Apongezwe Mtu wa Yanga SC aliyetoa siri kwa Watu wa Azam TV kuwa Yanga SC inatumia Dawa za Kuongeza Nguvu katika mechi zake

Apongezwe Mtu wa Yanga SC aliyetoa siri kwa Watu wa Azam TV kuwa Yanga SC inatumia Dawa za Kuongeza Nguvu katika mechi zake

Cognizant

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2022
Posts
626
Reaction score
1,409
Na leo waliogopa kuzitumia kwakuwa Watu wa Yanga SC walitonywa kuwa huenda TFF ikawashtukiza kupitia Watumishi wake kadhaa kufanya Uchunguzi Wachezaji wao.

Kitendo cha mwana Yanga SC huyo mwenye Ushawishi mkubwa katika mpira wa Tanzania kuchoka Kutengwa na Mtu aliyemuamini (Rais wa Yanga SC) huku akitengwa wakati aliahidiwa kuwa juu ya mwenzake Kiushawishi ndipo akaamua nae kuwaharibia Yanga SC kwa kutoa hii Siri ya kuwachoma Sindano zenye Dawa za Kuongeza Nguvu Wachezaji wao hali ambayo inawafanya wawe na nguvu maradufu ambayo ilikuwa ni Adhabu ya Vipigo vya maana kwa Wapinzani wao.

Cognizant nimemaliza. Asanteni Tabora United FC na nadhani sasa Tobo litaendelea Kupanuliwa na hata wengine watakaokuja.
 
Watu wanamtuhumu Manara ndio kachomoa betri. Baada ya kukosa kazi yanga.

Lakini pia tuipongeze timu ya Tabora united, imecheza vizuri hasa Offen Chikola apewe maua yake ana shooting accuracy ya juu mno, kapata nafasi mbili na zote kafunga goli 2
Aingeitwa taifa stars

 
Na leo waliogopa kuzitumia kwakuwa Watu wa Yanga SC walitonywa kuwa huenda TFF ikawashtukiza kupitia Watumishi wake kadhaa kufanya Uchunguzi Wachezaji wao.

Kitendo cha mwana Yanga SC huyo mwenye Ushawishi mkubwa katika mpira wa Tanzania kuchoka Kutengwa na Mtu aliyemuamini (Rais wa Yanga SC) huku akitengwa wakati aliahidiwa kuwa juu ya mwenzake Kiushawishi ndipo akaamua nae kuwaharibia Yanga SC kwa kutoa hii Siri ya kuwachoma Sindano zenye Dawa za Kuongeza Nguvu Wachezaji wao hali ambayo inawafanya wawe na nguvu maradufu ambayo ilikuwa ni Adhabu ya Vipigo vya maana kwa Wapinzani wao.

Cognizant nimemaliza. Asanteni Tabora United FC na nadhani sasa Tobo litaendelea Kupanuliwa na hata wengine watakaokuja.
Story za kuunga na utomvu wa mipapai hizi
 
Nilipoona tu hilo jina faster, nikajiongeza kwa kushuka huku chini kuangali nyuzi zinazofanana, na kugundua kumbe ni kweli; Popoma Mbobevu has been banned!!
 
Kabisa Mkuu hiyo imeleta hofu nadhani leo wakaamua wa skip doze ili kukwepa kusanukiwa.

Ila mambo yakiwa hivi hivi kila siku wanapasuka, nadhani watajidunga ile potelea mbali kukubali ku take risk liwalo na liwe.
Hata babu Chama Leo hajalala itakuwa kweli. Muhimu CAF itonywe iwe ndio mwisho wao🏃🏃
 
Iliyobaki ni kuwashtua CAF na klabu zilizo kundi lake. Pia yule msemaji wa Vital'O apewe taarifa hii, atasaidia kupropagate maana ni mojawapo wa wahanga
Yule alijua atatoboa kupitia Yanga kumbe wenzie walimtumia na kumtupa kama ' kinga' aliambulia suti. Timu za group la Yanga wachangamkie fursa hiyo.
 
Na leo waliogopa kuzitumia kwakuwa Watu wa Yanga SC walitonywa kuwa huenda TFF ikawashtukiza kupitia Watumishi wake kadhaa kufanya Uchunguzi Wachezaji wao.

Kitendo cha mwana Yanga SC huyo mwenye Ushawishi mkubwa katika mpira wa Tanzania kuchoka Kutengwa na Mtu aliyemuamini (Rais wa Yanga SC) huku akitengwa wakati aliahidiwa kuwa juu ya mwenzake Kiushawishi ndipo akaamua nae kuwaharibia Yanga SC kwa kutoa hii Siri ya kuwachoma Sindano zenye Dawa za Kuongeza Nguvu Wachezaji wao hali ambayo inawafanya wawe na nguvu maradufu ambayo ilikuwa ni Adhabu ya Vipigo vya maana kwa Wapinzani wao.

Cognizant nimemaliza. Asanteni Tabora United FC na nadhani sasa Tobo litaendelea Kupanuliwa na hata wengine watakaokuja.
ba1d98fc-f77a-4293-b51c-2aecef524d9c.jpeg
 
Naskia Chamata alipigwa dozi hadi akawa anasinzia kwenye benchi la akiba.
 
Yanga Afirika.

Daima mbele, nyuma tumeukalia mwiko.

Poleni kayoko fc.
 
Na leo waliogopa kuzitumia kwakuwa Watu wa Yanga SC walitonywa kuwa huenda TFF ikawashtukiza kupitia Watumishi wake kadhaa kufanya Uchunguzi Wachezaji wao.

Kitendo cha mwana Yanga SC huyo mwenye Ushawishi mkubwa katika mpira wa Tanzania kuchoka Kutengwa na Mtu aliyemuamini (Rais wa Yanga SC) huku akitengwa wakati aliahidiwa kuwa juu ya mwenzake Kiushawishi ndipo akaamua nae kuwaharibia Yanga SC kwa kutoa hii Siri ya kuwachoma Sindano zenye Dawa za Kuongeza Nguvu Wachezaji wao hali ambayo inawafanya wawe na nguvu maradufu ambayo ilikuwa ni Adhabu ya Vipigo vya maana kwa Wapinzani wao.

Cognizant nimemaliza. Asanteni Tabora United FC na nadhani sasa Tobo litaendelea Kupanuliwa na hata wengine watakaokuja.
Tutakapo Anza kutoa vipigo usije na ngonjela zingine.
 
Back
Top Bottom