lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Tatizo hili na Mimi ninalo aisee inakera sana..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me browser ndo imenishinda jamani, nshakubali swala la kutoona pichaTunawaambia kila siku tumieni browser haijawahi zingua
Mimi kwenye app ndo sielewi chochote yani kila kitu naona kinyume...browser haijawahi kuniangushaMe browser ndo imenushinda jamani, nshakubali swala la kutoona picha
Tabu sanaIngilia kwa browser, mi mwenyewe ni hivyohivyo.
Browser habari za kubonyeza next na ukitaka kurudi mwanzo lazima urud had page ya kwanza vinanikwaza mnoo.Mimi kwenye app ndo sielewi chochote yani kila kitu naona kinyume...browser haijawahi kuniangusha
Basi sawaBrowser habari za kubonyeza next na ukitaka kurudi mwanzo lazima urud had page ya kwanza vinanikwaza mnoo.
Halafu hata mpangilio wake haunivutii hata robo naona siku app ikifa na mimi ndo utakua mwsho wa kutumia jf
We bwege eti hilo swala tumeshalizungumza humu zaidi ya mara Mia,kulikua na haja gani ya kuleta uzi humu ilihali kuna nyuzi nyingi zimeshajadiliwa??Muwe mnaangalia pahala pa kuleta utani na kunyamaza ....jifunze kufikiri kabla ya kufunga mdomo.
Wanajua wenyew wenye app yaoMi ndo nshakata tamaa kabisa yaani