Apple kuzindua iPhone 16 series leo Tar 9 September 2024

Apple kuzindua iPhone 16 series leo Tar 9 September 2024

Kwenye maisha, tuna uhakika wa vitu vitatu. Kifo, Kodi ana iPhone mpya kila September!

Wakali wa hizi mambo, leo uko Marekani watafanya uzinduzi mkubwa wa simu 4 za iPhone 16.

View attachment 3091819
Simu zinazotegemea kuzinduliwa ni We iPhone 16, iPhone 16 Plus, iPhone 16 Pro, and iPhone 16 Pro Max, zote zikiwa na iOS 18 ambayo itakua na AI (Apple Intelligence), ambayo kuna tetesi ikawa sio bure (20$/month)!
View attachment 3091816
Pia watazindua Apple Smartwatch series 10 aka series X!
View attachment 3091817
Uzinduzi umeanza saa 2 usiku kwa saa za Tanzania, nadhani kesho saa 4 tutazikuta Makumbusho!

Unaweza kucheki Keynote YouTube hapa:

View: https://www.youtube.com/live/uarNiSl_uh4?si=a-QsuK5SsXIB-f2G
Ila kama kawaida comments zimefungiwa!

Muda wa wadada kuliwa jicho kwa kasi.
 
iPhone 16 Pro na Pro Max zimefika!
Baada ya iOS 18, Apple Watch 10 na iPhone 16 na 16 Plus, sasa kaka zao Pro na Pro Max wamefunga kazi.
gsmarena_006.jpg


Appearance ni kama iPhone 15 Pro na Pro Max, kasoro ukubwa uneongezeka. Pia "wamesema" imekua na thin bezel zaidi, new camera (ultra wide na 5x telephoto), na zinatumia new chip ya A18 Pro (sio kama A18 ya kwenye 16 na 16+)!

Kwa kifupi presentation nzima ilikua about Apple Intelligence, as if walikua wanazindua iOS 18 na sio hardware.

Bei $999 kwa Pro na $ 1,199 kwa Pro Max, BEFORE TAX!
 
iPhone 16 Pro na Pro Max zimefika!
Baada ya iOS 18, Apple Watch 10 na iPhone 16 na 16 Plus, sasa kaka zao Pro na Pro Max wamefunga kazi.
View attachment 3091989

Appearance ni kama iPhone 15 Pro na Pro Max, kasoro ukubwa uneongezeka. Pia "wamesema" imekua na thin bezel zaidi, new camera (ultra wide na 5x telephoto), na zinatumia new chip ya A18 Pro (sio kama A18 ya kwenye 16 na 16+)!

Kwa kifupi presentation nzima ilikua about Apple Intelligence, as if walikua wanazindua iOS 18 na sio hardware.

Bei $999 kwa Pro na $ 1,199 kwa Pro Max, BEFORE TAX!
Naona imekuja na Apple time, AT18 yenye double full stop mark kutenganisha lisaa na dakika. Huna haja ya kuuliza ni saa ngapi tena, unaangalia tu apple yako unajua muda.
 
Probably yes! ila kauli jumuishi ndio tatizo la JF, people will just assume wadada wenye iphone wote wamepata kwa namna hiyo.

Yaani watu kibao wanaweza afford magari ila wanawashangaa wanaoweza kuafford aifoni!
Umaskini ni kitu kibaya sanaa.
 
Sasa wale wenzangu namimi wenye iPhone kuanzia
  1. iPhone 8
  2. iPhone 8 Plus
  3. iPhone X
  4. iPhone XS
  5. iPhone XS Max
  6. iPhone XR
  7. iPhone 11
  8. iPhone 11 Pro
  9. iPhone 11 Pro Max
  10. iPhone SE (2nd generation)
  11. iPhone 12
  12. iPhone 12 Mini
  13. iPhone 12 Pro
  14. iPhone 12 Pro Max
  15. iPhone SE (3rd generation)
  16. iPhone 13
  17. iPhone 13 Mini
  18. iPhone 13 Pro
  19. iPhone 13 Pro Max
Muungane tu nasisi tunaotumia tecno, now tunahesabu iPhone kuanzia 14.
 
Sasa wale wenzangu namimi wenye iPhone kuanzia
  1. iPhone 8
  2. iPhone 8 Plus
  3. iPhone X
  4. iPhone XS
  5. iPhone XS Max
  6. iPhone XR
  7. iPhone 11
  8. iPhone 11 Pro
  9. iPhone 11 Pro Max
  10. iPhone SE (2nd generation)
  11. iPhone 12
  12. iPhone 12 Mini
  13. iPhone 12 Pro
  14. iPhone 12 Pro Max
  15. iPhone SE (3rd generation)
  16. iPhone 13
  17. iPhone 13 Mini
  18. iPhone 13 Pro
  19. iPhone 13 Pro Max
Muungane tu nasisi tunaotumia tecno, now tunahesabu iPhone kuanzia 14.
Techno bado sana, level za kina 11 plain huko, usifaninishe 13 series na uchafu
 
Kwenye maisha, tuna uhakika wa vitu vitatu. Kifo, Kodi kupanda na iPhone mpya kila September!

Wakali wa hizi mambo, leo uko Marekani watafanya uzinduzi mkubwa wa simu 4 za iPhone 16.

View attachment 3091819
Simu zinazotegemea kuzinduliwa ni We iPhone 16, iPhone 16 Plus, iPhone 16 Pro, and iPhone 16 Pro Max, zote zikiwa na iOS 18 ambayo itakua na AI (Apple Intelligence), ambayo kuna tetesi ikawa sio bure (20$/month)!
View attachment 3091816
Pia watazindua Apple Smartwatch series 10 aka series X!
View attachment 3091817
Uzinduzi umeanza saa 2 usiku kwa saa za Tanzania, nadhani kesho saa 4 tutazikuta Makumbusho!

Unaweza kucheki Keynote YouTube hapa:

View: https://www.youtube.com/live/uarNiSl_uh4?si=a-QsuK5SsXIB-f2G
Ila kama kawaida comments zimefungiwa!

Ongeza picha basi uzi ujae vionjo.
 
Bongo movie kazi wanayo.. na matumizinyao makubwa ni insta, youtube, whtsapp n the likes
 
Probably yes! ila kauli jumuishi ndio tatizo la JF, people will just assume wadada wenye iphone wote wamepata kwa namna hiyo.

Yaani watu kibao wanaweza afford magari ila wanawashangaa wanaoweza kuafford aifoni!
Nilikuwa sinza hospital last week, Kuna mdada ana I phone 13.

ana zigo fulani, sijui nili msemesha kipi aka nambia I phone mpya zina karibia kutoka. So wewe tu nichangamkie
 
Probably yes! ila kauli jumuishi ndio tatizo la JF, people will just assume wadada wenye iphone wote wamepata kwa namna hiyo.

Yaani watu kibao wanaweza afford magari ila wanawashangaa wanaoweza kuafford aifoni!
😂😂😂😂 you made my day! Unajua hata mimi hili swala nimekuwa najiuliza sana yani mtu anaweza kuwa ana gari ila akikutana na mtu mwenye iphone hata 11 anamuona ni wa gharama na atamshangaa ameipataje na anaweza akaanza kuuliza kabisa na hii ni nimegundua ni ugonjwa wa Tanzania sijui wanaichukuliaje iphone na ndio maana wanawachukulia wanaozimiliki hasa wadaa basi wamepata kwa kutaabika kitu ambacho si cha kweli!
 
Back
Top Bottom