Michael Richard
Senior Member
- Mar 29, 2023
- 166
- 496
- Thread starter
- #181
Hakika kakaTapeli huwaza utapeli tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika kakaTapeli huwaza utapeli tu
Mkuu PC 100 ulitumia kama 3ml na ww PC hizo jumla unauza 2.1mil au cjaelewa vzr?Picha hiz hapa kwa anaye hitaji anicheki 0788906890View attachment 2604776
Hata mimi siwezi kuwa na rafiki kama wewe kwa sababu unashindwa kupembua mambo. Kuna mambo mawili unachanganya hapa. 1. Biashara 2. Genuinity ya bidhaa za biashara. Nianze na biashara. Kibiashara sikupingi kwani unatafuta riziki yako. Umejitahidi kuagiza simu na unauzia wateja ili uendeshe maisha yako. Hili nakuunga mkono na sikupingi. Big Up. Kuhusu genuinity ya bidhaa hapa ndipo napokupinga. Wewe unadai bidhaa zako ni genuine wakati mimi nakuambia ni copy. Bei yake kwa mtu anayejua biashara ya simu huwezi kumdanganya kuwa ni original nokia phone kwani kwa bei hiyo hupati. Jambo ambalo hujui ni kuwa mimi nakuokoa kutoka kwenye udanganyifu unaofanyiwa kwa kudhani kuwa hizo simu ni original. Nakufungua macho kuwa siyo original japo sikuambii uache biashara. Huoni kuna umuhimu wewe kama mfanyabishara kujua undani wa bidhaa unazouza kwa kina?Daah hichi kichwaa siwez kuwa narafik kama wew nitafeli kabix unawza kushidwa muda wot duuuh
Duuuh! changamotoNgeli baba
mtakutafuta mkuu kwanza nataka uniagizie in fnx kwa niaba ya matumizi mkuuUkisha kopa nicheki tuagize wote ilitupate kwa bei rahisi kaka
mtakutafuta mkuu tushilikiane kwenye ilo jamboUkisha kopa nicheki tuagize wote ilitupate kwa bei rahisi kaka
Ata ukiagiza moja unaletewa
Kaka nadhani haina haja ya debate humu wew amini nicopy bt mm najua ni originalHata mimi siwezi kuwa na rafiki kama wewe kwa sababu unashindwa kupembua mambo. Kuna mambo mawili unachanganya hapa. 1. Biashara 2. Genuinity ya bidhaa za biashara. Nianze na biashara. Kibiashara sikupingi kwani unatafuta riziki yako. Umejitahidi kuagiza simu na unauzia wateja ili uendeshe maisha yako. Hili nakuunga mkono na sikupingi. Big Up. Kuhusu genuinity ya bidhaa hapa ndipo napokupinga. Wewe unadai bidhaa zako ni genuine wakati mimi nakuambia ni copy. Bei yake kwa mtu anayejua biashara ya simu huwezi kumdanganya kuwa ni original nokia phone kwani kwa bei hiyo hupati. Jambo ambalo hujui ni kuwa mimi nakuokoa kutoka kwenye udanganyifu unaofanyiwa kwa kudhani kuwa hizo simu ni original. Nakufungua macho kuwa siyo original japo sikuambii uache biashara. Huoni kuna umuhimu wewe kama mfanyabishara kujua undani wa bidhaa unazouza kwa kina?
Bado nafikiria kwanini umeandika whorehouse?
Mtaji chini ya laki 5 umefika 1.3M
Mimi pia😂😂😂.whorehouse
Mike huwezi jibu Kila changio humu, ushajieleza kiasi inatosha mwenye uhitaji atakutafuta asiye hitaji atakupuuza,, jipambanue kwa vitendo, lete mzigo mwingine Bora zaidi, na pale upatapo wasaa toa maelekezo kwa wengine ili nao waweze kujiagizia bidhaa wazitakazoSio fake kaka. Sas fanyeni kitu kimoja chagueni mmoja nimpe bure atumie alafu atawajuza wote mkisha mchagua mnichek whatapp 0788906890
Kuagizia Alibaba nitofauti kidogo na alixpress nichek whatpp 0788906890 nikutumie video ya mwongozoSilent ocean wanachaj Bei gani kwa simu moja
AliExpress naonaga Ina cost 23k Hadi 30k
Chamazi mkuuUpo Dsm sehemu gani?
Amesema amenunua march kulikua na punguzoUnapata hasara eti mzigo wa Nokia wa laki moja na Sitini nauri 358000
160,000+358,000= 518,000 Simu moja uku za nokia 40000 hadi 35000 maana ake hakuna kitu unapata labda matumizi binafsi
Yes kulikuwa napunguzo kubwa la bei kufuatana na sikuku zilizokuwa chinaAmesema amenunua march kulikua na punguzo
Shukurani[emoji120]Ahsante kwa muongozo...
Silent hawasafirishi simu 1Silent ocean wanachaj Bei gani kwa simu moja
AliExpress naonaga Ina cost 23k Hadi 30k