Ardhi, SUA na Muhimbili kipi chuo kigumu?

Ardhi, SUA na Muhimbili kipi chuo kigumu?

Izo stor za kutiana sifa mkiwa first year mara ooh chuo chetu kigumu!!!!! Ili demu aone unasoma chuo cha ukweli ....chuo tungesema ni kigumu kama pass mark ingekuwa kubwa kuliko ya kawaida ya TCU ya 40 lakin kama ni hii hii hacha ujinga na sifa tangu niko o level nasikia Mzumbe ni ngumu lakin hoja ya msingi ambayo wangrtumia kusapot sifa yao ilikuwa ni passmark ambayo ilikuwa 50 badala ya 40 na disco 3 in cours of study badala ya 4 in year of study lakini tangu warekebishe ukisikia mtu anasema Mzumbe ni ngumu mpige ngumi la puani aacheni ujinga someni hamna chuo kigumu
SUA still passmark ni 50 waligoma kufuata ya TCU na every year chuo kina disco zisizopungua 250
 
Nilichaguliwa Muhas ila kipindi nachagua chuo mzee wangu hakuwepo TZ alikuwa Germany sasa alipo rudi tulishauriana kama wana familia nikasome kozi ya uinjinia ndo nikafanya transfer
ujerumani my foot!!!!

eti nyokohh nyokhoo nyokhoo ....

mara transfer, mara ohhh sijui nini.......

P.I.M.B.I.
 
Hoja za Mwaka wa Kwanza. Jitahidi kumaliza salama semester ya kwanza.
 
Huwa sitaki kuamini kuwa hapa bongo kuna chuo kigumu kuliko chuo cha Ardhi sana sana kwa kozi ya environmental engineering hawa muda wote wapo busy na engineering drawing na assignments za kutosha bila kusahau, vipindi vya workshops ambavyo vinaanza saa 9 mpaka saa 3 na nusu usiku ,hiyo ni non stop, hakuna cha kwenda nje kukojoa wala kwenda kunywa maji.

Kimbembe kipo kwenye kufanya practical hasa zile za umeme kama umefunga nyaya ikalegea kidogo tu unapewa zero yako ya nguvu

Pia kwa wale wanaosoma architecture nao wana shida saana muda wote wapo studio wanachora.

Kimbembe kingine kipo kwa wale wanaosoma LMV hawa watu bhana unaambiwa unaingia kwenye pepa lakini cha ajabu kila mwanafunzi anapewa maswali tofauti kama maswali yapo sawa basi multiple choice zinakuwa za tofauti.

Yaaani ukiwa Aru au ardhi hakuna siku ukalala kwa amani kila siku iendayo kwa Mungu hakuna siku utalala ukiwa umemaliza kazi zote.

Kama sio engineering drawing basi engineering maths kama sio hiyo basi IT kama sio IT basi basic chemistry kama sio hiyo basi kazi za workshops zinakusubiri.

Pia huku kila wiki pepa.

Utakuwa tu Junior...hizi habari utaacha mwenyewe.
 
Sidhani kama ni sahihi kulinganisha vyuo vinavyotoa elimu katika fani tofauti, kwani ugumu au urahisi inawezekana ku evaluate katika fani moja mfano ingekuwa rahisi kama vyuo vyote vingekua vinafundisha course za aina moja but I think it is illogical kufananisha ugumu wa vyuo wakati vinatoa couse tofauti (I stand to be corrected)

Huyo bwana analinganisha fani sema tu zinatolewa kwenye vyuo tofauti. Ili kumuelewa vizuri ni kuvirudisha hivyo vyuo kule vilikotokea in abstract terms - UDSM.
 
Kuna sababu za kuconsider unaposemea ugumu wa chuo. Chuo kinaweza kuwa kigumu kwa sababu zifuatazo:-

1. Uwezo mdogo wa msomaji hivyo kushindwa kuendana na standard inayotakiwa kusurvive kwenye mazingira hayo.
2. Uwepo wa instructors watata/wababe
3. Elimu inayotolewa na chuo husika kuwa ya kiwango cha juu hivyo kupelekea kila kitu kupimwa kwa standardized assessment maana yake hakuna ubabaishaji kila jambo lazima liende systematically na liwe na matokeo ambayo ni reasonable kiasi kwamba graduate anapotoka pale anakuwa yuko competent kwa kiwango kikubwa!

Je ARU ina kipi kati ya hayo hapo juu? Nafikiria kutakuwa na Kati ya 1 au 2!
Na kama 1 ndio sababu basi hupaswi kulalamika pia kama sababu ya 2 ipo je hao wametoka wapi au wameiga kwa nani?
 
Huwa sitaki kuamini kuwa hapa bongo kuna chuo kigumu kuliko chuo cha Ardhi sana sana kwa kozi ya environmental engineering hawa muda wote wapo busy na engineering drawing na assignments za kutosha bila kusahau, vipindi vya workshops ambavyo vinaanza saa 9 mpaka saa 3 na nusu usiku ,hiyo ni non stop, hakuna cha kwenda nje kukojoa wala kwenda kunywa maji.

Kimbembe kipo kwenye kufanya practical hasa zile za umeme kama umefunga nyaya ikalegea kidogo tu unapewa zero yako ya nguvu

Pia kwa wale wanaosoma architecture nao wana shida saana muda wote wapo studio wanachora.

Kimbembe kingine kipo kwa wale wanaosoma LMV hawa watu bhana unaambiwa unaingia kwenye pepa lakini cha ajabu kila mwanafunzi anapewa maswali tofauti kama maswali yapo sawa basi multiple choice zinakuwa za tofauti.

Yaaani ukiwa Aru au ardhi hakuna siku ukalala kwa amani kila siku iendayo kwa Mungu hakuna siku utalala ukiwa umemaliza kazi zote.

Kama sio engineering drawing basi engineering maths kama sio hiyo basi IT kama sio IT basi basic chemistry kama sio hiyo basi kazi za workshops zinakusubiri.

Pia huku kila wiki pepa.
Sua kuna elimu ngumu kuliko vyuo vingine bongo
 
Nilichaguliwa Muhas ila kipindi nachagua chuo mzee wangu hakuwepo TZ alikuwa Germany sasa alipo rudi tulishauriana kama wana familia nikasome kozi ya uinjinia ndo nikafanya transfer
Utaacha lini uongo
 
Back
Top Bottom