Anthony Joshua afanikiwa kumtwanga Wladimir Klitschko katika pambano la uzito wa juu

Saa mbili ndo hii na TV 1 kimya..Luna matv mengine hata sio ya kuyapa guarantee,yani nmebaki home nikiyategemea afu yanazingua..!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Saa mbili ndo hii na TV 1 kimya..Luna matv mengine hata sio ya kuyapa guarantee,yani nmebaki home nikiyategemea afu yanazingua..!!
Hahaha....hakika inakera ... Clouds TV wanasema watarusha pambano kupitia tovuti yao.... !!!!!!!!!????????
 
Tena Anthony akileta usharo yatakuta leo
 
Hahahaaaa umechambua vzr sana mkuu. Huyu AJ anadunda ngumi kali sana ingawa kliitshko naye vipigo vyake ni vikali.

Yote uliyosema ni sawa kabisa, wachambuzi wengi wa ngumi wanadai kwamba stength kubwa ya Klitshko ni uwezo mzuri wa kuutumia urefu wake ingawa kwenye hapa AJ ana urefu sawa na jamaa. Pia unaambiwa kwamba ww km mwanamasumbwi ukitaka ujute kwenye maisha yako basi cheza mchezo wa kuattack mbele ya Klitchko kwa sababu huyu jamaa anacheza mchezo wa kujilinda ambao ni hatar sana coz ngumi anazorusha pindi unapomfuata ni Mungu pekee anayejua. Kwa hiyo sasa ili uweze kusurvive kidogo mbele ya huyu mUkraine inakubidi upambane nae kwa kujilinda zaidi, sasa kitu cha ajabu ni kwamba Antony Joshua yeye ni bingwa wa kushambulia na kwenye hapa yeye amebobea.



Stength kubwa ya AJ yeye ni bingwa wa kushambulia kwa ngumi nzito kwa kasi kubwa sana. Kwenye masumbwi hakuna kitu kinachotisha na kuwaogofya wanandondi pamoja makocha wao ni kupambana na AJ, Kupambana na AJ ni zaidi ya majanga. Huyu brother hajui kitu kinachoitwa kupigwa, ana mingumi mizito sana na ndiye anayeonekana kufanana zaidi na Mike Tyson toka astaafu ndondi. Huyu jamaa ana mingumi mizito haijapa kutokea.
 
haha muongo
 
Saa mbili ndo hii na TV 1 kimya..Luna matv mengine hata sio ya kuyapa guarantee,yani nmebaki home nikiyategemea afu yanazingua..!!
wamezingua, walitangaza lakini
 
Huu ugomvi Tv1aupo au haupo?halafu nimeisaka hiyo channel ya sky sports box office mobodro haipo wapu naweza kuistream jamani
 
Kwese TV wataonesha lakini naona TV 1 wameshajiunga na KWESE TV hivyo sogeeni karibu msikae mbali. Pambano nadhan kuanzia saa tano litakuwa hewani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…