Weka picha na aina ya hiyo JBL unayoisifia tuone.Nikipata hela Ninunue tu maheadphone orijino yale ya JBL niwe nasikilizia ndani gheto...yale base yake sio poa
Base yake dunia nyngne
Mziki wake hamna mfano
Kwa bajeti ya 25K kushuka chini ipi pods nzuri kutumia ?Labda mkuu, ila kwenye swala la base ungeniambia freepods lite sawa ila hizo nilizokutajia zipo vizuri sana sidhani kama kuna wapinzani wenye similar price wenye ubora kama huo
Kma ni zile orjino chukuaKuna jamaa mtaani amekuja na JBL ameshaitumia anataka aniuzie 15K ipo bomba ina bonge la jumba linaonyesha mpk asilimia ya chaji , capacity ya power bank yake ni kubwa vilevile nasikilizia nichukue .
zipo dukani chiefWeka picha na aina ya hiyo JBL unayoisifia tuone.
chukua hii hautojutia adriz Kwenye site yao wanatangaza 28k ila kama uko dsm unaweza pata hata kwa 25k (bei niliyochukulia singida kwa mwanangu)View attachment 2726378
Case haijachajiwa toka juzi..
Left ear ipo inatumika toka 3 nne nilivyotoka nyumbani
Nakazia....Nikipata hela Ninunue tu maheadphone orijino yale ya JBL niwe nasikilizia ndani gheto...yale base yake sio poa
Base yake dunia nyngne
Mziki wake hamna mfano
Hii yaweza kuwa first copy maana nimechukua duka la jumla kwa luteni tu (10K) ila nahisi ndio tunazouziwa zaidi ya elfu 20 mtaani.
@Depal[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]
Dj walete elites na amapiano moja
Za huyo jamaa hizi 15Kzipo dukani chief
Mm nasemea headphone achana na hizo earpodsZa huyo jamaa hizi 15KView attachment 2726387
Aise unaweza pata fake na usijue maana zinapiga balaaNakazia....
Kuna siku nilisikilizia Dundo la JBL ni balaa..
Tutafute hela tu mkuu...
Fake na fake zipo..
Hiyo app yao unaipata wapi ,vp ni unatumia online au hata offline ?Riff nilinunua mwaka jana mwezi wa 3 dukani kwa mshkaji 40k ila mpaka sasa ina uhakika wa kupiga zaidi ya masaa 5 bila kurudisha kwenye case yake
Freepods 4 nimechukua mwaka huu mwezi wa 7 100k mwanzoni nakula masaa 7 non stop case yake unaweza rudia kucharge zaidi ya mara tano na isiwe imeisha
Oraimo freepods Lite..
Nimechukua tarehe 15 mwezi huu hizi kidogo zinaumiza masikio kuliko hizo juu hapo na hata sound yake inareflect maana ya neno lite but ni valye for money bass nzuri hasa ukiunganisha na app yao HD voice call charge zaid ya masaa 7 bila kurudisha kwenye case na ukiwa unasikiliza mziki
Bei 25k tu
Toka nichukue Riff nilijiapiza nitatest bidhaa yoyote ile ya oraimo bluetooth earbuds sababu nna uhakika na quality yao na kuepukana na maswala ya kupata earbuds fake
Hii nimeipenda nimedhamiria kuinyaka ,panapo majaaliwa wiki ijayo nitatimba China plaza K/Koo nikaisake ,nimeona features zake zimenivutia nimeona Youtube jamaa Mnigeria kazielezea vizuri sana.View attachment 2726378
Case haijachajiwa toka juzi..
Left ear ipo inatumika toka 3 nne nilivyotoka nyumbani
Ipo playstore Unatumia offlineHiyo app yao unaipata wapi ,vp ni unatumia online au hata offline ?
Hiyo karaha/adhabu ya kuchaji kila masaa mawili huoni ni shida pia?Mimi tokea nianze kutumia pods nimeacha ramsi mawaya sasa hivi mawaya naona uzito kuvaa hata ziwe na Quality ya dunia ,wire rahisi kuharibika ukijichanganya kidogo basi zimekufa na inaweza kunasia mahali kuinuka zinakatika ndio maana nimeacha sasa.
Hakuna kupigwa.. value fo money kama ni first pods yako na bajet unaruhusu nakurecommend riffs japo zitest kwanza hiv hutojutiaHii nimeipenda nimedhamiria kuinyaka ,panapo majaaliwa wiki ijayo nitatimba China plaza K/Koo nikaisake ,nimeona features zake zimenivutia nimeona Youtube jamaa Mnigeria kazielezea vizuri sana.
Vipi hizo hakuna kupigwa kupewa fake ?
Sound ina Quality nzuri ?
Unatumia pods gan ambazo unacharge kila baada ya masaa 2 πππHiyo karaha/adhabu ya kuchaji kila masaa mawili huoni ni shida pia?
Mimi sipendi kutumia kitu, kila dakika unahofia chaji imebaki kiasi gani.
Halaf kingine, nikiona mtu kavaa earpods namuona kama bishoo hivi (mf. Kitenge)