raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Kwamba nilishawahi kuanzisha thread 😁Sijaelewa mkuu kwamba raraa reree ni robot?🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba nilishawahi kuanzisha thread 😁Sijaelewa mkuu kwamba raraa reree ni robot?🤣🤣🤣
Ukija mtaani kwetu hutongozi mkuu just tell them my name is raraa reree halafu fumba jicho moja kama una konyeza vileKwamba mimi ni chris brown mtaani kwenu 😄
Mtaa gani huo nije sasa hivi 😁Ukija mtaani kwetu hutongozi mkuu just tell them my name is raraa reree halafu fumba jicho moja kama una konyeza vile
Nakuaminia mumy,,tutakaa sawa tu mwaka huu si kwa umakini huo 😂😂Mda❌
Muda✅
Nashkuru kwa kunitambua.
Niachieni ephen na wala sitaki kurushwa rushwa moyo kama mpira wa kikapu.ephen_ hyu huyu wa Lucas Mwashambwa au kuna mwingine [emoji23]
Huyo huyoephen_ hyu huyu wa Lucas Mwashambwa au kuna mwingine [emoji23]
Mimi siwindi kwa staili hii,,,nina staili yangu ya kuwindia chiefMbona umeweka list ya mashangazi tupu,sio kwamba upo mawindoni kaka...?😂
Hata kama kuombwa ndio niwataje wote hao chief?Haiombwi hivyo.
Kuwa na amani chief,,usikonde kabisaephen ni kama pesa anapendwa na kukubalika na kila mtu humu jukwaani. Huyo ni First lady wenu ajaye.kwa hiyo usije vuka mstari wa kumkubali maana utakuwa unatafuta ugomvi na maumivu makali na kupigwa bila kujuwa umepigwa na nani na kutoka wapi.
ephen ephen ephen .
sawa nyumbulilo!Mimi siwindi kwa staili hii,,,nina staili yangu ya kuwindia chief
Si una bet tu mkuu.Hata kama kuombwa ndio niwataje wote hao chief?