada ya hapo na watu kuanza kuwa na makundi ya "wenye upeo na wasiokuwa na upeo"?
Mapapai, mbuzi, oil chafu vilipoonyesha kwa na corona na kampeni iliyofuatia havikuwa na mchango wowote katika hili?
Kauli za kiongozi mkuu na kujitangaza kutokuwepo na ugonjwa huo, havikuchangia uwepo wa haya makundi?
Kwa kifupi hataki mtu yoyote avae barakoa. As simple as that. Nahisi hata waziri akivaa akaingia nayo kwenye kikao anaweza kumtumbua. Mawaziri na wasaidizi wake wengi hawavai barakoa kwa kumwogopa. Huu ni ujinga. Watu wanaweka rehani uhai kwa sababu ya vyeo. Uliona ile katuni ya Kipanya kuna ''waziri'' yuko kwenye duka la dawa anauliza kama kuna barakoa ambayo akivaa haiwezi kuonekana? Basi ndiyo ukweli ulivyyo kwa wateule wote wa Magufuli. Wanalalamika kichini chini tu hasa wwenye umri mkubwa.
Kwa kifupi hataki mtu yoyote avae barakoa. As simple as that. Nahisi hata waziri akivaa akaingia nayo kwenye kikao anaweza kumtumbua. Mawaziri na wasaidizi wake wengi hawavai barakoa kwa kumwogopa. Huu ni ujinga. Watu wanaweka rehani uhai kwa sababu ya vyeo. Uliona ile katuni ya Kipanya kuna ''waziri'' yuko kwenye duka la dawa anauliza kama kuna barakoa ambayo akivaa haiwezi kuonekana? Basi ndiyo ukweli ulivyyo kwa wateule wote wa Magufuli. Wanalalamika kichini chini tu hasa wwenye umri mkubwa.