Mkuu Lugalo ni jina la Kijiji kule Iringa, ndipo yalipofanyika mapigano ya wahehe na wajerumani na kumuua kiongozi wao Zelwisky miaka hiyoLugalo sio mtaa ni jina la taasisi
Ni ngumu kama umezoea life la uswahili lakini kama ni mtu ambaye hupendi uswahiliswahili ni Jambo jepesi sanaUnaweza kuuza iwapo ni mmoja na uko peke yako kitu ambacho ni nadra kutokea vinginevyo huwa sio rahisi sana kama unavyoandika hapo.
Ni palepale TU uwezo wako sio kivileee!! Nami nimekwambia hayo majina yalikuwepo lakini ni watu wenyewe walitoa majina hayo kwa kujua au kutokujua. Yaani mtu mwenyewe kajenga hotel yake akaiita tip top lakini watu wakaamua kuita huo mtaa tiptopTuanze na majina yetu. Badala mtu kuitwa Abdul au John aitwe Mapunda, Mkwegange, Masanja, Ndugai, Chacha, n.k baada yapo tufurushe majina yote ya ki
Wewe ni mpumbafu kama umeshindwa kuelewa kitu kidogo namna hiyo. Uliongelea majina kutumika kusiko asili yake nikakwambia hayo majina mbona yapo na yanatumika miaka mingi na nikatoa mifano.