Ardhi, SUA na Muhimbili kipi chuo kigumu?

whatsapp://send?text=*Nafasi mpya za kazi zinapatikana. Ingia* Jikwamue! *kuangalia. Pia usisahau kujiunga kwa SMS ili upate ujumbe kila nafasi mpya inapotoka. Kujiunga ni bure!* *TAFADHARI SHARE IWAFIKIE NA WENGINE*
 
Hakuna chuo kigumu, ugumu uko kwenye kozi! Pure sciences are more difficult than applied sciences. Medicine cannot be more difficult than biology, and engineering cannot be difficult than physics and mathematcs, pharmacy cannot be difficult than chemistry! Therefore the more difficult courses on earth are Bsc -general, i,e bachelor of science in Physics, Chemistry, Biology.
 
elimu mnayosoma haina matumizi mtaani ni classical education ya miaka 1770 kipindi wenzetu wanafanya discoveries. TNA wahtmu wengi sana mtaan hawana uwezo. wa kuaply walichoksoma kikaonekana mtaani
wanaitwa academicians
 
Aru na SUA lectures wanataka wanafunzi waingie darasani kila kipindi wacha hivi vyuo viwe vigumu
 
Umeisahau DIT ila ardhi SUA nayo nasikia msuli wake c wakitoto
 
mmh! mm nafikiri kila chuo kinaugumu wake kutokana na fani zinazotolewa chuoni, lecturers, pamoja na mazingira kwa ujumla
 
Sasa ulitaka hiyo 0.1 mwalimu haitoe wapi?
hahahahah!!..dah umenikumbusha mbali sana,,nlikua naptia huu uzi kmya kmya ila h coment yako imeniremind mbali,,..kuna lecturer aliwai nijibu ivo apo nalilia marks moja t af anakaza.
 
Hata mm izo story nishaziskia kuwa mzumbe ngumu[emoji20]
 
CoNAS,in UDSM ni shiida.
Ili uamini armed NDUGU yako kusoma COLLEGE HIYO AKUSHUHUDIE!HATARIIII!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…