Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si una broadcast mawimbi. Channel itakayo nasa mawimbi unaruka nayo hiyo hiyo.Hata kama kuombwa ndio niwataje wote hao chief?
Mimi naona wanawake wapo humu ila hawazidi 30Ndioo ana nyota naoo ephen
Waoo socialize sana hahahaahahaaWakina nani hao na kwanini mkuu?🤸
Tusipisocialize jf haitokuepo, watakaorusha ngumi mods wapoWaoo socialize sana hahahaahahaa
Umeonaa mkuuu na mm waziri wa..... niko kusuluhishaTusipisocialize jf haitokuepo, watakaorusha ngumi mods wapo
Oya jombi acha kumsanua unatupeperushia ma bird ankoli.....Hii sio comment ya mwanamke, ni ya fundi wa ac za magari.....
Nasema hivi jf kuna wanawake sita tu 😹😹😹😹😹
Yechu yechu.....🤣Oya jombi acha kumsanua unatupeperushia ma bird ankoli.....
Wa kwanza ni @Evelyn Salt
Ongezea na :Wa tano @To yeye
Mmh baby girl naanza kumuelewa Evelyn Salt huenda wewe ni fundi ac wa magariOya jombi acha kumsanua unatupeperushia ma bird ankoli.....
🤣🤣🤣🤣 mcheki fundi umpe kazi.....Mmh baby girl naanza kumuelewa Evelyn Salt huenda wewe ni fundi ac wa magari
Faza achana na huyo shangazi....mi mbona bebi gelo tyuuu....pisi kali, kazi ya kwenda...oya weeee sio poaMmh baby girl naanza kumuelewa Evelyn Salt huenda wewe ni fundi ac wa magari
Ha ha haaHawajui k
Hawajui kuwa una nyota ya chipsi
Mkuu umepunguza kutuandikia thread sikuizi Mimi Ni mfuatiliaji wa thread zako usichoke ndugu kutuhabarisha..Niachieni ephen na wala sitaki kurushwa rushwa moyo kama mpira wa kikapu.
We tulia na Upendo penzeza si amekuja jana Chamani ?huyu hakufai.Niachieni ephen na wala sitaki kurushwa rushwa moyo kama mpira wa kikapu.