Antony Komu na Said Kubenea waivua nguo CHADEMA

Ni propaganda tupu. Upuuzi wa kuunga unga ili kuwachafua watu.

WanaCCM hawapati usingizi kila wakisikia jina la CHADEMA au Mbowe likitajawa.

Kuwakumbusha tu, upuuzi kama huo ulishawahi kutengenezwa ikimuhusu.
-Lwakatare na ugaidi wa kutaka kumuua Zitto.
-Mbowe na Wema Sepetu wakitongozana.

Vipi ziliishia wapi?
 
Matukio yote ya kiharamia nchi hii hufanywa na chadema, ndo maana wanalaaniwa na kupata kilema cha maisha na bado maisha yatazidi kuwaadhibu hadi mje kutubu na kuwaomba radhi Watanzania, mazafanta!
Aliyekwama kumteka Zakaria ni nani?Aliyetaka kumdhuru Lissu ni nani?
Jiwe ananuka damu ndio maana hata misiba ya kitaifa hahudhurii
 
Ni kwa nini Komu hajaunga mkono juhudi mpaka sasa
 
Matukio yote ya kiharamia nchi hii hufanywa na chadema, ndo maana wanalaaniwa na kupata kilema cha maisha na bado maisha yatazidi kuwaadhibu hadi mje kutubu na kuwaomba radhi Watanzania, mazafanta!
Unahisi serikali inapenda kuchafuliwa?! Hata mtoto mdogo angejiuliza kama Ni kweli Chadema ndio hufanya matukio ya Kiharamia kwanini hawakamatwi? Je, serikali inawagwaya?!
 
Hapana ! Ni mbaya sana kwa nchi na upinzani....sijui kwa nini mh. Mbowe anajifanya kutoona athari ya kung'ang'ania madaraka....
CCM ndo inayong’ang’ania madaraka. Chadema wana madaraka gani?upinzani una madaraka gani kama una ubongo wa kufikiri?
 
Hivi Chadema kinafikiri Jimbo la Ubungo bila kumweka Mtu wa aina ya Kunenea watalichukua ?
Hata kwa tume inayoundwa na Chadema wenyewe hawachukui hilo jumbo siku wakimfukuza Kubenea.

Propaganda na majungu yanadumishwa na Mbowe mana akili ya mjinga ni majungu.
Chadema kina bahati mbaya sana ,Chama kikubwa kinaongozwa na akili ndogo ya Darasa la saba aliyefeli form six.
Akili ndogo inataka iburuze akili kubwa ni lazima atumie ubabe sio hoja.

Nadhani hata Dr. Mashinji ameshamchoka huyo darasa la Saba Mbowe.
Mashinji anajipotezea Muda na riziki zake kwa kukaa na Chama cha familia badala wakati yule ni mtu wa kuongoza wizara. Mashinji anafaa kuwa katibu wa Wizara ya Afya lakini anapoteza muda wake na wajinga wasiojua mfumo wa Demokrasia ulivyo.
Hilo li Mbowe likajifunze demokrasia ndani ya vyama huko Marekani halafu aje aangalie na ushuzi anaoufanya ndani ya Chadema
 
Sijawahi kuona post ya kijinga.kama hii humu JF.wewe ndo wakwanza kuandika uharo kama huu.kuhujumiana kupo tu hiyo ni human nature kama YESU alisalitiwa sembuse watu wa kawaida?.Katika chama wanachoongoza kuhujumiana ni Ccm.kumbuka mpaka upinzani upite ujue ndani ya ccm watu wamehujumiana.cc mbeya mjini,Iringa,Arusha,n.k .Wasaliti wanafukuzwa.Serikali hii ya awamu ya 5 imeua wengi sana.kwa hiyo usishangae.Ila wewe usiige serikali yako kuua watu ni dhambi
 
WAMEFUKUZWA
 
vijana gani hao wanaoharibiwa labuda lumumba fc, ila vijana wa chama wa wako na mwenyekiti. pili, hao viongozi uliowataja kuwa ni kheri nguvu kubwa ilekezwe kwao ili wawe wenyekiti kuliko mbowe ni sawa kwani ni viongozi na wapigania chama wazuri ila muda wao bado chama bado kinatakiwa kuwa mikononi mwa jemedali mwenyewe kulingana na khari ilivyo kwa sasa. tatu,swala la kula bata mwanaume yeyote anakula bata ila tunatofautiana kipato na maeneo ya kulia bata kulingana na kipato. nne, kubadilshwa kwa kipengele so swala la mbowe ila ni wanachama wenyewe baada ya kuona vijana walioko bado hawafuzu kama sasa wanachama wanavyotaka aendelee. tano, ngono ipo tu ni kheri ya huyo aliyezalilisha ila kuna mtu amezalisha ila hamuongei. hitmisho, roho ya mtu ni roho hakuna roho isiyokuwa nautapeli ndani yake, kuondoka kwa 1/3 ya viongozi kwenda kuunga huhudi ni jambo njema na ni faida kwa usajili mpya ndani ya chama.
 
Chadema kuweni makini, Huu mpango aliuanza Musiba, Jacob anawaumiza kichwa, Jacob kuwa makini, Msizipuuze hizo sauti,
 
kinachoendelea ndani ya chadema kinasikitisha sana. Mbowe alitakiwa awe ameshajiuzulu siku nyingi ili upinzani upone.
Kwani hawana vikao vya maamuzi? Na kama vipo, nipe mrejesho waliamua nini. Vinginevyo hoja yako ni ya kuchonga ili kufitini haki za msingi za viongozi wa hicho chama!
 
CCM ndo inayong’ang’ania madaraka. Chadema wana madaraka gani?upinzani una madaraka gani kama una ubongo wa kufikiri?
Kwani ndani ya CHADEMA mwenye maamuzi ya mwisho ni nani ? Honestly speaking? Madaraka si tu kuongoza nchi, hata kuongoza chama tena kikubwa kama CHADEMA.
 
You must not be serious mkuu,

Unamaanisha kuwa Kubenea ndio kampoteza Ben??

Tutasikia mengi sana mwaka huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…