Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Ajali kaziniKatolewa kafara tayari au? tutamuuliza Mchungaji Gwajima, lazima atakuwa anafahamu haya mambo ya kibashite bashite.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajali kaziniKatolewa kafara tayari au? tutamuuliza Mchungaji Gwajima, lazima atakuwa anafahamu haya mambo ya kibashite bashite.
Kazi gani kafanya hadi avunjike mgongo? utakuta hata bima ya afya hana, atalazwa Mwananyamala mpaka akome.Ajali kazini
Na hilo ndo lengo kuu la kumrudisha Makonda ulingoniBandari imeshasahaulika dadeki 😂😂
Who caresKazi gani kafanya hadi afunjike mgongo? utakuta hata bima ya afya hana, atalazwa Mwananyamala mpaka akome.
You are right who cares about his ass, let him die that is what ccm do anyway. Bandari haijapotea ni fikra zako tu.Who cares
Kikubwa bandari imefutika midomoni mwa watu
AaaahaaaaMuulizeni "Amekula"?😅😅😅
Swali langu daily,maana vitu ingine ni njaa tu inasababisha
JIongezeBinafsi huwa inanisikitisha na ninawadharau sana kuona vijana wanaodharirishwa na CCM. Sijui watajitambua lini. Kuna wanaoitwa vijana wa Hamasa kama wale vijana wa Tulia pale Mbeya. Kama nikimuona mwanangu kwenye mambo ya CCM hakika namu laani. Mbona watoto wa akina Tulia na vigogo wengine hawafanyishwi kama matoto yetu ya kizugua yanavyofanyishwa. Pumbavu kabisa.
Ndio mtumwe kwenye hamasa na kushangilia kila kitu? Nyie ndio mnakata mauno na kudharirishwa jukwaani kisa CCM? Pumbavu kabisa nyie.JIongeze
Kama ilivyo mbinguni,hata kule watumishi wapo
CCM nako ni vile vile
Hao green guard ni wa kutumwa tumwa
Huwezi kuta kijana mwenye malengo ya kisiasa kama mimi kufanya hivyo
Mwache ajifunze
Watoa taarifa mitandaoni wote washaanza kusahau swala la bandariYou are right who cares about his ass, let him die that is what ccm do anyway. Bandari haijapotea ni fikra zako tu.
Ukiwa mbwinga utatumwa tuNdio mtumwe kwenye hamasa na kushangilia kila kitu? Nyie ndio mnakata mauno na kudharirishwa jukwaani kisa CCM? Pumbavu kabisa nyie.
Uti wa mgongo ni shida tupu, aombe asipate paraplegiaAna bahati sana.Ilipaswa iwe shingo ili waulizane ni kuzika kwanza au kubugia ubwabwa kwanza?
Acha livunjike takatakaMamaeee
Mzuka ulipanda kwa furaha baada ya kumuona Makonda
Aliruka vibaya sana
Sidhani kama mgongo ulipona
Aahaaaaa
Ulitaka mambo yote yaachwe lizungumzwe la bandari pekee? Kwanza hadi sasa hujaona kuwa hatua kubwa imefanyika?Bandari imeshasahaulika dadeki [emoji23][emoji23]
The same trick used during elections feed them ones they will forget foreverMuulizeni "Amekula"?😅😅😅
Swali langu daily,maana vitu ingine ni njaa tu inasababisha
Hizi ndio akili za Ki bashite bashite!Watoa taarifa mitandaoni wote washaanza kusahau swala la bandari
Wote wanakimbiza kivuli cha Makonda
Aahaaaa