Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
My nikwambie kituHa ha haa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My nikwambie kituHa ha haa
Gentamytxako hatakiwi huku.Mtaalamu GENTAMYCINE simuoni
Mimi nipo na ephen ephen ephen ambaye ndio mboni yangu.We tulia na Upendo penzeza si amekuja jana Chamani ?huyu hakufai.
Mama anatosha😜😜
Toka huko Mama anakutoshaMimi nipo na ephen ephen ephen ambaye ndio mboni yangu.
Mi nataka bato na huyu Lucas Naona anavuka mipaka kwa vitu vyangu vya msingi.kuna siku ngumi zitarushwa humu nipeni mda 😂 😂 ephen_
Kwahiyo unataka kumpora tamu yakeMi nataka bato na huyu Lucas Naona anavuka mipaka kwa vitu vyangu vya msingi.
Yeye Mama anamtosha Ephen wa Nini? Akaanzishe mambo na Upendo Peneza huko wakaimbe mapambio.Kwahiyo unataka kumpora tamu yake
Andaa hoja kesho Etugrul Bey atawaanzishia uzi wa battle yenuYeye Mama anamtosha Ephen wa Nini? Akaanzishe mambo na Upendo Peneza huko wakaimbe mapambio.
Naiomba bato ya facts na Lucas kuhusu mama anatosha.
Nimeomba Hapo uzi tayari sijakutag hivi?Andaa hoja kesho Etugrul Bey atawaanzishia uzi wa battle yenu
Matusi hatutaki lakini
Hivi ni kweli huyu kada wa Lumumba anayebubujikwa na machozi kila wakati ndo anachakata Ephen?.....ephen_ hyu huyu wa Lucas Mwashambwa au kuna mwingine [emoji23]
ephen_ huyu mwamba kapiga mkwara mzito yaan naogopa hata kukuita mumy,,,nikiwaanzishia uzi unanitetea lknAndaa hoja kesho Etugrul Bey atawaanzishia uzi wa battle yenu
Matusi hatutaki lakini
Nitag nijeNimeomba Hapo uzi tayari sijakutag hivi?
Usijali Lucas Mwashambwa hana shida mbele ya mama kizimkazi ila fungua kesho leo tupo kaziniephen_ huyu mwamba kapiga mkwara mzito yaan naogopa hata kukuita mumy,,,nikiwaanzishia uzi unanitetea lkn
Sawa mumyUsijali Lucas Mwashambwa hana shida mbele ya mama kizimkazi ila fungua kesho leo tupo kazini
Karibu sanaNafika na list yangu muda si mrefu.
Huoni halafu tena Umenitaja sasa sijui nikueleweje au wakueleweje?Mtaalamu GENTAMYCINE simuoni
Usijebubujikwa machozi ya huzuniNiachieni ephen na wala sitaki kurushwa rushwa moyo kama mpira wa kikapu.
😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jf nzima wanawake ni sita tu