Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
πππ hakika aiseeWanawachukulia poa ila bila nyie melo atarudi kulima ndizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππ hakika aiseeWanawachukulia poa ila bila nyie melo atarudi kulima ndizi
Aririririiirih ππππ!
ππAririririiirih ππππ!
Santo sana kipenzi
Penda pia young sisy π π π π
Huu uzi nimechelewa kuuona..thanx sana rafiki..kupenda na ku appreciate ni tiba ya nafsi na moyo..Kwenye maisha tunakutana na Mambo mengi yapo yenye kutufurahisha na kutuhuzunisha.
Japo Kuna baadhi ya vitu ambavyo huwa vinatupa nafasi ya kuwa watu wengine kabisa. Mfano
πI kwangu ni jamii forums imekuwa ikinifundisha,furahisha,huzunisha na hata muda mwingine kuni habarisha kutokana na baadhi ya uwepo wa baadhi ya watu humu.
Leo nimeona niwataje baadhi ya wana jukwaa humu ambao kwa kiasi chake, huwa wanacheza nafasi kubwa kwa upande wangu.
Bro au mzee wao ni wao huyu Jamaa ni mmoja Kati ya watu ambao jf ime tuunganisha, na nafurahia uwepo wake.
πTumejikuta tuna fanana na kuendana baadhi ya vitu.
πTumekuwa tukishauriana baadhi ya vitu ambavyo mpaka muda mwingine, nasema maybe my late dad is back. Holla masterπͺ intelli got your back comrade
π Magic and sweet mind mdogo Madame S, since the first day namjua, ameendelea kunishangaza juu ya upole na ucheshi wake. Ni mtoaji mzuri wa ushauri na pia ni ka mtu kakali kakiamua. Lots of love and respect to you.
team ya jf usiku wa Manane, aisee Mimi ni muhanga wa kukesha, Tena yule aliyekubuhu sio kwa ubaya ila it's just for fun . Huwa nacheck movie au hata kuangalia vipindi mbalimbali.
πBasi katika safari hii nikakutana na lunatic wenzangu ambao ni National Anthem, Mzee wa kupambania, Bantu Lady Dahan, Mafian cartel, Analyse, Poor Brain, Mwachiluwi, ambao Tumekuwa tukitaniana na kushaurina baadhi ya vitu. Oya nyie wajuba nawakubali Sana.
waandishi wa makala mbalimbali, Kuna baadhi ya waandishi ndani ya jf wamekuwa wakiandika baadhi ya articles ambazo zimekuwa πzikinifunza,kunijuza
π Habarisha
πFundisha
π Furahisha na hata kunishangaza kutokana na Visa vyao.
Leo nimeona niwataje baadhi yao ambao kwa kiasi chake, nimekuwa nikijifunza mengi kutoka kwao.
π Big bro Analyse, Visa kuhusu maisha yake ni vingi, habari kuhusu hustles zake za maisha,mapenzi, mahusiano ya kifamilia. Ila yote kwa yote kudos to you.
π JBourne59, mzee mwenye haiba ya utofauti, msomi ambaye amekuwa akitumia baadhi ya muda wake kutujuza au kutufundisha baadhi ya Mambo aliyokutana nayo.
π CONTROLA, mzee wa hints zinazohusu biashara.
π Liverpool VPN, raisi wa chama Cha kataa ndoa. Sera zake zinafurahisha Sana.
πRaisi wa chama Cha mkono bao na sheria ya kumwaga nje dronedrake
π paschal mayalla
π LIKUD,
π Genius Da'Vinci na habari zinazohusu mengi.
π SteveMollel, hutu ni legend kwani toka enzi za anga la washenzi mpaka Zama za jirani wa goba. Still hajawai flop.
πwazee wa hip hop, team Cannabis, makaveli10 and others
π Vichaa wenzangu, hoja na habari zenu zina nifurahisha baadhi ya nyakati Unique Flower, mpwayungu village, and great GENTAMYCINE, Chizi Maarifa na mkewe trudie lots of respect to you guys
πTwin sisters Antonnia na Cha ukorofii Lovelovie Hawa wanapenda utani, wacheshi na pia ni wakorofi ukiwauzi, tatizo wakila ban utaona malalamiko yao. Ila bless be upon you friends
π Miss Nuzulati, mpole, mcheshi na akikasirika ana kuwa Kama pilipili ya unga. Hanaga mambo mengiπ
π Mshana Jr nyuzi zake ni nyingi na baadhi Zina maarifa ya kutosha sana. Iwe kuhusu jamii au nadharia mbalimbali.
π Carlos The Jackal,
Team movies and series, πmna play role kubwa Sana, maana Kuna time nakuwa nimechoka ila mkitoa hints kuhusu movie au season basi mood yangu inaenda juu π― Introsagvert, Living Pablo, Numbisa, Khantwe
πKuna Hawa wazee wa comment, ukija na hasira au umevurugwa. basi unaweza cheka bila sababu π bro Extrovert, chalii was chuga Chaliifrancisco, mzee wa totoz mzabzab, mzee mwenye hekima, ambae haeleweki ana wasapoti au kuwapinga wazee wa kataa ndoa great Ushimen, King Kong III, huyu Jamaa anajua Sana utani. Hoja au maoni yako yatakuacha hoi
Wazee wa kutoa likes, Hawa hawana baya uwe expert au new member, basi lazima wakupe shavu mkwepu jr, Half american and others. Kudos
Wazee wa jf sport, upinzani ni mkubwa Sana,Tumekuwa tukijadiliana ama kubishana kuhusu soka. Aisee mko wengi kuanzia team arsenal,simba Hadi yanga π Castr, hamis77, ladies Kalpana, Shadeeya, Bantu Lady, great GENTAMYCINE
And many others I appreciate your appearance here in jf, pole kwa wale wote wataokwazika kwa Mimi kuwataja. Ni kiherehere changu tu.
π Don't forget iam a big fan of my self Intelligent businessman .View attachment 2544334
ππPole sanaNa mie nafanya kazi 24hours/7
πππPenda pia young sisy π π π π
Mi sina hata cha kusema tena
Thanx mamiloo...kitambo sana naona siku hizi umetulia hutupi kitchen pateee kama zamani...Wachangamsha jukwaa wote nawakubali, sana, asanteni kwa muda wenu kwenye mada nisipoona comment ya mmojawenu najua hiyo mada haina jipya, hizi njemba zikitia mguu kwenye mjadala utaenda na unaweza kutembea hadi page 100 kwa siku moja Depal , To yeye , Dejane Evelyn Salt Demi Antonnia Ms cee Nakadori mzabzab Mzee wa kupambania DeepPond Amehlo Bantu Lady Kalpana National Anthem Glenn ERoni wachache sana niliowasahau,
Asante sana mdogo wanguππPole sana
Haya sawaAsante sana mdogo wangu
Mie sipendwi sis eeπ₯²π₯²Penda pia young sisy π π π π
Mi sina hata cha kusema tena
Una group kubwa sana la maankol wako wana show love..hujatindikiwa kibasaMie sipendwi sis eeπ₯²π₯²
Kwani wezi, tuna haki ya kupendwa??Mie sipendwi sis eeπ₯²π₯²
Just fun π πUna group kubwa sana la maankol wako wana show love..hujatindikiwa kibasa
I know budy.. π π π πJust fun π π
Hope mpo wazima kabisa
π π π ningeshangaa kupendwa.. ingekuwa ajabu la kuongizwa kwenye record ya kibatu cha kumbukumbu cha wiziKwani wezi, tuna haki ya kupendwa??
Pole kwani nimepungukiwa nini humu hata nisipotajwa,?[emoji23][emoji23][emoji23] i don't care pia hoja yako ni weak sana
ila mwenye uzi hata ajakutaja [emoji2]
Pole
Tunaitwa vilaza siku hiziπbora tufwe na maushauri yetu, πThanx mamiloo...kitambo sana naona siku hizi umetulia hutupi kitchen pateee kama zamani...
All in all I real appreciate
Vitu vidogo mzee achana navyo muhimu demu wako anakukubali ilo ndilo la muhimuPole kwani nimepungukiwa nini humu hata nisipotajwa,?
Huwa siishi kufata mikumbo bali huwa najikubali mwenyewe na huo ndiyo uanaume [emoji2]