Apparently COW Ethiopia's Army has tried to shoot down another Kenyan aircraft in Somalia

Apparently COW Ethiopia's Army has tried to shoot down another Kenyan aircraft in Somalia

Kawaulize waganda ambao sasa hivi wanawa "backshots" huko mpakani Tpdf walichowafanya.
TPDF hajawahi ingia Vita yeyote peke yake hata huko kagera na Komoro, ama unataka nikuharibie siku kwa kukotolea facts 😁😁 jeshi lenu labda wavunje make na wabangua koroshow.
 
Mnapaswa kujibu kwa nguvu zote ili wajue kwamba Kenya sio nchi ya kuchezewa na kujaribiwa, vinginevyo wakigundua kwamba mnawaogopa wataendelea kuwadhalilisha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni kuwa Kenya haitaki vita bila sababu. Somalia tulienda kwa sababu Shabab walianza tabia mbaya ya kuteka nyara watalii kwenye pwani ya Kenya. Lakini kulipiza mapigo ya Ethiopia itakuwa ni kama kuwapa permission ya kuanzisha vita. Wao ndio waoga maana kama wanataka vita mbona hawajalianzisha dude moja kwa moja? Naona kama ingekuwa kishujaa zaidi kama wangeingia Kenya na kuanza kutushambulia tuone kama hatungejitetea.

Watu humu wanadhani WaKenya ni wanawake tu wanaovaa sketi. Kila nchi kulingana na UN Geneva protocol ina haki ya kujilinda dhidi ya mashambulizi ya adui. Kama vile Uganda waliwashambulia, TZ ilikuwa na haki ya kupigana na UG bila hata kuomba ruhusa kwa UN security council. Hiyo ndio maana Ethiopia hawana ubavu wa kuingia Kenya maana watakuwa wamekiuka sheria za UN na isitoshe Kenya itakuwa na haki ya kulipiza mapigo bila kuomba ruhusa kwa UN security council. Ila sasa hatuna haki ya kulipiza mapigo maana mashambulizi hayajafanyika ndani ya mipaka yetu.
 
Most of the critical inventory they have cannot be serviced or was destroyed during Ethiopian Eritrian war.
Due to the threat posed by Egypt ilibidi wa upgrade airdefense last year.

They rarely carry out airstrikes in Somalia which tells you bout the state of their airforce. Earlier this year after Wameingia Dolow their convoy was ambushed by Alkebab they suffered heavy casualties but ikabidi wame kanyangia stori .
Kwani kwenye IGAD meetings, Kunyaland na Ethiopia huongea nini? Au mnapeana hadithi za mahaba huku mking'ong'ana halafu mkigeuka ni mwendo wa kudungana visu migongoni!
 
Kwani kwenye IGAD meetings, Kunyaland na Ethiopia huongea nini? Au mnapeana hadithi za mahaba huku mking'ong'ana halafu mkigeuka ni mwendo wa kudungana visu migongoni!
Kwani IGAD meeting inafanyika kila siku?
 
Tatizo ni kuwa Kenya haitaki vita bila sababu. Somalia tulienda kwa sababu Shabab walianza tabia mbaya ya kuteka nyara watalii kwenye pwani ya Kenya. Lakini kulipiza mapigo ya Ethiopia itakuwa ni kama kuwapa permission ya kuanzisha vita. Wao ndio waoga maana kama wanataka vita mbona hawajalianzisha dude moja kwa moja? Naona kama ingekuwa kishujaa zaidi kama wangeingia Kenya na kuanza kutushambulia tuone kama hatungejitetea.

Watu humu wanadhani WaKenya ni wanawake tu wanaovaa sketi. Kila nchi kulingana na UN Geneva protocol ina haki ya kujilinda dhidi ya mashambulizi ya adui. Kama vile Uganda waliwashambulia, TZ ilikuwa na haki ya kupigana na UG bila hata kuomba ruhusa kwa UN security council. Hiyo ndio maana Ethiopia hawana ubavu wa kuingia Kenya maana watakuwa wamekiuka sheria za UN na isitoshe Kenya itakuwa na haki ya kulipiza mapigo bila kuomba ruhusa kwa UN security council. Ila sasa hatuna haki ya kulipiza mapigo maana mashambulizi hayajafanyika ndani ya mipaka yetu.
Believe me soon KDF aicraft will be shot down! BTW mna uhakika gani kwamba hili tukio hawakuwa Ethiopia?

Kenyan military plane crashes in Somalia, rebels say shot down

_100319023_somalia_control_640_v5-nc.png
 
Tatizo ni kuwa Kenya haitaki vita bila sababu. Somalia tulienda kwa sababu Shabab walianza tabia mbaya ya kuteka nyara watalii kwenye pwani ya Kenya. Lakini kulipiza mapigo ya Ethiopia itakuwa ni kama kuwapa permission ya kuanzisha vita. Wao ndio waoga maana kama wanataka vita mbona hawajalianzisha dude moja kwa moja? Naona kama ingekuwa kishujaa zaidi kama wangeingia Kenya na kuanza kutushambulia tuone kama hatungejitetea.

Watu humu wanadhani WaKenya ni wanawake tu wanaovaa sketi. Kila nchi kulingana na UN Geneva protocol ina haki ya kujilinda dhidi ya mashambulizi ya adui. Kama vile Uganda waliwashambulia, TZ ilikuwa na haki ya kupigana na UG bila hata kuomba ruhusa kwa UN security council. Hiyo ndio maana Ethiopia hawana ubavu wa kuingia Kenya maana watakuwa wamekiuka sheria za UN na isitoshe Kenya itakuwa na haki ya kulipiza mapigo bila kuomba ruhusa kwa UN security council. Ila sasa hatuna haki ya kulipiza mapigo maana mashambulizi hayajafanyika ndani ya mipaka yetu.

Sio lazima muingie Ethiopia, mlipaswa na ninyi kushambulia interests na target za Ethiopia kama ndege, au hata vifaa vya kijeshi vya Ethiopia vilivyomo Somalia, sasa mtaendelea kuuliwa na ndege zenu kushambuliwa na Ethiopia ndani ya Somalia mkiwa hamna la kufanya?

Alshabab kabla ya KDF kuingia Somalia 2011 haikuwa imesababisha kifo cha mkenya yeyote, lakini mliamua kwenda kupigana nao, Ethiopia imeanza kusababisha vifo vingi vya wakenya, hamchukui hatua zozote, huo ni unyonge wa hali ya juu sana.

Kenya haiwezi pigana na Ethiopia itapoteza hiyo vita ndani ya wiki moja. Kumbuka Ethiopia ina 160,000 active troops with 3times military arsenals compare to Kenya with only 30,000 active troops with no Experience at all, apart from being is Somalia "

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wasiokua na akili Kama ninyi hamuwezi kumuelewa , Magu ameona bora awaambie unafiki wao wanaoufanya Kwenye huu ugonjwa wanaugeuza fursa . Haiwezekan mtu unamdai tayar biashara hafanyi na deni anabidi alipe kwa mda maalum halafu una mpa mkopo wa kupambana na corona eli kwa riba ndogo unasema umemsaidia kwa Nchi isiokua na akili Kama Kenya ndio itachekelea mkopo wa aina hii .Magu kawashtukia Kama hawana nia ya kusaidia bali wanaendelea kufanya biashara kupitia huu ugonja Ila ni mipango ya mda mrefu yani kwa baadae ndio unakuja kuona madhara ya hizo pesa .ndio maana akasema Kama wanania kweli kusaidia bc wasamehe kiac Cha maden Kisha Ile pesa badala ya kulipa deni itatumika kupambana na corona Sasa Kama mtu utaona wazo hili baya bc we unamapungufu ya akili na utakua na misimamo ya chadomo sijui chademo vile.
Magu anawaz akusamehewa madeni tu[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TPDF hajawahi ingia Vita yeyote peke yake hata huko kagera na Komoro, ama unataka nikuharibie siku kwa kukotolea facts [emoji16][emoji16] jeshi lenu labda wavunje make na wabangua koroshow.

Mnajifanya wabishi ndo maan mnalawitiwa na kila taifa[emoji3]
 
Sio lazima muingie Ethiopia, mlipaswa na ninyi kushambulia interests na target za Ethiopia kama ndege, au hata vifaa vya kijeshi vya Ethiopia vilivyomo Somalia, sasa mtaendelea kuuliwa na ndege zenu kushambuliwa na Ethiopia ndani ya Somalia mkiwa hamna la kufanya?

Alshabab kabla ya KDF kuingia Somalia 2011 haikuwa imesababisha kifo cha mkenya yeyote, lakini mliamua kwenda kupigana nao, Ethiopia imeanza kusababisha vifo vingi vya wakenya, hamchukui hatua zozote, huo ni unyonge wa hali ya juu sana.

Kenya haiwezi pigana na Ethiopia itapoteza hiyo vita ndani ya wiki moja. Kumbuka Ethiopia ina 160,000 active troops with 3times military arsenals compare to Kenya with only 30,000 active troops with no Experience at all, apart from being is Somalia "

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshakuambia Ethiopia sasa hivi haina appetite ya vita na Kenya. Ethiopia inamuogopa Egypt vibaya sana. Ethiopia inataka kuanza filling of Gerd dam na Egypt ishaipea onyo la wazi tu kuwa wakianza kujaza maji kwenye dam Egypt itatuma ndege za kivita na kulipua hio dam. Kwenye forum za Wahabeshi nimesoma comments zao na wanasema kuwa Ethiopia inapeleka anti aircraft missiles kuprotect Gerd. Sasa hivi Ethiopia haina muda wa kufikiria kuhusu Kenya. Kuanzia July ngoma itaanza kuchezwa kati ya hizi nchi mbili. Kenya haitaki kuingilia fahali wawili wakipigana. Ni kweli hatuna wanajeshi wengi kama wao.
 
Sio lazima muingie Ethiopia, mlipaswa na ninyi kushambulia interests na target za Ethiopia kama ndege, au hata vifaa vya kijeshi vya Ethiopia vilivyomo Somalia, sasa mtaendelea kuuliwa na ndege zenu kushambuliwa na Ethiopia ndani ya Somalia mkiwa hamna la kufanya?

Alshabab kabla ya KDF kuingia Somalia 2011 haikuwa imesababisha kifo cha mkenya yeyote, lakini mliamua kwenda kupigana nao, Ethiopia imeanza kusababisha vifo vingi vya wakenya, hamchukui hatua zozote, huo ni unyonge wa hali ya juu sana.

Kenya haiwezi pigana na Ethiopia itapoteza hiyo vita ndani ya wiki moja. Kumbuka Ethiopia ina 160,000 active troops with 3times military arsenals compare to Kenya with only 30,000 active troops with no Experience at all, apart from being is Somalia "

Sent using Jamii Forums mobile app
Ethiopia has more ground troops , and more tanks i agree... but in the Air we are more armed.. and our equipment is in great shape..
For Ethiopia the numbers we have are from the 90s... we are not sure even how many of their tanks can leave the storage...or even planes can engage another air-force

If you want to estimate their capabilities, look at the way they have been conducting their operations in Somali... shooting down civilians planes is considered the lowest that a military can engage in..
 
Sio lazima muingie Ethiopia, mlipaswa na ninyi kushambulia interests na target za Ethiopia kama ndege, au hata vifaa vya kijeshi vya Ethiopia vilivyomo Somalia, sasa mtaendelea kuuliwa na ndege zenu kushambuliwa na Ethiopia ndani ya Somalia mkiwa hamna la kufanya?

Alshabab kabla ya KDF kuingia Somalia 2011 haikuwa imesababisha kifo cha mkenya yeyote, lakini mliamua kwenda kupigana nao, Ethiopia imeanza kusababisha vifo vingi vya wakenya, hamchukui hatua zozote, huo ni unyonge wa hali ya juu sana.

Kenya haiwezi pigana na Ethiopia itapoteza hiyo vita ndani ya wiki moja. Kumbuka Ethiopia ina 160,000 active troops with 3times military arsenals compare to Kenya with only 30,000 active troops with no Experience at all, apart from being is Somalia "

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaweza tumia route nyingine kupeleka chakula Somalia. Kumbuka sisi tunapeleka msaada huko Somalia. Yaani tunasaidia hawa watu. Badala ya kuanza vita, afadhali route mbadala utumike kufikisha chakula huko kwa wanaoumia kwa njaa.
 
Ethiopia walikubali kwamba wao ndio walidungua ndege hio. Kwani huna habari? Ila ni jeshi la Ethiopia ambalo haliko ndani ya Amisom ndio lilifanya upuzi huu. Limeingia Somalia juzi bila idhini ya UN.
nimeuliza what if they have been sabotaging KDF ever since?
 
Nimeshakuambia Ethiopia sasa hivi haina appetite ya vita na Kenya. Ethiopia inamuogopa Egypt vibaya sana. Ethiopia inataka kuanza filling of Gerd dam na Egypt ishaipea onyo la wazi tu kuwa wakianza kujaza maji kwenye dam Egypt itatuma ndege za kivita na kulipua hio dam. Kwenye forum za Wahabeshi nimesoma comments zao na wanasema kuwa Ethiopia inapeleka anti aircraft missiles kuprotect Gerd. Sasa hivi Ethiopia haina muda wa kufikiria kuhusu Kenya. Kuanzia July ngoma itaanza kuchezwa kati ya hizi nchi mbili. Kenya haitaki kuingilia fahali wawili wakipigana. Ni kweli hatuna wanajeshi wengi kama wao.
Kwahiyo mtafanyaje ikiwa Ethiopia itaendelea kudungua ndege zenu na kuwashambulia Mara kwa Mara?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaweza tumia route nyingine kupeleka chakula Somalia. Kumbuka sisi tunapeleka msaada huko Somalia. Yaani tunasaidia hawa watu. Badala ya kuanza vita, afadhali route mbadala utumike kufikisha chakula huko kwa wanaoumia kwa njaa.
Kwahiyo katika hili ni kwamba, Kenya ndio inayokwepa vita na Ethiopia, sio Ethiopia ambayo inaonekana kuzidi kuichokoza Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimeuliza what if they have been sabotaging KDF ever since?
Ni kweli. Inawezekana. Pia nakumbuka kuna ile tukio ambalo jeshi la Ethiopia lilitaka kutua katika Kismayu airport na ndege iliyojaa wanajeshi waliojihami. Kdf ambayo inacontrol hio airport ikaikataza hio ndege kutua. Baada ya hapo ndio beef ilianza. Kismayu ni sector ya Kdf sio sector ya Wahabeshi kwa hivyo they had no business trying to land there. Pia ikumbukwe Ethiopia na rais Farmajoo wako pamoja na wanataka kumng'atua Sheikh Madobe rais wa Jubbaland ambaye ni "puppet wa Kenya" kama wenyewe wanavyomuita.
 
Back
Top Bottom