carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Shida nini totoo?Yaani anavyoniyumbisha mpaka sio poa ujue [emoji23][emoji23][emoji23]
Sijambo Carba ila sio kiviiile, vipi wewe?
Feeling sick?
Mimi niko poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida nini totoo?Yaani anavyoniyumbisha mpaka sio poa ujue [emoji23][emoji23][emoji23]
Sijambo Carba ila sio kiviiile, vipi wewe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahah! Utamuweza huyu Mndali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Namshukuru KD kwa kuanzisha uzi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ananihujumu huyoo
#hatuachani[emoji51]
Nitaanzisha kikundi,[emoji23][emoji23][emoji23] Hivi kwanini usijiunge na wale wakina Bambo kwenye kile kipindi chao?
😂😂😂😂😂 jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Namshukuru KD kwa kuanzisha uzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu uzi ulikuwa Moto Sana juzi na Jana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba umehamishia kambi huku??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana
Unaulizia usiku wa samaki?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah!
Nitaambia nini watu na vile nilishangilia[emoji134][emoji134][emoji134]
Huu uzi ulikuwa Moto Sana juzi na Jana.
Ndio sehemu pekee tutakapokutana..msipokuja ndio Basi Tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂 embu nitolee balaa sasa hivi, nitoe mimi jiweke wewe hapo lazima kipindi kitafafiliwa hadi na TrumpNitaanzisha kikundi,
Nakuweka wewe na wale jamaa wawili wa mchana(Bush bin laden na Kenzy)
Hii comedy itakuwa hatari sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeenda hospital lakini?ama unakomaa tu nyumbani?Week nzima hii nimekuwa nikiumwa kichwa kila ifikapo jioni sasa sijui nini tatizo?
Nafurahi kusikia uko poa pia nafurahi kukuona
Wenyewe wanasema mwezi wa tano wataboreshaHivi kwanini notifications za app sikuhizi hakuna??zamani nilikua nazipata sikuhizi hovyo kabisa
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ostaz huku hawezi kujaAkambebe na Ostazi wake sasa amlete huku [emoji3]