Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Anasema hivi.....
See new posts
Nitoe pole kwa msanii aliyepata ajali ya kuvunjika uti wa mgongo katika jukwaa la CCMAkiwa anafanyia kazi ya kucheza muziki wa dansi wakati CCM ikimpokea Makonda.
Pole kwa msanii husika, wasanii wote na pole kwa familia yake. Nimesikitishwa na kauli za kejeli kutoka kwa katibu mwenezi Ally Bananga wa mkoa wa Dar es salaam baada kijana kupata ajali akiwa chini bila kupata huduma ya kwanza.
Bananga anasikika akisema anafamya usanii au ameenda (kufa) badala ya kumpatia huduma ya kwanza. Bananga anasikika tena akisema wamuulize aliyepata ajali ya kuvunjika uti wa mgongo kama amekula. Imeniuma sana, sawa inawezekana mnajua wasanii wa Tanzania wana njaa lakini haikutakiwa kutweza utu wa mtu wakati wa maumivu makali na ajali kama ile. Nimevaa uhusika wa yule msanii (kijana) kama ndiyo mimi nimejikuta nimelia sanaaaaaaaaa
My Take: Wasanii wawe waache kushobokea siasa za CCM.
See new posts
Nitoe pole kwa msanii aliyepata ajali ya kuvunjika uti wa mgongo katika jukwaa la CCMAkiwa anafanyia kazi ya kucheza muziki wa dansi wakati CCM ikimpokea Makonda.
Pole kwa msanii husika, wasanii wote na pole kwa familia yake. Nimesikitishwa na kauli za kejeli kutoka kwa katibu mwenezi Ally Bananga wa mkoa wa Dar es salaam baada kijana kupata ajali akiwa chini bila kupata huduma ya kwanza.
Bananga anasikika akisema anafamya usanii au ameenda (kufa) badala ya kumpatia huduma ya kwanza. Bananga anasikika tena akisema wamuulize aliyepata ajali ya kuvunjika uti wa mgongo kama amekula. Imeniuma sana, sawa inawezekana mnajua wasanii wa Tanzania wana njaa lakini haikutakiwa kutweza utu wa mtu wakati wa maumivu makali na ajali kama ile. Nimevaa uhusika wa yule msanii (kijana) kama ndiyo mimi nimejikuta nimelia sanaaaaaaaaa
My Take: Wasanii wawe waache kushobokea siasa za CCM.