- Feb 10, 2006
- 4,324
- 13,967
- Thread starter
- #81
Juu ya Search kuna ICON ya DOWNLOAD (mbele yake kuna icon ya zooming kabla ya nyota).Mbona hiyo option haionekan kwenye pc? View attachment 1791432
Bonyeza hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juu ya Search kuna ICON ya DOWNLOAD (mbele yake kuna icon ya zooming kabla ya nyota).Mbona hiyo option haionekan kwenye pc? View attachment 1791432
To maintain apps kwenye hizi stores kunaambatana na changamoto nyingi. Aidha, hii inasaidia kwa ambaye hajui main site asione utofauti endapo atatumia App na wavutu.Asante kwa maelekezo. Nimeijaribu na ina work vizuri tu.
Japo sijajua kwanini mna mpango wa kuondoa App zilizopo kwenye Google na Apple stores?
Ila all in all, it works fine kabisa.
Asante nimeiona..Juu ya Search kuna ICON ya DOWNLOAD (mbele yake kuna icon ya zooming kabla ya nyota).
Bonyeza hapo
Huenda huku-enable push notifications; lakini tutaangalia a better way of making this work easily.Mkuu hongera kwa maboresho.
Kwa upande wa notifications ni hadi uifungue App ndio uzione, hazionekani kama notifications za App zinavyoonekanaga juu(nyuma) screen.
Hii App mpya ya desktop naifananisha na ile ya forum ya kinaijeria, lakini ile ya kinaija inatoa notifications kama kawaida kama App zingine.
Naomba ulifanyie kazi hili ili tupate notifications hata kama hatujafungua App ila tu tukiwa tumewasha data.
Bonyeza hapa kwenye icon ya download Mkuu:Mbona hiyo option haionekan kwenye pc? View attachment 1791432
Ndio hivyo mkuu, maliza kazi within millisecondsNatumia UC.
Option ya installation ipo. Lakini nikibonyeza inaniletea shortcut ya kuadd kwenye home screen. Haipakui program yenyewe.
Tatizo nini!?
Hakuna DOWNLOAD kama ilivyozoeleka kwa wengi. That shortcut is the only thing you need to doNatumia UC.
Option ya installation ipo. Lakini nikibonyeza inaniletea shortcut ya kuadd kwenye home screen. Haipakui program yenyewe.
Tatizo nini!?
Ok, ngoja nijaribuHuenda huku-enable push notifications; lakini tutaangalia a better way of making this work easily.
Mfano, hapa chini ni Desktop App niliyo nayo ikionyesha notifications nilizopata.
View attachment 1791455
Shukran [emoji120][emoji120]Bonyeza hapa kwenye icon ya download Mkuu:
View attachment 1791454
To maintain apps kwenye hizi stores kunaambatana na changamoto nyingi. Aidha, hii inasaidia kwa ambaye hajui main site asione utofauti endapo atatumia App na wavutu.
Pia, tunakoelekea wewe mwenyewe utabaini kuwa it was a right decision...
Karibu mkuu
Just seeing contents. Hutoweza kufanya actions za ku-LIKE au ku-POSTHongera sana boss!
Vipi hapo namba tatu? Yaani kwamba unaweza ukapata updated contents za JF ukiwa offline? Je, unaweza pia kulike, kupost offline?
Ufafanuzi boss!
Deal done nimemaliza😁Naam wakuu,
Kwa mara nyingine tumeona tuboreshe huduma ya JF ili izidi kuwa rahisi kutumia.
Kwa sasa unaweza ku-Install JF App kwa PC au Tablet (iPad zikiwemo) na Simu za Mkononi (Android na iPhones).
FAIDA:
1) Ni rahisi kutumia na haina tofauti yoyote na main site, hakutakuwa na malalamiko tena kuwa kuna kukosa notifications au kushindwa kufanya actions kadhaa
2) Ni rahisi kufunguka kuliko unavyodhania. Installation yake inachukua sekunde moja au pungufu. Haichukui space kwenye simu yako au kifaa chako
3) Ukiwa offline, bado kuna content utakuwa na access nayo kwa urahisi zaidi. Hulazimiki kuwa mtandaoni
4) na mengine mengi
Hatua za kufuata:
Kwa wanaotumia PC:
Tembelea JF kwa kutumia Google Chrome Browser, kisha utaona sehemu kama hii kwenye browser yako:
View attachment 1791283
View attachment 1791292
Kisha bonyeza Install kama inavyoonekana hapa chini:
View attachment 1791284
Utaona tayari unayo App kwenye PC yako. Kuanzia hapo hutokuwa ukilazimika kutembelea tovuti kwa njia ya browsing ya kawaida.
Mfano, mwenye Macbkook ataona icon ya App ya JF ikiwa hivi:
View attachment 1791290
Kwa wanaotumia Android Devices:
Tumia Google Chrome (au native browser ya simu yako):
Bonyeza mistari mitatu iliyo kushoto mwa LOGO ya JamiiForums, utaona kitu kama hiki chini:
View attachment 1791285
View attachment 1791286
Bonyeza INSTALL kisha utaona hivi (itachukua sekunde 1 ku-Install)
View attachment 1791287
Kwa wanaotumia iPhone au iOS devices:
Tumia Safari Browser, bonyeza sehemu hizi zilizozungushiwa na fuata maelekezo kwenye simu... Just add to your device's home screen.
View attachment 1791288
View attachment 1791289
Ukikwama usisite kuuliza, tupo kwa ajili yako.
TAKE NOTE: Siku zijazo tutaondoa App zilizopo kwenye Google na Apple stores!
Karibuni
Ok Mkuu.Hakuna DOWNLOAD kama ilivyozoeleka kwa wengi. That shortcut is the only thing you need to do
Kuna wanaotumia UC Browser na Brave etc wanaweza. Pia, wanaotumia Safari.Kwa jinsi nilivyo ona kwa wasio tumia Chrome hawata weza ku access hii app.
Mkuu mimi changamoto yangu ni maandishi madogo ndani ya topics.Ninawezaje kuyakuza?Nimedownload kupitia cromes.Huenda huku-enable push notifications; lakini tutaangalia a better way of making this work easily.
Mfano, hapa chini ni Desktop App niliyo nayo ikionyesha notifications nilizopata.
View attachment 1791455
Just ZOOM 🙂Mkuu mimi changamoto yangu ni maandishi madogo ndani ya topics.Ninawezaje kuyakuza?Nimedownload kupitia cromes.
Hapa pazuri, bando likiisha tutaendelea kusoma yaliyomo kama kawaidaJust seeing contents. Hutoweza kufanya actions za ku-LIKE au ku-POST