kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Anwani za makazi ni jambo jema lenye Nia njema. Lengo lake ni kutambua tunapatikana wapi ndani ya mitaa, kata, tarafa, wilaya, mikoa ndani ya Tanzania. Kila mkoa, wilaya, tarafa, kata, vijiji na mitaa ina majina yake maalumu ambayo kama ukiyataja kila mtu atajua ni la mkoa na wilaya gani,
Lakini hali ni mbaya sana kwenye zoezi hili. Nimezunguuka jijini dar es salaam nikakutana na majina ya mitaa na barabara kama MT. Mchambawima, Ugweno, rombo, usangi, morogoro, ubena, Nyaishozi, maganzo, Kwamkunga, nk. Hii haikubaliki kabisa watu kuipa mitaa majina ya walikozaliwa na walikoolea wake zao, haileti maana kabisa na inachanganya watu. Wewe uko dar es salaam jina la Ugweno la nini huku gongolamboto? Uko kigamboni jina la morogoro kwenye mtaa ni lanini?
Majina haya yatazamwe upya.
Lakini hali ni mbaya sana kwenye zoezi hili. Nimezunguuka jijini dar es salaam nikakutana na majina ya mitaa na barabara kama MT. Mchambawima, Ugweno, rombo, usangi, morogoro, ubena, Nyaishozi, maganzo, Kwamkunga, nk. Hii haikubaliki kabisa watu kuipa mitaa majina ya walikozaliwa na walikoolea wake zao, haileti maana kabisa na inachanganya watu. Wewe uko dar es salaam jina la Ugweno la nini huku gongolamboto? Uko kigamboni jina la morogoro kwenye mtaa ni lanini?
Majina haya yatazamwe upya.