Anzeni kuwekeza kwenye Crypto

Anzeni kuwekeza kwenye Crypto

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikikumbuka scam za FTX na benance ndo naona Crypto ni betting kama betting zingine

Hi biashara ya kunambia ninunue crypto kisha utajiri wake eti ninhold sababu ni long investment ila cha ajabu hao wanaokwambia ununue then hold and dont sell because after few years you will make a fortune ndo hao wanaotaka kukuuzia.. mbona wao hawa hold

Crypto nyigi wanatengeneza hype kuwauzia watu baadae unaona zinashuka thaman baada ya demand kupungua.. yotube ziko video nyingi watu waliopiga pesa na watu walioliwa
Pesa yaan ukiuliza hiii crypto currency thaman yake inalindwa na nini utasikia inalindwa kwa kuwa na demands kubwa... nje ya demand hakuna backup ya kitu chochote demand ikishika then na thamani inapotea

bitcoin ina thaman kubwa sasa hivi ila
Thaman yake iko kwenye demand sababu kila mtu hataki kuuza ila bado haijawa universal kuitumia kama pesa maana haikubaliki na nchi zote.. na bitcoin ziko 21milion tu ikijiti hiyo 21m basi huwez ku mine new bitcoi. Labda wabadili chainblocks ..

so sasa hivi Bitcoin ni kama Antiques au zile paintings za kina Picasso au ile ya monalisa .. lakini haiwez kuja kuwa as a currency kama dollar

crypto currency wakat zinaanza watu walipiga chapuo kuwa ndio altrnative ya FIAT money ila baada ya kugundulika mapungufu mengi na scammers kuwa wengi watu wameanza kuziogopa sababu hakuna regulation ya ku control hata wewe kesho unaweza kuanzisha crypto currency yako ni swala kuweza kuipigia debe watu wakulipe dollar uwauzie digital currency wakiwa na imani itapanda thaman wauze wapige pesa
πŸ˜‚ Kupigwa nje nje
 
Un
Wakuu Kuna Haja Ya Kuanza Kuwekeza Kwenye Crypto Kama Bado Huja Anza.

Dogecoin Mwezi Uliopita Yaani Tarehe 31/10 Ilikuwa Inauzwa Dollars 0.168146 Sawa na kama TZS 200 Kwa Exchange Rate Ya Tarehe 31/10/2024.

View attachment 3150202

Wakati leo hii Dogecoin Imepanda Thamani na Kufikia 1100 mpaka sasa hivi na inaendelea kupanda. Jana mchana saa 9 jioni ilikuwa ina thamani ya 679 Ila leo imeamka Na TZS 1100.

View attachment 3150199

Mpaka Kufika Jioni Itaweza Kupanda Zaidi.

Fikiria kama ungenunua dogecoin za thamani Ya 100000 Tarehe 31/10 leo ungepata dogecoin 500 kwa bei ya 200. Sasa chukua dogecoin thamani ya dogecoin ya leo ya 1100 zidisha mara dogecoin zako 500 utapata 550000. Ungekuwa umetengeneza faida ya TZS 400000 kufikia leo hii.

Bitcoin ilikuwa Ina Thamani Ya milioni 170TZS mwezi uliopita leo Hii Ina Thamani Ya million 236,012,506.25 TZS. Piga Hesabu Ya Faida Aliyopata Mtu Aliyenunua Mwezi Uliopita.

View attachment 3150198

Tuachane Na Bitcoin Kwa Sababu Wachache Wanaweza Kununua. Sisi tuanze kununua Dogecoin Au Anza kununua Currency Za Bei Ya Chini Zaidi.

Naona Utajiri Mkubwa Kwenye Sarafu Ya Mtandaoni Kwa Wale Watakaochukua Hatua Sasa Hivi.

Elon Musk And Trump Effects.
Utumiq market gani local bitcoins imezuia watumiji wapya kwasas
 
Ser ni pm watsap yako kuna jambo nikuulize kuna mahal nakwama nikitaka kuingia BINANCE
 
Wakuu Kuna Haja Ya Kuanza Kuwekeza Kwenye Crypto Kama Bado Huja Anza.

Dogecoin Mwezi Uliopita Yaani Tarehe 31/10 Ilikuwa Inauzwa Dollars 0.168146 Sawa na kama TZS 200 Kwa Exchange Rate Ya Tarehe 31/10/2024.

View attachment 3150202

Wakati leo hii Dogecoin Imepanda Thamani na Kufikia 1100 mpaka sasa hivi na inaendelea kupanda. Jana mchana saa 9 jioni ilikuwa ina thamani ya 679 Ila leo imeamka Na TZS 1100.

View attachment 3150199

Mpaka Kufika Jioni Itaweza Kupanda Zaidi.

Fikiria kama ungenunua dogecoin za thamani Ya 100000 Tarehe 31/10 leo ungepata dogecoin 500 kwa bei ya 200. Sasa chukua dogecoin thamani ya dogecoin ya leo ya 1100 zidisha mara dogecoin zako 500 utapata 550000. Ungekuwa umetengeneza faida ya TZS 400000 kufikia leo hii.

Bitcoin ilikuwa Ina Thamani Ya milioni 170TZS mwezi uliopita leo Hii Ina Thamani Ya million 236,012,506.25 TZS. Piga Hesabu Ya Faida Aliyopata Mtu Aliyenunua Mwezi Uliopita.

View attachment 3150198

Tuachane Na Bitcoin Kwa Sababu Wachache Wanaweza Kununua. Sisi tuanze kununua Dogecoin Au Anza kununua Currency Za Bei Ya Chini Zaidi.

Naona Utajiri Mkubwa Kwenye Sarafu Ya Mtandaoni Kwa Wale Watakaochukua Hatua Sasa Hivi.

Elon Musk And Trump Effects.
Hii michezo since nimetapeliwa, siiamini kabisa.
 
Hii michezo since nimetapeliwa, siiamini kabisa.
Ulikutana na watu wabaya brother. Ni sawa na mtu aende kkoo auziwe sabuni badala ya simu, kisha aache kabisa kwenda kkoo akiamini wafanyabiashara wote wa eneo hilo ni matapeli
 
Ulikutana na watu wabaya brother. Ni sawa na mtu aende kkoo auziwe sabuni badala ya simu, kisha aache kabisa kwenda kkoo akiamini wafanyabiashara wote wa eneo hilo ni matapeli
Mkuu unaweza kunipa safety assurance ya pesa zangu Kwenye mtanadao? Maana nilishaumwa na nyoka.
 
Mkuu unaweza kunipa safety assurance ya pesa zangu Kwenye mtanadao? Maana nilishaumwa na nyoka.
Kwenye mtandao usideal na watu moja kwa moja, deal na kampuni. Kuna exchanges kubwa za crypto kama vile Binance ambayo ndio #1 duniani, unaweza tumia hiyo na pesa zako zikawa safe kabisa. Natrade kila siku na nipo na waTZ wengi tu wana mitaji mirefu brother kwa zaidi ya 5 years sijasikia malalamiko hapo Binance.
 
Kwenye mtandao usideal na watu moja kwa moja, deal na kampuni. Kuna exchanges kubwa za crypto kama vile Binance ambayo ndio #1 duniani, unaweza tumia hiyo na pesa zako zikawa safe kabisa. Natrade kila siku na nipo na waTZ wengi tu wana mitaji mirefu brother kwa zaidi ya 5 years sijasikia malalamiko hapo Binance.
Kuna kipindi nipo kampuni moja nawekeza, binance nilikuwa natumia kama exchange platform, Kuna siku wakanitaarifu kwamba kampuni ninayowekeza ni scammers, lakini kipindi hicho nilikuwa napiga pesa, Wala sikutilia manani.

Mwishowe shwaaaa
 
Kuna kipindi nipo kampuni moja nawekeza, binance nilikuwa natumia kama exchange platform, Kuna siku wakanitaarifu kwamba kampuni ninayowekeza ni scammers, lakini kipindi hicho nilikuwa napiga pesa, Wala sikutilia manani.

Mwishowe shwaaaa
Sio MTFEE
 
Kuna kipindi nipo kampuni moja nawekeza, binance nilikuwa natumia kama exchange platform, Kuna siku wakanitaarifu kwamba kampuni ninayowekeza ni scammers, lakini kipindi hicho nilikuwa napiga pesa, Wala sikutilia manani.

Mwishowe shwaaaa
Kwa mtazamo wangu naona ni afadhali kujifunza namna ya kutengeneza faida mwenyewe kwenye crypto kuliko kutegemea 3rd party companies kwamaana wanaanzaga na ofa tamu ili ku-win trust yako ila mwisho wa siku wanakuumiza. Kama tayari ni mzoefu wa Binance bora kudeal na trading tu labda na uwekezaji wa hapo hapo maana Binance ni kampuni inayoaminika na ya muda mrefu. Uzuri ni kwamba zipo namna rahisi pia za kutrade na ukapata faida hata bila kutumia ujuzi mkubwa sana (kama P2P trading na Spot), ila kama upo tayari kutake risk kubwa unaweza kudeal na vitu kama futures trading sababu hapa ukiwa mzuri kwenye kufanya uchambuzi wa sarafu, kusoma charts, na kujua muda mzuri wa kuingia sokoni unaweza pata faida nzuri sana, ila futures bila elimu ni msiba brother!
 
Wakuu Kuna Haja Ya Kuanza Kuwekeza Kwenye Crypto Kama Bado Huja Anza.

Dogecoin Mwezi Uliopita Yaani Tarehe 31/10 Ilikuwa Inauzwa Dollars 0.168146 Sawa na kama TZS 200 Kwa Exchange Rate Ya Tarehe 31/10/2024.

View attachment 3150202

Wakati leo hii Dogecoin Imepanda Thamani na Kufikia 1100 mpaka sasa hivi na inaendelea kupanda. Jana mchana saa 9 jioni ilikuwa ina thamani ya 679 Ila leo imeamka Na TZS 1100.

View attachment 3150199

Mpaka Kufika Jioni Itaweza Kupanda Zaidi.

Fikiria kama ungenunua dogecoin za thamani Ya 100000 Tarehe 31/10 leo ungepata dogecoin 500 kwa bei ya 200. Sasa chukua dogecoin thamani ya dogecoin ya leo ya 1100 zidisha mara dogecoin zako 500 utapata 550000. Ungekuwa umetengeneza faida ya TZS 400000 kufikia leo hii.

Bitcoin ilikuwa Ina Thamani Ya milioni 170TZS mwezi uliopita leo Hii Ina Thamani Ya million 236,012,506.25 TZS. Piga Hesabu Ya Faida Aliyopata Mtu Aliyenunua Mwezi Uliopita.

View attachment 3150198

Tuachane Na Bitcoin Kwa Sababu Wachache Wanaweza Kununua. Sisi tuanze kununua Dogecoin Au Anza kununua Currency Za Bei Ya Chini Zaidi.

Naona Utajiri Mkubwa Kwenye Sarafu Ya Mtandaoni Kwa Wale Watakaochukua Hatua Sasa Hivi.

Elon Musk And Trump Effects.
Upo katika magroup ya Cryptocurrency mkuu via WhatsApp
 
Back
Top Bottom