App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi
Habari Moderator Maxence Melo

Mara kwa mara nimekua nikipata ujumbe wa "access denied" nikiingia JF kwa kutumia app yenu....

Naamini kuna codes hazipo sawa maana ni mpaka ujaribu mara tatu au nne ndio unaingia.

Pia app yenu haionyeshi notification "numbers" au "message" mpaka uingie kwenye button zao....

Please boresheni.
Screenshot_20220211-113023.jpg
 
Ni simu mpya kila niki install haifunguki , inaandika subiri kidogo.Nime install na kuifuta zaidi ya Mara 10 ,lakini bado haifunguki.App iliyopo kwenye simu ya zamani inafunguka kirahisi.
 
Jamiiforum ni mtandao pendwa hapa africa mashariki na watumiaji wakubwa wa kiswahili.

Lakini mmekuwa nyuma sana kwenye app yenu kwendana na wakati kwenye maboresho,ubunifu na mtindo unaokwenda na vifaa vya simu janja.

app zinyingi zinajitahidi kuboresha mfumo ili wateja wake wazidi kupenda na kurahisisha.
Maswali kwenu
Je mmelizika !
Je hakuna mpinzani wa mtandao wenu kwenye soko !
Je mabadiliko ya app yenu hayana maana kwenye changamoto !

[mention]maximo [/mention]

tunaomba ufafanuzi kwa sababu ndio CEO wa hili ili wateja wako
 
Jamiiforum ni mtandao pendwa hapa africa mashariki na watumiaji wakubwa wa kiswahili.

Lakini mmekuwa nyuma sana kwenye app yenu kwendana na wakati kwenye maboresho,ubunifu na mtindo unaokwenda na vifaa vya simu janja.

app zinyingi zinajitahidi kuboresha mfumo ili wateja wake wazidi kupenda na kurahisisha.
Maswali kwenu
Je mmelizika !
Je hakuna mpinzani wa mtandao wenu kwenye soko !
Je mabadiliko ya app yenu hayana maana kwenye changamoto !

[mention]maximo [/mention]

tunaomba ufafanuzi kwa sababu ndio CEO wa hili ili wateja wako
Pendekeza hayo maboresho, acha malalamiko kwa huduma ambayo unatumia bure.
 
Watakupiga ban,naomba tupate katiba mpya ndo na jf iboreshwe
 
Pendekeza hayo maboresho, acha malalamiko kwa huduma ambayo unatumia bure.
1.Una uhakika anatumia bure?.

2. Kwani tweeter, instagram unalipia?.

Ni kweli jf kuna haja ya kuboreshwa as mtumiaji wa App ni tofauti na mtumiaji wa Google search, yaani google search naenjoy kuliko app.
 
Ni simu mpya kila niki install haifunguki , inaandika subiri kidogo.Nime install na kuifuta zaidi ya Mara 10 ,lakini bado haifunguki.App iliyopo kwenye simu ya zamani inafunguka kirahisi.
Asante kwa Taarifa. Itafanyiwa kazi.
 
Naam wakuu,

Kwa mara nyingine tumeona tuboreshe huduma ya JF ili izidi kuwa rahisi kutumia.

Kwa sasa unaweza ku-Install JF App kwa PC au Tablet (iPad zikiwemo) na Simu za Mkononi (Android na iPhones).

FAIDA:

1) Ni rahisi kutumia na haina tofauti yoyote na main site, hakutakuwa na malalamiko tena kuwa kuna kukosa notifications au kushindwa kufanya actions kadhaa

2) Ni rahisi kufunguka kuliko unavyodhania. Installation yake inachukua sekunde moja au pungufu. Haichukui space kwenye simu yako au kifaa chako

3) Ukiwa offline, bado kuna content utakuwa na access nayo kwa urahisi zaidi. Hulazimiki kuwa mtandaoni

4) na mengine mengi

Hatua za kufuata:

Kwa wanaotumia PC:

Tembelea JF kwa kutumia Google Chrome Browser, kisha utaona sehemu kama hii kwenye browser yako:

View attachment 1791283

View attachment 1791292

Kisha bonyeza Install kama inavyoonekana hapa chini:

View attachment 1791284

Utaona tayari unayo App kwenye PC yako. Kuanzia hapo hutokuwa ukilazimika kutembelea tovuti kwa njia ya browsing ya kawaida.

Mfano, mwenye Macbkook ataona icon ya App ya JF ikiwa hivi:

View attachment 1791290

Kwa wanaotumia Android Devices:

Tumia Google Chrome (au native browser ya simu yako):

Bonyeza mistari mitatu iliyo kushoto mwa LOGO ya JamiiForums, utaona kitu kama hiki chini:

View attachment 1791285

View attachment 1791286

Bonyeza INSTALL kisha utaona hivi (itachukua sekunde 1 ku-Install)

View attachment 1791287

Kwa wanaotumia iPhone au iOS devices:

Tumia Safari Browser, bonyeza sehemu hizi zilizozungushiwa na fuata maelekezo kwenye simu... Just add to your device's home screen.

View attachment 1791288
View attachment 1791289

Ukikwama usisite kuuliza, tupo kwa ajili yako.

TAKE NOTE: Siku zijazo (sio karibuni) tutaondoa App zilizopo kwenye Google na Apple stores. Kuna mabadiliko zaidi yanakuja kwenye mwonekano na user experience katika kutumia huduma ya JF.

PS: Kuna watu wanataka kujua kuhusu kupata notifications. Tafadhali enable push notifications kwenye settings na utazipata bila shaka.

Karibuni
Asante Kaka. Nimeinstall kwa simu bila shida. Ngoja ni install kwa PC hapa pia.
 
Naam wakuu,

Kwa mara nyingine tumeona tuboreshe huduma ya JF ili izidi kuwa rahisi kutumia.

Kwa sasa unaweza ku-Install JF App kwa PC au Tablet (iPad zikiwemo) na Simu za Mkononi (Android na iPhones).

FAIDA:

1) Ni rahisi kutumia na haina tofauti yoyote na main site, hakutakuwa na malalamiko tena kuwa kuna kukosa notifications au kushindwa kufanya actions kadhaa

2) Ni rahisi kufunguka kuliko unavyodhania. Installation yake inachukua sekunde moja au pungufu. Haichukui space kwenye simu yako au kifaa chako

3) Ukiwa offline, bado kuna content utakuwa na access nayo kwa urahisi zaidi. Hulazimiki kuwa mtandaoni

4) na mengine mengi

Hatua za kufuata:

Kwa wanaotumia PC:

Tembelea JF kwa kutumia Google Chrome Browser, kisha utaona sehemu kama hii kwenye browser yako:

View attachment 1791283

View attachment 1791292

Kisha bonyeza Install kama inavyoonekana hapa chini:

View attachment 1791284

Utaona tayari unayo App kwenye PC yako. Kuanzia hapo hutokuwa ukilazimika kutembelea tovuti kwa njia ya browsing ya kawaida.

Mfano, mwenye Macbkook ataona icon ya App ya JF ikiwa hivi:

View attachment 1791290

Kwa wanaotumia Android Devices:

Tumia Google Chrome (au native browser ya simu yako):

Bonyeza mistari mitatu iliyo kushoto mwa LOGO ya JamiiForums, utaona kitu kama hiki chini:

View attachment 1791285

View attachment 1791286

Bonyeza INSTALL kisha utaona hivi (itachukua sekunde 1 ku-Install)

View attachment 1791287

Kwa wanaotumia iPhone au iOS devices:

Tumia Safari Browser, bonyeza sehemu hizi zilizozungushiwa na fuata maelekezo kwenye simu... Just add to your device's home screen.

View attachment 1791288
View attachment 1791289

Ukikwama usisite kuuliza, tupo kwa ajili yako.

TAKE NOTE: Siku zijazo (sio karibuni) tutaondoa App zilizopo kwenye Google na Apple stores. Kuna mabadiliko zaidi yanakuja kwenye mwonekano na user experience katika kutumia huduma ya JF.

PS: Kuna watu wanataka kujua kuhusu kupata notifications. Tafadhali enable push notifications kwenye settings na utazipata bila shaka.

Karibuni
 

Attachments

  • Screenshot_20220527-181646_Phoenix.jpg
    Screenshot_20220527-181646_Phoenix.jpg
    35.7 KB · Views: 51
Mbona kwangu sion sehem ya kuinstall app. Natumia Phoenix browser
 
Back
Top Bottom