The atlantic
JF-Expert Member
- Aug 1, 2023
- 390
- 670
Soon mtasikia MTU katekwa ameng'olewa Meno Yuko mabwepande.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha..Soon mtasikia MTU katekwa ameng'olewa Meno Yuko mabwepande.
Kuliko serikalini?Vituo binafsi vingi ni majizi tu.
Mambo yanakoelekea ni magumu sanaAcha wagomee wanufaika wa bima huko private halaf tuone watawatibu watanzania wangapi wenye uwezo wa kulipa keshi.
NB
Masikin tujiandae kufa
Mimi nachukia mno na ndo maana kila siku napendelea Viongozi kama Mawaziri wasiwe na Chama wala wasiwe wabungeNACHUKIA SANA SIASA KUINGIZWA KWENYE AFYA ZA WATU
Angekuepo Jiwe, huu upuuzi usongekua unafanyikaMambo yanakoelekea ni magumu sana
Ha ha ha......kazi za bashite izo[emoji4]Soon mtasikia MTU katekwa ameng'olewa Meno Yuko mabwepande.
Ohooooo....nini sasa hikiwagonjwa ambao tayari wapo kwenye hospitali na vituo binafsi vya afya, Dr Makwabe amewaambia wanahabari kuwa wataendelea kupata huduma kwa saa 48 pekee na baadae watawahamishia kwenye hospitali za serikali kuendelea na matibabu yao.